ajira

  1. Oscar Lyrics

    Baada ya kuhitimu masomo ilikuchukua muda gani hadi kupata ajira yako ya kwanza?

    Achana na swala kutafuta ajira, unaweza kutembea na bahasha hadi ukahisi una mkosi au umelogwa ili usifanikiwe, Kuna wengine wana bahati, Baada ya kuhitimu wanapata ajira on spot, but wale wenzangu na mimi tuliosota miaka kadhaa kutafuta ajira nawapa pole sana. Ukipita kwenye makampuni unakuta...
  2. A

    KERO Wanachuo kutoka NCT Kutopata Ajira serikalini kupitia Ajira Portal

    Katika jambo la kushangaza vijana wengi waliohitimu chuo Cha taifa Cha utalii wamekua na kilio kisichoisha kwani kila Ajira zinapotangazwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wao kupata kazi imekua ngumu.. kwani mfumo wa Ajira (Ajira portal) unawakataa na hii imekuwa kilio Cha wazazi walio wengi...
  3. Uponyaji na uzima

    Ukitaka uchumi wako ukue kwa kasi hapa Tanzania jifunze kusifu na kuabudu

    Wewe jitoe ufahamu na kuimba sifa utaona kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi wako. Vyombo vyote vya dola vitakushabikia nawe utakula mema ya nchi.
  4. Zee la madawa

    Suluhisho la jobless wanawake na graduate waliokosa ajira kwasasa ni kuolewa? Inanishangaza sana

    Inanishangaza sana inaonekana kwa sasa suluhisho la jobless na graduate wengi sana waliokosa ajira ni kuolewa na hii hali inanishangaza sana aisee sasa najiuliza hapa nikiingiza miguu yangu kwamba hawa wanawake wote watanihitaji kwa ajili ya mapenzi na ndoa au kwa ajili ya kusukuma siku ziende...
  5. G

    KERO Msaada, napata changamoto kubadilisha taarifa ajira portal

    Msaada kwa anayejua namna ya kubadilisha taarifa kwenya account ya ajira portal. Mfano, Nilijiandikisha programu category ya Bachelor of arts (BED) education yaani somo moja. Badala ya Bachelor of arts with education (BAED) yaani masomo mawili kimakosa. Nawezaje kubadilisha taarifa maana...
  6. The Burning Spear

    Kuweni Makini Kuna Matapeli wa Ajira, Soma kisa hiki cha Kweli

    Kisa cha kweli Mwajili Tapel kuweni Makini sana. Katika Ulimwengu wa sasa ambao ajira zimekuwa adimu kuna matapeli wengi wanaoliza watu tuwe makini, Hiki ni Kisa cha kweli kabisa kanisimulia rafiki yangu kiilimpata last week. Iko hivi huyu jamaa alipigiwa simu na baba yake mdogo Kwamba kuna...
  7. Lamborgini

    Nisipopata ajira

    Plani zangu izo apo,Vipi kuhusu nyie wakuu
  8. Boyfriend15

    Ajira zipo, Mrejesho wa jinsi nilivyopata ajira kupitia jukwaa hili

    Habari za muda huu wakuu, Nipo mbele yenu kutoa ushuhuda wa jinsi jukwaa hili lilivyoleta mwanga kwenye maisha yangu. Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa hapa nilipo naamini kusudi lake na matakwa yake yamenifanya nifike hapa leo hii. Mimi ni kijana nilimaliza degree yangu ya...
  9. innongailojr

    TUNATAFUTA: Videographer / Content Creator

    TUNATAFUTA: Videographer / Content Creator Location: Mwenge,Dar es salaam Aina ya Kazi: Part-time (Kuwa Flexible ila deliver Kazi) Tunatafuta mtu mwenye uwezo wa kupiga, ku-edit, na kutengeneza video za kwa ajili ya Instagram & TikTok. Lazima uwe mbunifu, uelewe vibe ya content ya sasa, na uwe...
  10. W

    Watanzania tuna uteja wa ajira za serikalini, Mtu yupo tayari kuacha milioni 10 private kwa mshahara wa milioni 1 serikalini

    Ni kutojiamini, wanataka sehemu yenye blanketi zito hata kama maslahi ni madogo Halafu wengi huwa wanazuzuka na zile story za kupiga dili lakini wakifika huko wanakutana na mambo tofauti kabisa, deals zinapigwa kwe circle za watu wachache sana.
  11. Davidmmarista

    JamiiForums Tusaidiane: Kijana wa Geology hana Ajira Tangu Amalize Chuo, Maisha Yamempiga Mbaya

    Habari za wakati huu wapendwa wadau wa JamiiForums, Naamini wote ni wazima na mnaendelea vyema katika majukumu yenu ya kila siku. Nawasalimu kwa heshima kubwa na moyo wa unyenyekevu kabisa nikiwa na matumaini kwamba huu ujumbe wangu utawagusa na kuwahamasisha kwa namna yoyote ile. Leo nimeamua...
  12. Meneja Wa Makampuni

    Kati ya Millioni 10 na Ajira ya Serikali ya Millioni 1 kwa Mwezi, Ungechagua Kipi?

    Jana nilikutana na rafiki yangu wa karibu sana wakati tunabadilishana mawazo kuhusu maisha akanishirikisha jambo ambalo limenifanya nifikirie sana. Rafiki yangu ana dada yake ambaye ni mkurugenzi katika shirika moja kubwa la serikali hapa nchini. Amempa ofa achague kati ya kupewa milioni 10...
  13. the ultimatum

    KERO Changamoto za mfumo wa Ajira Portal zinachochea Matapeli kuigeuza fursa!

    Ndugu wana jukwaa napenda kueleza kwa ufupi sana kusikitishwa kwangu na mfumo mbovu wa secretariat ya ajira yaani Ajira Portal. Ajira Portal wameweka utaratibu kwamba ili u qualify kuomba kazi ni lazima walau profile yako ya Ajira Portal, wenyewe wanaita dashboard ifikishe walau 70% na ili...
  14. shinji

    Kwa nini ajira za TRA zinakiuka kanuni za utumishi? Je, wako juu ya sheria?

    Amani iwe nanyi! Ajira zote za serikali husimamiwa na Sekretarieti ya Ajira, ambapo baada ya mchakato kukamilika, majina ya waliopangiwa vituo hutolewa katika tovuti ili kila mmoja kuona. Hii imekuwa tofauti kwa TRA, ambao walianza vizuri kwa kutoa majina ya walioitwa kwenye usaili. Cha ajabu...
  15. DodomaTZ

    Nafasi za ajira kwa Wataalam wa Afya katika Eli Hospital Arusha

  16. Rebeca 83

    Kwanini vijana wa SUA hawana ajira?

    Hello JF... Leo nauliza kwa nini wanafunzi wa SUA hawana ajira.??? Wenzetu mtu mwenye degree ni mtu mwenye uhakika na ajira... Kwa nini serikali isijenge vyuo vingi vya Kilimo watu wasome... Watu kuanzia waliomaliza darasa la saba mpakla form six waliofeli waingie kwenye hivyo vyuo wasome...
  17. Just Pray

    PreGE2025 Heche: Rais anasema sio wajibu wa serikali kutengeneza ajira, msoma ilani anasema watatengeneza ajira milioni 8

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara John Heche ameeleza kuwa nchi ya Tanzania inayo fursa ya kutengeneza ajira za kutosha kwa Watanzania iwapo tu kutakuwa na mifumo madhubuti ya kiutawala na kiutendaji ambayo amedai kuwa kwa sasa haipo. Heche ameyasema hayo...
  18. D

    Mfumo wa ajira portal una shida

    Network ziko down...tatzo nn?
  19. R

    Vijana wasiokua na ajira, wakawagwajimanize hao wanasiasa wanaoona kama wao ndio wana hatimiliki ya kuiongoza nchi

    Habari za muda huu wanajamvi. Kumekua na tatizo kubwa la ukosefu wa ajira nchini na wanasiasa hawaonekani kuguswa na hii kadhia Zaidi wanawaambia vijana wajiajiri lakini wao wanaomba ajira kwa hao wanaowaambia wajitafutie ajira Huduma za afya ni mbovu. Miundombinu hairidhishi na mambo mengine...
  20. Davidmmarista

    Tangazo la ajira mbalimbali. Fungua Document hapo chini

    👇🏻👇🏻👇🏻 open document hapo chini upate maelekezo.
Back
Top Bottom