akili

Akili (Persian: اكيلي‎, also Romanized as Āḵīlī) is a village in Emamzadeh Seyyed Mahmud Rural District, Sardasht District, Dezful County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its existence was noted, but its population was not reported.

View More On Wikipedia.org
  1. kadiri kasimba

    Nini maana ya mstari huu: Wanamke ni viumbe dhaifu, tuishi nao kwa akili?

    Heshima kwenu wakuu! Naomba kujua kwanini, Kuna neno,, NI VIUMBE DHAIFU? na KUISHI NAO KWA AKILI? na je usipozingatia Haya Kwa mwanaume ni matokeo gani utayapata? Nawasilisha hoja kwenu wakuu!
  2. Genius Man

    Watu wenye tamaa za madaraka ni watu dhaifu sana kuliko wanavyo chukuliwa na kuogopwa hawana hekima yoyote na hawana akili

    siasa za kimagharibi ni wazi bado haziwezi kufanya kazi hasa anapotokea kiongozi mwenye tamaa za madaraka huku africa. Watu wenye tamaa za madaraka wanatumia kivuri cha demokrasia kufanya mauwaji, utekaji na ukandamizaji wakijificha kwenye kichaka cha demokrasia na amani ili kusalia madarakani...
  3. Mind stone

    UZI WA TIBA: Magonjwa Yanayodhoofisha Mwili na Akili – Tishio la Kimya Tunalopaswa Kulielewa Kitaalamu

    Habari zenu wanajukwaa wenzangu, Natumaini wote mko salama kabisa. Nawasalimu kwa heshima kuu kutoka kwa mtu wa taaluma ya afya – warm medical greetings to you all from a health-conscious professional. Leo nimeona nilete mjadala wa kina kuhusu magonjwa hatari ambayo huathiri mfumo wa mwili...
  4. ufalmedigital

    Ijue zaidi AI au Akili Mnemba

    🧠 THREAD: Ukweli Wote Kuhusu AI (Akili Mnemba) – Je, Tunajua Tunachocheza Nacho? 📕🤖 1/ Wengi wetu tumekuwa tukisikia kuhusu AI – Artificial Intelligence, lakini ni wangapi wanaelewa kwa undani ni kitu gani? AI si tu roboti au ChatGPT. Ni mabadiliko ya kihistoria yanayotikisa dunia kimya kimya –...
  5. Meerkat

    Hakuna kitu tunachogusa, kushika wala kukanyaga – kugusa ni udanganyifu wa akili

    Katika kiwango cha atomu, wazo la "kugusa" (touch) ni udanganyifu. Atomu nyingi zina nafasi tupu, zikiwa na kiini kizito katikati na wingu la elektroni. Unapojaribu kugusa kitu, elektroni katika atomu zako na atomu za kitu hicho zinakataa kukaribiana (repel each other) kwa sababu ya nguvu ya...
  6. Prof_Adventure_guide

    Vijana Jikomboeni! Msikubali Kuishia Mtaani – Njooni Nifungue Akili Zenu, Life Haikosi Hope!

    Listen up vijana! Msisoteseke bure mitaani mkijiona kama dunia imewageuka – it's time to wake up and boss up. I’m here to open your minds na siyo kwa dharau au kujifanya najua, but kwa sababu I feel your pain. Najua hali ya nchi ilivyo, najua pressure iko juu, but trust me, kuna njia ya kutoka...
  7. Kusini pride

    Nikiona maziwa ya mwanamke napata msisimko na kurukwa na akili

    Sijui ni pepo la ngono ama vipi wakuu yaani nikiona tu maziwa au chuchu za mwanamke hasa hasa zile chuchu saa sita napatwa na msisimko wa ngono inayopelekea kurukwa na akili wakuu Kiukweli hii hali siiipendi kabisa sasa sijui jinsi ya kufanya wakuu naombeni ushauri au msaada wa mawazo na mimi...
  8. adriz

    Mifano halisi jinsi ambavyo Simba na Yanga zimeharibu akili za Watanzania wengi.

    Moja kwa moja. Hii ni mifano michache ila Kuna aina mbalimbali za uchizi kuhusiana na mambo ya Simba na Yanga . #UziTayari
  9. Brojust

    Kumbe wakati mwingine ngada inafanya mtu uwe na akili na maamuzi sahihi, Basi sasa ndio nimejua umuhimu wake.

    Amani iwe nanyi! Kuna muda boss wangu nilikuwa nawaza sana anavyofanya maamuzi yake, Kuna wakati mpaka nilikuwa naona tunaenda kifirisika kumbe yeye ana target zake. (Off course ni mtu wa real estate) Lakini nikafanya utafiti mazuri sana kumbe kwanzia saa nane na nusu usiku mpaka saa Tisa...
  10. Yoda

    Washabaki wengi wa mpira bongo wana matatizo ya akili?

    Kila nikiwasikiliza mashabiki wengi wa mpira bongo wanavyoongea, kuandika, katika tambo na mabishano yao ya kimpira huwa nashindwa kuelewa kama vichwa vyao ni vizuri au kweli ni hisia na mahaba tu ya timu zao za mpira.
  11. ELI COHEN

    30s: Wakati ambao akili inakuwa ya moto sana

    Mbona sijajenga? Mbona sijapata kipato cha uhakika? Mbona sina gari? Mbona sitengenezi faida ya uhakika? Mbona sijaoa/sijaolewa? Mbona sina mtoto? Mbona sina akiba? Mbona nachelewa? Mbona classmates wana nipita? Mbona sii-provide familia vya kutosha?
  12. 05CUBA

    Just for fun: Namna wanaume hudeal na michepuko, akili mingi sana hutumika

    Kuna familia hapa jirani Mara nyingi ilikua Ikimhisi Sana father house wao kuwa alikua na nyumba ndogo huko mtaani. na daima familia kiujumla ililalama kuwa mzee wao alifuja kipato chake kikubwa kwakuhudumia nyumba ndogo (ambayo walikuwa wanaihisi tu kua itakuepo) Mziki ni pale Jama amekuja...
  13. Just Pray

    Waziri Kabudi: Waandishi wa habari msilemazwe na kufubaa na teknolojia, ya akili mnemba

    "Nawaonea wivu kwasababu sisi tulikuwa tunatuma habari kwa simu. Baadaye zikaja teknolojia nyingine. Ninyi mmepiga hatua lakini hata nyie msilemazwe na kufubaa na teknolojia, hata hii akili mnemba imeundwa na binadamu na inachukua maudhui kutoka kwa watu. Nawashukuru wadau wote na mliotoka nje...
  14. Kigilagilagatirumo

    Kuna design wife kama anafanya mambo ya hovyo hivi au na wake zenu pia wapo hivo

    .
  15. S

    Binadamu tupo gereza la akili halafu matatizo yapo huru

    Fundi samico nakueleza haya uyatambue. Ukipanda juu ya mti mrefu, ghorofa au kilele kirefu cha mrima ili uweze kuona pande zote nne zinazokuzunguka hapo ndipo utaona kila kitu kipo wazi pande zote hadi ukomo wa macho yako tu. Pia Ukishuka chini ukatoswa ndani ya shimo refu utaona eneo pekee la...
  16. R

    Kuamini kwamba hakuna binadamu kwenye mabilioni ya solar systems ni akili au matope??

    Mimi naamini wapo binadamu au at least viumbe wenye akili kwenye observable universe zilizo thousands of light years from the earth. Na swali langu ninalolitafiti mpaka leo: Imani juu ya asili ya ulimwengu ilianzia wapi? Wale wenzetu huko kwenye sayari zingine, what kind of faith do they...
  17. K

    Busara na akili katika siasa

    Katika nchi zetu za Afrika, hasa nchi ambazo DEMOKRASIA (Demokrasia kwa Tafsiri ya Kimagharibi) ni changa. Nchi ambazo siasa ni njia ya kutafuta utajiri, nchi ambazo siasa ni ni nyenzo ya kutafuta nguvu katka kijamii. KATIKA MAENEO HAYA UNATAKIWA KUISHI KWA BUSARA ZAIDI, ukichunga akili yako na...
  18. Stud

    Elimu ya darasani haimfanyi mtu kuwa na akili nyingi kuliko wengine – Ushahidi uko wazi kwenye viongozi wetu.

    Kwa muda mrefu sana tumekuwa tukidanganywa kwamba elimu ya vyeti ndio kipimo cha akili au uwezo wa mtu kufikiri. Lakini tukitazama hali halisi ya nchi yetu, tuna viongozi wengi wenye PhD, Master's, au shahada, lakini wanashindwa kufanya maamuzi ya msingi yanayowanufaisha wananchi. Tuna walimu...
  19. S

    Mheshimiwa Lisu apimwe akili

    Si semi kwa kumchukia inawezekana serikali inamkamata mtu aliye kuwa na kasoro kwenye akili. ,Utaalamu wa kidaktari unakubali kuwa kila binadamu ana uwendawazimu kwa kiasi fulani,hakuna asiekuwa nao. Lugha ingine wanaweza ita hasira. Unaweza kumkuta mtu anakunja suruali mguu mmoja,mwengine...
  20. Q

    PreGE2025 Tundu Lissu amegoma kesi yake kuendeshwa kwa njia ya Mtandao. Kesi yaendelea Mahakamani

    Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amegoma kusikiliza kesi ya Uhaini inayomkabili kwa njia ya mtandao hii ni kwa mujibu wa mawakili wake. Lissu alipaswa kufikishwa Mahakamani leo ili kufatilia mwenendo wa kesi hii. Pia soma > LIVE - Kisutu: Kesi ya Tundu Lissu leo itaendeshwa kwa njia ya...
Back
Top Bottom