Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

OMKEIT 93

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2026
Posts
226
Reaction score
323
Kuna swali ningependa kila anayesema “Simwamini Allah” au anayekanusha kwamba Allah ndiye Muumba wa mwanadamu alijibu:

Kama Allah si Muumba wako, nani aliyekuumba? Na kama humkubali Adam kuwa mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, kwa nini bado unajiita mwana wa Adam?

Qur’an iko wazi kuhusu jambo hili.
Allah anasema:
“Hakika mfano wa Isa mbele ya Allah ni kama mfano wa Adam. Alimuumba kwa udongo, kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.”
(Qur’an 3:59)

Na Allah anasema:
“Na kwa hakika tulimuumba mwanadamu kutokana na kizalio cha udongo.”
(Qur’an 23:12)

Pia anasema:
“Enyi watu! Mcheni Mola wenu ambaye amekuumbeni kutokana na nafsi moja, na akaumba kutokana nayo mwenza wake, na akaeneza kutoka kwa wawili hao wanaume wengi na wanawake.”
(Qur’an 4:1)

Hivyo Qur’an inatufundisha kwamba Adam ndiye mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, na kizazi chake kikaendelea kuenea duniani.
Ndiyo maana Allah anawaita wanadamu:
“Enyi wana wa Adam!”
(Qur’an 7:26, 7:31, 7:35)

Kwa hiyo kama mtu anasema “Mimi si mwana wa Adam”, basi atuambie anatoka kwa nani.
Na kama anasema “Adam hakutengenezwa na Allah”, basi swali linakuwa:
Adam alitoka wapi? Nani aliyemleta kuwepo?

Na kama mtu anazungumzia evolution, tusipotoshe mjadala kwa kusema “sayansi inasema mwanadamu alitokana na nyani wa leo.” Evolutionary biology huzungumzia common ancestry, si kwamba mwanadamu wa leo alitokana moja kwa moja na sokwe wa leo.

Lakini swali letu kwa mtazamo wa Qur’an linabaki:
Mwanadamu wa kwanza ni nani, na nani aliyemuumba?

Qur’an inatoa jibu:
Adam — ameumbwa na Allah.
Allah ndiye Muumba, Adam ndiye baba wa mwanadamu, na sisi ni Bani Adam — wana wa Adam.
Sasa mwenye kupinga haya aje na ushahidi wake.
 
Kuna swali ningependa kila anayesema “Simwamini Allah” au anayekanusha kwamba Allah ndiye Muumba wa mwanadamu alijibu:

Kama Allah si Muumba wako, nani aliyekuumba? Na kama humkubali Adam kuwa mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, kwa nini bado unajiita mwana wa Adam?

Qur’an iko wazi kuhusu jambo hili.
Allah anasema:
“Hakika mfano wa Isa mbele ya Allah ni kama mfano wa Adam. Alimuumba kwa udongo, kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.”
(Qur’an 3:59)

Na Allah anasema:
“Na kwa hakika tulimuumba mwanadamu kutokana na kizalio cha udongo.”
(Qur’an 23:12)

Pia anasema:
“Enyi watu! Mcheni Mola wenu ambaye amekuumbeni kutokana na nafsi moja, na akaumba kutokana nayo mwenza wake, na akaeneza kutoka kwa wawili hao wanaume wengi na wanawake.”
(Qur’an 4:1)

Hivyo Qur’an inatufundisha kwamba Adam ndiye mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, na kizazi chake kikaendelea kuenea duniani.
Ndiyo maana Allah anawaita wanadamu:
“Enyi wana wa Adam!”
(Qur’an 7:26, 7:31, 7:35)

Kwa hiyo kama mtu anasema “Mimi si mwana wa Adam”, basi atuambie anatoka kwa nani.
Na kama anasema “Adam hakutengenezwa na Allah”, basi swali linakuwa:
Adam alitoka wapi? Nani aliyemleta kuwepo?

Na kama mtu anazungumzia evolution, tusipotoshe mjadala kwa kusema “sayansi inasema mwanadamu alitokana na nyani wa leo.” Evolutionary biology huzungumzia common ancestry, si kwamba mwanadamu wa leo alitokana moja kwa moja na sokwe wa leo.

Lakini swali letu kwa mtazamo wa Qur’an linabaki:
Mwanadamu wa kwanza ni nani, na nani aliyemuumba?

Qur’an inatoa jibu:
Adam — ameumbwa na Allah.
Allah ndiye Muumba, Adam ndiye baba wa mwanadamu, na sisi ni Bani Adam — wana wa Adam.
Sasa mwenye kupinga haya aje na ushahidi wake.
Allah ni invented god of the kurayshs.Katika biblia hakuna mahala popote watu wamemrefer Mungu YHWH Kwa Jina bali kwa Jina la BWANA
 
Allah ni invented god of the kurayshs.Katika biblia hakuna mahala popote watu wamemrefer Mungu YHWH Kwa Jina bali kwa Jina la BWANA
Wakristo wa uarabu na ndani ya biblia yao jina Allah limeandikwa kama lilivyo, hiyo ni lugha tu , kama wachaga kusema ruwa kwa maana ya Mungu
 
Kuna swali ningependa kila anayesema “Simwamini Allah” au anayekanusha kwamba Allah ndiye Muumba wa mwanadamu alijibu:

Kama Allah si Muumba wako, nani aliyekuumba? Na kama humkubali Adam kuwa mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, kwa nini bado unajiita mwana wa Adam?

Qur’an iko wazi kuhusu jambo hili.
Allah anasema:
“Hakika mfano wa Isa mbele ya Allah ni kama mfano wa Adam. Alimuumba kwa udongo, kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.”
(Qur’an 3:59)

Na Allah anasema:
“Na kwa hakika tulimuumba mwanadamu kutokana na kizalio cha udongo.”
(Qur’an 23:12)

Pia anasema:
“Enyi watu! Mcheni Mola wenu ambaye amekuumbeni kutokana na nafsi moja, na akaumba kutokana nayo mwenza wake, na akaeneza kutoka kwa wawili hao wanaume wengi na wanawake.”
(Qur’an 4:1)

Hivyo Qur’an inatufundisha kwamba Adam ndiye mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, na kizazi chake kikaendelea kuenea duniani.
Ndiyo maana Allah anawaita wanadamu:
“Enyi wana wa Adam!”
(Qur’an 7:26, 7:31, 7:35)

Kwa hiyo kama mtu anasema “Mimi si mwana wa Adam”, basi atuambie anatoka kwa nani.
Na kama anasema “Adam hakutengenezwa na Allah”, basi swali linakuwa:
Adam alitoka wapi? Nani aliyemleta kuwepo?

Na kama mtu anazungumzia evolution, tusipotoshe mjadala kwa kusema “sayansi inasema mwanadamu alitokana na nyani wa leo.” Evolutionary biology huzungumzia common ancestry, si kwamba mwanadamu wa leo alitokana moja kwa moja na sokwe wa leo.

Lakini swali letu kwa mtazamo wa Qur’an linabaki:
Mwanadamu wa kwanza ni nani, na nani aliyemuumba?

Qur’an inatoa jibu:
Adam — ameumbwa na Allah.
Allah ndiye Muumba, Adam ndiye baba wa mwanadamu, na sisi ni Bani Adam — wana wa Adam.
Sasa mwenye kupinga haya aje na ushahidi wake.
Tatizo ni ALLAH WA MUDI BOY ..HUYO NI FEKI KWA ASILIMIA 100%
 
Kwanza, Binadamu hawaumbwi.

Binadamu wanazaliwa kwa kuzaliana wenyewe kwa wenyewe.

Hata wewe hukuumbwa na huyo Allah. Mama yako aliingia Leba kukuzaa.

Hakuna Allah.

Hakuna Mungu.
 
Una kitu mzee hebu funguka basi
Kiswahili kiliundwa kwa muingiliano wa maneno mengi ya kiarabu , kwanzia karne ya 17 , baada ya ujuo wa wafanya biashara wa kiarabu, maneno kama ijumaa yakapenyezwa kwenye lugha kwa maana ya kusanyiko la sala , kwa tafsiri ya kiarabu.

Neno kama bin Adam likazaliwa kutokea kwenye hadithi za kiarabu za kale nalo likapokelewa ndani ya mchanganyiko wa lugha ya kiswahili kwa mafumizi ya kawaida tu

Hivyo ni neno la kawaida la kimapokeo , kutokana na muundo wa lugha yetu adhimu ya kiswahili.
 
Kuna swali ningependa kila anayesema “Simwamini Allah” au anayekanusha kwamba Allah ndiye Muumba wa mwanadamu alijibu:

Kama Allah si Muumba wako, nani aliyekuumba? Na kama humkubali Adam kuwa mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, kwa nini bado unajiita mwana wa Adam?

Qur’an iko wazi kuhusu jambo hili.
Allah anasema:
“Hakika mfano wa Isa mbele ya Allah ni kama mfano wa Adam. Alimuumba kwa udongo, kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.”
(Qur’an 3:59)

Na Allah anasema:
“Na kwa hakika tulimuumba mwanadamu kutokana na kizalio cha udongo.”
(Qur’an 23:12)

Pia anasema:
“Enyi watu! Mcheni Mola wenu ambaye amekuumbeni kutokana na nafsi moja, na akaumba kutokana nayo mwenza wake, na akaeneza kutoka kwa wawili hao wanaume wengi na wanawake.”
(Qur’an 4:1)

Hivyo Qur’an inatufundisha kwamba Adam ndiye mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, na kizazi chake kikaendelea kuenea duniani.
Ndiyo maana Allah anawaita wanadamu:
“Enyi wana wa Adam!”
(Qur’an 7:26, 7:31, 7:35)

Kwa hiyo kama mtu anasema “Mimi si mwana wa Adam”, basi atuambie anatoka kwa nani.
Na kama anasema “Adam hakutengenezwa na Allah”, basi swali linakuwa:
Adam alitoka wapi? Nani aliyemleta kuwepo?

Na kama mtu anazungumzia evolution, tusipotoshe mjadala kwa kusema “sayansi inasema mwanadamu alitokana na nyani wa leo.” Evolutionary biology huzungumzia common ancestry, si kwamba mwanadamu wa leo alitokana moja kwa moja na sokwe wa leo.

Lakini swali letu kwa mtazamo wa Qur’an linabaki:
Mwanadamu wa kwanza ni nani, na nani aliyemuumba?

Qur’an inatoa jibu:
Adam — ameumbwa na Allah.
Allah ndiye Muumba, Adam ndiye baba wa mwanadamu, na sisi ni Bani Adam — wana wa Adam.
Sasa mwenye kupinga haya aje na ushahidi wake.
Na Allah anasema:
“Na kwa hakika tulimuumba mwanadamu kutokana na kizalio cha udongo.”
(Qur’an 23:12)......

elezea vizuri hii * tulimuumba**


walimuumba yeye na nani??


kabla ya quruan allah alijulikana??
 
Kuna swali ningependa kila anayesema “Simwamini Allah” au anayekanusha kwamba Allah ndiye Muumba wa mwanadamu alijibu:

Kama Allah si Muumba wako, nani aliyekuumba? Na kama humkubali Adam kuwa mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, kwa nini bado unajiita mwana wa Adam?

Qur’an iko wazi kuhusu jambo hili.
Allah anasema:
“Hakika mfano wa Isa mbele ya Allah ni kama mfano wa Adam. Alimuumba kwa udongo, kisha akamwambia: Kuwa! Basi akawa.”
(Qur’an 3:59)

Na Allah anasema:
“Na kwa hakika tulimuumba mwanadamu kutokana na kizalio cha udongo.”
(Qur’an 23:12)

Pia anasema:
“Enyi watu! Mcheni Mola wenu ambaye amekuumbeni kutokana na nafsi moja, na akaumba kutokana nayo mwenza wake, na akaeneza kutoka kwa wawili hao wanaume wengi na wanawake.”
(Qur’an 4:1)

Hivyo Qur’an inatufundisha kwamba Adam ndiye mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, na kizazi chake kikaendelea kuenea duniani.
Ndiyo maana Allah anawaita wanadamu:
“Enyi wana wa Adam!”
(Qur’an 7:26, 7:31, 7:35)

Kwa hiyo kama mtu anasema “Mimi si mwana wa Adam”, basi atuambie anatoka kwa nani.
Na kama anasema “Adam hakutengenezwa na Allah”, basi swali linakuwa:
Adam alitoka wapi? Nani aliyemleta kuwepo?

Na kama mtu anazungumzia evolution, tusipotoshe mjadala kwa kusema “sayansi inasema mwanadamu alitokana na nyani wa leo.” Evolutionary biology huzungumzia common ancestry, si kwamba mwanadamu wa leo alitokana moja kwa moja na sokwe wa leo.

Lakini swali letu kwa mtazamo wa Qur’an linabaki:
Mwanadamu wa kwanza ni nani, na nani aliyemuumba?

Qur’an inatoa jibu:
Adam — ameumbwa na Allah.
Allah ndiye Muumba, Adam ndiye baba wa mwanadamu, na sisi ni Bani Adam — wana wa Adam.
Sasa mwenye kupinga haya aje na ushahidi wake.
Kwenye uzi wangu nilishawaambia hizi dini ni bozo na hadaa.
VItisho na shuruti ni order ya day.

Hiyari ni sumu kwa sekta ya dini.
Shuruti shuruti kama jeshini


Imani ndiyo kila kitu
 
Back
Top Bottom