angalia

Angalia (Tazama) - Neno hili linamaanisha kuelekeza macho kwenye kitu fulani ili kukiona.
  1. enzo1988

    Je, uzoefu siyo tatizo kwa wayahudi huko vitani? Angalia umri wa huyu kamanda aliyeuawa huko Lebanon.

    Kuna kamanda ameuawa na Hezbollah huko Lebanon, ukiangalia umri wake halafu ndiyo kiongozi, napata shida kidogo! Wajuzi wa vita tupeni elimu! Israeli commander killed in Lebanon, Israel says The Israeli military says an army squad commander has been killed in Lebanon. It's the first combat...
  2. L

    Jenista Mhagama ana heshima na unyenyekevu sana. Embu angalia hapa ujue kwanini anapendwa na kila Rais anayeingia Madarakani

    Ndugu zangu Watanzania, Ukiachana na uchapakazi , uzalendo na kubadilika kulingana na Mazingira kwa Mheshimiwa Jenista Mhagama. Lakini ukweli unabakia kuwa heshima na unyenyekevu wake ni miongoni Mwa vitu vinavyomfanya kujenga ushawishi kwa kila Rais anayeingia Madarakani kumuweka katika...
  3. DeMostAdmired

    Hivi kuna namna mdaiwa HESLB anaweza kuangalia kiasi anachodaiwa pasipo kufika ofisi za HESLB?

    Kama head inavyojieleza, hivi kuna uwezekano mdaiwa akaangalia deni analodaiwa HESLB pasipo kwenda ofisini kwao? Na kama hakuna huo uwezekano kwanini wasiweke mifumo online watu tukawa tunafuatilia mwenendo wa madeni yetu? SOME ADDITIONAL CONTENTS..... JAMANI NIMEINGIA KWENYE ACC YANGU KAMA...
  4. Sun Wukong

    Wadau naombeni ushauri kuhusu miwani hii ya macho sijapigwa kweli hapa?

    Mimi ni mtu ambaye ninatumia computer for hours basi kutokana na kuumwa kwa kichwa, macho kuwasha (not all tge time but mara nyingi huisi macho kukaza) Nilipima nikaonekana nipo fresh(mimi naona poa tu) ila ni alergy na mwanga Dokta akasema ninunue miwani ya mwanga Nilikaa baadae nikaenda...
  5. Tulimumu

    Angalia reaction ya serikali kwenye matukio haya kisha za kuambiwa ongeza na za kwako

    1. Kushambuliwa kwa Lissu: Kimya mpaka sasa mwanzo Lissu akiwa Ubelgiji walisema hatoi ushirikiano. Sasa Lissu yupo na amewataja kwa majina wabaya wake lakini serikali kimya hakuna hata panya aliyekamatwa. 2. Kutekwa na jaribio la kumuua Sativa: Waziri mwenye mashavu makubwa kasema eti Sativa...
  6. enzo1988

    Mwanariadha Uganda achomwa moto na mpenzi wake Mkenya, aungua kwa zaidi ya 75% ya mwili wake

    Kwani kuukubali ukweli kuwa kila kitu kina mwanzo na mwisho ni huwa ni ngumu?? Huu ukatili wote wa nini? Halafu wote wanaujiuguza majeraha! Ugandan athlete in hospital after Kenya petrol attack Ugandan athlete Rebecca Cheptegei is in a critical condition in a Kenyan hospital, after allegedly...
  7. Girland

    Siasa inalipa!! Angalia unaodaiwa kuwa utajiri wa Baraza la Mawaziri Kenya!

    Ushawahi kujiuliza wanasiasa mfano mawaziri wana utajiri kiasi gani? Je unajiuliza kwanini matajiri wakubwa duniani wanaingia kwenye siasa? Siyo nchi za kiafrika tu, hata Ulaya?Fuatana nami nikupe uhondo! Hivi majuzi Rais wa Kenya William Ruto aliteua majina ya mawaziri wateule, hii ni baada ya...
  8. Mr Dudumizi

    Angalia picha zinaongea zenyewe kuhusu wale vijana waliotimuliwa katika wizara zao

    Mwezi wa kwanza: Sasa ndugu yangu unajua kwanini nimekwita tukutane hapa? Nepi: Hapana ndugu yangu, hebu niambie.. Mwezi wa kwanza: Mimi nina nia ya kupambana na yule mama katika kinyang'anyiro cha kumpitisha mgombea wa chama katika uchaguzi mkuu, hivyo kama katibu mwenezi mstaafu, ninaomba...
  9. stabilityman

    Angalia hapa mwaka wako wakuzaliwa na mwaka wako wa kustaafu na umebakiza miaka mingapi ustaafu

    Sina maneno mengi mimi Angalia mwenyewe
  10. TODAYS

    Masoud Kipanya na Kile Kigari Chake, Kwa Nini Alitupiliwa Mbali?, Angalia na Soma.

    Sijui kama leo unaweza kuwa na wazo kama la Masoud kutaka kuzalisha kitu chochote cha kiubunifu na serikali yetu pendwa ikakuunga mkono kwa support kama wanayopewa wawekezaji wengine, sijui!!. Basi hapo majuzi jamaa yetu huyu mtangazaji alipokuja na ile idea yake nzuri na kigari chake huku...
  11. enzo1988

    Picha: Angalia risasi ilivyomkosa Trump

    Hii ni risasi iliyomkosa mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Donald Trump. Nawaza kule kugeuka geuka ndiyo kulimsaidia! Au mnasemaje CIA, FBI, MOSSAD na MI6 wa bongo?? Source: Sky news.
  12. Yoda

    Angalia vipaumbele vya Waafrika wapokea misaada Vs Wagawa misaada

    Mmoja ni msafara wa nchi wapokea misaada, misfara mingine miwili ni wagawa msaada Netherlands na Uingereza.
  13. L

    Angalia mwenyewe kosi la Yanga na kosi la Simba, utaamua mwenyewe uende uwanjani au upotezee

    Yanga 1.Diarra 2.Yao 3.Kibabage 4.Bacca 5.Job 6.Aucho 7.Nzengeli 8.Mudathir 9.Dube 10.Aziz Ki 11.Chama Simba 1.Ayoub 2.Kapombe 3.Tshabalala 4.Chamou Karaboue 5.Che Malone 6.Debora Mavambo 7.Mutale 8.Augustine Okejepha 9.Steven Mukwala 10.Jean Charles Ahoua 11.Kibu Denga 😅😅😅
  14. comrade_kipepe

    KAMA UNATAKA KUJUA MAANA HALISI YA UZALENDO NA NCHI YAKO ANGALIA KWA WAKENYA

    Kiukweli ndani ya Africa mashariki na Kati hakuna nchi yenye wananchi wenye UZALENDO NA uchungu na nchi Yao kama wakenya. Hawa jamaa wamekunywa maji ya bendera sio poa, nchi nyingine MASKINI na zisizo na UZALENDO NA DEMOCRACY ya kweli zinanatakiwa ziangalie WAKENYA. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🔥🔥🔥
  15. 90sgeneration

    Kitanda kizuri sana na godoro lake kinauzwa, angalia

    Kama unavokiona 270 tu na godoro unachukua ni 5*6 ukikipenda kiwahi haraka before kiende #SOLD SOLD SOLD GUYS🙏
  16. Design Your Idea

    Chagua idea ya nyumba unayopenda ili nikubunie ramani ya kuendana na uchaguzi wako

    Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo. Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya nyumba utakayo kuwa umechagua. KARIBUNI. WHATSAPP: 0755325977
  17. Mjanja M1

    Video: Angalia Mwizi Bonge anavyoiba

  18. DR HAYA LAND

    Mwanamke kama hauolewi ebu angalia kwanza mdomo wako

    Ikiwa Mdomo wako hautulii basi kuolewa na smartest man sio rahisi . Rekebisha mdomo , ongea mambo ya msingi ,acha kufatilia umbea na trending. Acha kulalamika. Wanawake wengi ambao wameshindwa kuolewa ni mdomo tu , mambo ya kuwa singo maza n.k nyongeza Rekebisheni mdomo , value man...
  19. aise

    Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

    Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500. Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage. Nataka nihame hapa...
  20. DR Mambo Jambo

    PreGE2025 Angalia Mpaka Mwisho: Hakika hatuhitaji watu kama D. Sanga kwenye Serikali na nchi yetu tunahitaji watu wenye uwezo wa Kujibu hoja na kutengeneza hoja

    Deo Sanga ambaye ni Mbunge wa Makambako ni mtu ambaye amekuwa na misimamo ya kutetea viongozi wa nchi na kuwasifia mara kwa mara Wakati wa utawala wa Magufuli, Sanga aliwahi kunukuliwa akiwa bungeni kama inavyoonekana kwenye video akisema kwamba anataka Magufuli aongezewe muda. Kauli yake...
Back
Top Bottom