Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,327
- 33,134
Mafuriko Makubwa yaliyotokea nchini India kila mtu akijaribu kumuokoa mungu wake asipatwe na mafuriko. Loooh Majanga kweli kweli.
Mungu gani sasa hawezi kujiokoa mwenyewe
Siku zote mungu wa mchongo ndiye hupambaniwa na wajinga wajinga kama hao, kweli wajinga ndiyo waliwaoMungu gani sasa hawezi kujiokoa mwenyewe
Kuna mtoto alikojolea kitabu cha mungu, watu wazima hapahapa tz wakaenda kuchoma nyumba za mungu mwingine. Kwanini hawakumwacha mungu akachome mwenyewe. Hao wahindi wako sahihi.Mungu gani sasa hawezi kujiokoa mwenyewe
Hata Mungu wa wakristo au waislamu hawezi kujitetea yeye mwenyewe.
kwa ufupi Mungu hayupo.
Kwa waislamu ukimsema vibaya Allah, unachinjwa au kulipuliwa.
kwanini wasimuache ajitetee yeye mwenyewe?
kwa sababu hayupo.
THIBITISHA.... Haiwezekani uamini uwepo wa hewa/upepo kwa kuhisi tu bila ya kuuona na kuushika "visible and tangible" ikiwa ndiyo uhai wako wenyewe huo (roho) afu upinge uwepo wa Mungu.Hata Mungu wa wakristo au waislamu hawezi kujitetea yeye mwenyewe.
kwa ufupi Mungu hayupo.
Kwa waislamu ukimsema vibaya Allah, unachinjwa au kulipuliwa.
kwanini wasimuache ajitetee yeye mwenyewe?
kwa sababu hayupo.
Mungu yupo ila hawezi kuonekana kwa macho ya binadamu. Kwa mfano wewe ni mwanamume una mke wako ninakuja mimi dume ninamshika maziwa mbele yako hutoweza kumtetea mke wako ninamdhalilisha mbele yako? Basi na Waislam hawataki umdhalilishe Mungu wao . Na hivyo hivyo Wakristo wana Mungu wa Bwana yesu aliyefia msalabani na Maria mama wa Mungu ukienda kanisani kuwadhalilisha sidhani kama waumini aka Wakristo watakuacha uwa dhalilishe Mungu wao pamoja na mama wa Mungu. Na Ndio hivyo hivyo hao wahindi wanawaokoa Waungu wao feki ili wasidhurike na mafuriko ya maji.Hata Mungu wa wakristo au waislamu hawezi kujitetea yeye mwenyewe.
kwa ufupi Mungu hayupo.
Kwa waislamu ukimsema vibaya Allah, unachinjwa au kulipuliwa.
kwanini wasimuache ajitetee yeye mwenyewe?
kwa sababu hayupo.
THIBITISHA.... Haiwezekani uamini uwepo wa hewa/upepo kwa kuhisi tu bila ya kuuona na kuushika "visible and tangible" ikiwa ndiyo uhai wako wenyewe huo (roho) afu upinge uwepo wa Mungu.
Inamaana Binadamu wa kwanza duniani walitokeatokea tu kwa zali la mentali bila kuumbwa na uwepo wa Mungu?
waache wenye imani zao waziamini na wewe usiyeamini kuwa hivyo hivyo na upotofu wako ngojea siku utakayo kufa ndipo utayaona yote uliyokuwa ukiyatenda hapa duniani utalipwa na utatamani urude duniani kumuabudu Mungu na kutubu makosa yako uliyoyafanya lakini wapi? wakati wako umeshapita utangojea hukumu yako ya kwenda motoni au kwenda peponi Mungu atakuhukumu kwa yale yote uliyo yatenda hapa duniani.Kaa na upotofu wako.Sasa mimi nithibitishe nini?
Halafu wafia dini kuna kitu hamuelewi, mimi sitaki nimuone Mungu au nimshike ndipo niamini yupo.
Kwa akili ya kawaida ukizisikia stori zake kwenye biblia au quran unaelewa ni Uongo.
Angalia, wakristo wenyewe wapo wanaosema Yesu ni Mungu, wapo wanaosema Yesu ni mtoto wa Mungu.
hapo ni wakristo wenyewe wanatofautiana.
Sasa ikiwa nyie wenye imani yenu hamuelewani, mtamshawishi vipi mtu asiye wa imani yenu?
Malizeni tofauti zenu kwanza kuhusu mnachoamini.
Waislamu wenyewe hata kuizungumzia imani yao ni aibu tupu.
Imani imejaa utoto mwingi na vitisho.
Na kwanini useme mimi nimepotoka?waache wenye imani zao waziamini na wewe usiyeamini kuwa hivyo hivyo na upotofu wako ngojea siku utakayo kufa ndipo utayaona yote uliyokuwa ukiyatenda hapa duniani utalipwa na utatamani urude duniani kumuabudu Mungu na kutubu makosa yako uliyoyafanya lakini wapi? wakati wako umeshapita utangojea hukumu yako ya kwenda motoni au kwenda peponi Mungu atakuhukumu kwa yale yote uliyo yatenda hapa duniani.Kaa na upotofu wako.