allah

Allah ( A(H)L-ə, ə-LAH; Arabic: الله, IPA: [ɑɫˈɫɑːh] ) is the Arabic word for God, particularly the God of Abraham. Outside of the Middle East, it is principally associated with Islam (in which it is also considered the proper name), although the term was used in pre-Islamic Arabia and continues to be used today by Arabic-speaking adherents of any of the Abrahamic religions, including Judaism and Christianity. It is thought to be derived by contraction from al-ilāh (الاله, lit. 'the god') and is linguistically related to God's names in other Semitic languages, such as Aramaic (ܐܲܠܵܗܵܐ ʼAlāhā) and Hebrew (אֱלוֹהַּ ʾĔlōah).
The word "Allah" now implies the superiority or sole existence of one God, but among the pre-Islamic Arabs, Allah was a supreme deity and was worshipped alongside lesser deities in a pantheon. Many Jews, Christians, and early Muslims used "Allah" and "al-ilah" interchangeably in Classical Arabic. The word is also frequently, albeit not exclusively, used by Bábists, Baháʼís, Mandaeans, Indonesian Christians, Maltese Christians, and Sephardic Jews, as well as by the Gagauz people.
While it is an Arabic word and has historically been used by Muslims and non-Muslims alike in the Arab world, the usage of "Allah" by non-Muslims has been controversial in non-Arab parts of the Muslim world, especially Malaysia, where it became illegal for non-Muslims to use "Allah" after the country experienced a social and political upheaval in the face of the word being used by Malaysian Christians and Sikhs.

View More On Wikipedia.org
  1. Clever505

    Sababu iliyotolewa na Quran kuhusu Allah kutokuwa na mwana unailewa?

    Ukiiuliza Quran tukufu ya Muhammad na Allah kwa nini Allah hana mwana wakati mwenzake Yehova anaye wake anamuita Yesu Kristo? Quran inajibu, 6:101 Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Basi poa, ukiiuliza tena; inamaana Allah hana uwezo kabisa wa kuwa na mwana bila kuwa na mke? Quran...
  2. Clever505

    Je wajua kwamba Allah kwenye Quran anasema anahitaji kunusuriwa?

    Kwa upande wangu nimeshangaa sana kuona Mungu Allah anahitaji wanadamu wamnusuru. Kwa yeyote anayejua naomba msaada wa kuielewa hii Aya, 47:7 Enyi mlioamini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu. Allah ana matatizo gani ambayo anahitaji wanadamu wamnusuru...
  3. M

    Sijawahi kuona Mmasai wala Mjaluo Muislamu na Sijawahi kuona Mpemba wala Mzaramo Mkristo, huyu Mungu na Allah mbona anabagua Makabila na jamii?

    Habari wadau. ni mimi peke.yangu ama na wengine. Sijawai kuona maishani Shehe Chacha ama Ukhty Boke , je wewe umewai muona muislam Mkurya ? Binafsi najiuliza kwa nini Mungu anaezimiliki hizi dini mbona anabagua waumini wake.. Wengine hawaielewi dini yake, je wataenda motoni?
  4. enzo1988

    Kwa yanayoendelea Mashariki ya kati, bado unaamini kuwa Yaweh (Israel) na Allah (Muslim) wana nguvu???

    1) Yahweh name for the God of the Israelites, representing the biblical pronunciation of “YHWH,” https://www.britannica.com/topic/Yahweh Iran missiles cause multiple casualties after strikes in Israel https://www.bbc.com/news/live/c93ydeqyq71t Israeli hospital hit by Iranian missile strike...
  5. Ponjoro wa Kinondoni

    Dini ya Allah inaruhusu uchawa?

    Mwijaku ni moja kati ya wafia dini ya Allah na anadai kuwa hata mtume alikuwa na chawa walioitwa Maswahaba na anadai hao jamaa walikuwa na makhaba na mtume hivyo si vibaya mtu kuwa chawa. Kumbe Allah anaruhusu haya mambo au Mwijaku anatudanganya?
  6. C

    Mungu wa kikristo na Mungu wa Waislamu ni huyu moja anitwa "Allah" hata kwenye biblia ya kiarabu yumo

    Mungu wako na Mungu wetu ni Mungu mmoja kwa kuwa kuna Mungu mmoja tu kama ilivyoandikwa katika. "Shema" (Kumbukumbu la Torati 6:4) na Marko 12:28, na kama inavyoainishwa katika kanuni ya kwanza kati ya Kanuni 13 za Imani ya Kiyahudi. Ikiwa unasisitiza kuwa "Allah" katika tafsiri ya Kiarabu ya...
  7. Komeo Lachuma

    Allah katika Quran anasema wewe Muislamu ukiwa na shida ya Kiimani waulize Wayahudi na Wakristo hao ndo wanajua

    Surat Yunus (10:94) "Basi ikiwa uko katika shaka juu ya yale tuliyokuteremshia, waulize wale wanaosoma Kitabu kabla yako..." (Qur’an 10:94) Allah anasema kwa Mtume Muhammad, ikiwa unayo shaka juu ya yale yaliyoteremshwa kwako, basi waulize wale waliokuwa wakisoma vitabu vya kabla yako (yaani...
  8. Komeo Lachuma

    Je, Waislamu wana Allah wangapi?

    KUMBE WAISLAM MNA ALLAH WATATU " WAISLAM NYIE MNA MA-ALLAH WANGAPI? Hebu rejea kwenye Kuran kwanza: Suratul Anbiyaa 91. Na mwanamke aliye linda uke wake, na TUKAmpulizia katika roho YETU, na TUKAmfanya yeye na mwanawe kuwa ni Ishara kwa walimwengu. Ndugu zanguni, Allah ameanza vituko vyake...
  9. Komeo Lachuma

    Allah alitoa kibali cha kufaidi wake zenu vyovyote tutakavyo. Tusipangiane matumizi ya mashamba yetu

    ALLAH AMEWARUHUSU WAISLAM KUNYONYA MATITI YA WAKE ZAO NA KUNYWA MAZIWA YAO NA KUWAINGILIA KATIKA TUPU ZAO WATAKAVYO. Allaah Kamhalalishia mume kufurahi kwa mkewe atakavyo. Anaweza hata kufanya naye mapenzi kwa njia mbalimbali. Allaah (Ta´ala) Kasema: نسآؤكم حرث لكم فأتوا حرثكم أنى شئتم "Wake...
  10. Clayton Paul

    Majinn wazuri wakiponya Watu

    Ach kuteseka Tafuta Majinn Okoa Muda mja wa Allah Nawaonya Acheni kusaka Miujiza. Mtapigwa Kam Ngoma
  11. mbegubora29

    Viongozi wengine Allah anawaweka madarakani kama adhabu!

    Naam, habari wana JF, Naam ni mpango wa muumba kila kiongoz anayepatikana ktk sehem yeyote ilee huwa ni kusudio lake vyovyote awavyo. Lakini kwetu sie watakiwa inaweza kuwa adhabu au iwe huruma toka kwa muumba isipokuwa ukiona mtawala muovu tambua mmeyachuma kwa mikono yetu hivyo haina haja...
  12. Komeo Lachuma

    Ngawira ambazo ziliporwa hizo zinabaki kuwa za Allah na Mtume wake. Muhamad aliwajibu waliokuwa wakitaka zigawanywe

    Baada ya kuwa Muhamad na watu wake kupora mali. Walikuwa wanakaa kumuuliza sasa mgawanyo wake unakuaje kila mtu afe na chake. Hapo Muhamad alikuwa anapata wahyi haraka haraka na kuwajibu kuwa hizo wao haziwahusu. Ni za Allah na Mtume tu. Mstari unaohusiana na hilo katika Qur'an. Unapatikana...
  13. ELI COHEN

    Imam wa Iran: "Wanawake ni wanyama walioumbwa na allah ili kutumika na Wanaume"

    Anaendelea kusema: "Wanawake si tofauti na ng’ombe, kondoo, farasi, au nyumbu. Mungu aliwaumba wanawake wafanane na wanadamu ili wasiwaogope wanaume.”
  14. M

    Wapalestine wanavyolufa maelfu elfu, ukiwaambia leo eti kuna Mungu gani, watakukula nyama!

    Ifike pahala,eitha tukubaliane kwamba, Mungu huyo kaishiwa upendo kwa watu wake na ama hana nguvu na au huyupo kabisa ila majina yake tu Mauwaji yanayotokea huko Gaza, ni rahisi kuamini hilo, hasa kwa Wapalestine wenyewe! Ni rahisi kuwa na maswali mengi moyoni kumhusu huyo mungu Je, haoni...
  15. M

    Swali kwa waislamu wote; Alichokifanya huyu Sheikh ni sahihi au amekosea? Sheria za kiislamu zinasema atapewa hukumu gani kwa Allah ?

    leo hii april mwaka 2025 huko somalia kuna maandamano makubwa, sababu shehe ameoa mtoto wa miaka nane na kuishi nae kinyumba kwa miezi sita. wanaoandamana kupinga ni waislamu pia, ila shehe amejitetea kwa kusema dini yake inaruhusu kuoa mtoto wa miaka nane, na hivyo hajakosea. naomba...
  16. Black Tanzanite

    Waislam tulio wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji n.k

    Assalaam alaykum, Leo bhana wakati nimemaliza kuftari na kushiba basi yakawa yanakuja mawazo kedekede kuhusu mafundisho ya dini.... Nimetafakari nimeona waislam wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji, kuliko kamari na kadhalika! Kitu ambacho binafsi...
  17. U

    Je kiimani ni sahihi kwa muislamu kutumia au kutamka Yahweh Subhana badala ya Allah Subhana akikusudia maana ileile kuwa Mungu ni mkamilifu?

    Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu Usiku mwema
  18. Mhaya

    Kwanini dini hizi UYAHUDI, UKRISTO na UISLAMU zinatofautiana siku ya kusali wakati chimbuko lao Moja (Abrahamic Religions)

    Kama wote tunavyojua, Dini ni miongozo ya kiimani hapa Duniani, mafundisho yake utupa njia na namna ya kuishi hapa duniani kwa kufuata miongozo ya mnae mwabudu. Leo nitazungumzia kwa nini siku za Kuabudu utofautiana katika kila Dini na nitajikita zaidi kwenye Dini zenye chimbuko la Ibrahimu au...
Back
Top Bottom