airtel

Bharti Airtel Limited, also known as Airtel, is an Indian multinational telecommunications services company based in New Delhi, Delhi NCT. It operates in 18 countries across South Asia and Africa, and also in the Channel Islands. Airtel provides 2G, 4G LTE, 4G+ mobile services, fixed line broadband and voice services depending upon the country of operation. Airtel had also rolled out its VoLTE technology across all Indian telecom circles. It is the second largest mobile network operator in India and the Second largest mobile network operator in the world with over 457.96 million (45.796 crore) subscribers. Airtel was named India's 2nd most valuable brand in the first ever Brandz ranking by Millward Brown and WPP plc.Airtel is credited with pioneering the business strategy of outsourcing all of its business operations except marketing, sales and finance and building the 'minutes factory' model of low cost and high volumes. The strategy has since been adopted by several operators. Airtel's equipment is provided and maintained by Ericsson, Huawei, and Nokia Networks whereas IT support is provided by Amdocs. The transmission towers are maintained by subsidiaries and joint venture companies of Bharti including Bharti Infratel and Indus Towers in India. Ericsson agreed for the first time to be paid by the minute for installation and maintenance of their equipment rather than being paid up front, which allowed Airtel to provide low call rates of ₹1 (1.4¢ US)/minute.

View More On Wikipedia.org
  1. Replica

    JamiiForums Tanzania Jinsi wadukuzi walivyolamba mabilioni ya Airtel Money Uganda kupitia kampuni ya kubeti, makampuni ya Tanzania yajipange

    Taarifa zimetoka jinsi kikundi cha udukuzi cha kofia nyeusi 'black hats' kilivyotumia tovuti ya michezo nchini Uganda kuchukua pesa kutoka kwenye mfumo wa Airtel Uganda(AMCUL) Wakati tovuti hiyo ya kampuni ya michezo ya kubahatisha ikijisifu kufata viwango vya usalama kulinda taarifa za...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Mfalme Zumaridi kama umeshindwa kuongoza kanisa, pisha mchungaji mwingine

    Duh.... Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu. Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini? Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani. Yeye kila siku yuko kwenye...
  3. Sozo_

    JamiiForums Tanzania Postpaid ya mtandao wa Voda, Halotel, Airtel

    Kichwa cha habari chajieleza, naomba mwenye kufahamu gharama za kujiunga postpaid ya mitandao tajwa hapo juu anisaidie chati yake.
  4. H

    JamiiForums Tanzania Mliokopa salio la kawaida kwenye Airtel mmekutana na hiki kitu kwenye kulipa?

    Salamu wadau. Kifupi sio kulipa labda niseme utaratibu wao mpya sio mzuri. Juzi kwa dharura nimekopa salio la kawaida nimpigie jamaa nikafanikiwa sasa kesho yake nimeenda kwa wakala niweke hela nashangaa ghafla napigwa na kitu kwamba salio lako ulilokopa limekatwa deni lako na hela iliyobaki...
  5. Sildenafil Citrate

    JamiiForums Tanzania Airtel yadaiwa mamilioni kortini

    Kampuni ya Airtel imepandishwa kizimbani ikidaiwa fidia ya Sh490 milioni kwa kuitumia sauti ya Nixon Bandago Haule kwenye tangazo la ‘Airtel the Smartphone Network.’ Kesi hiyo imefunguliwa na Haule Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam anayedai sauti inayosikika katika kaulimbiu hiyo na kutumika...
  6. Iziwari

    JamiiForums Tanzania Weka mfumo wa malipo unaotumia M-Pesa na Airtel Money kwenye tovuti yako

    Unapofanya uamuzi wa kuanza biashara yeyote unahitaji kujitengenezea kipato kizuri. kwa kuzingatia ubora na utofauti wa bidhaa unazoziuza. Unaweza ukapata wateja wengi na biashara yako ikakuwa kwa haraka. Kwa sasa tumekuwa na biashara nyingi sana. Wengi wetu tukisahau kuwa kuna biashara...
  7. 2013

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Airtel wamebuni wizi mpya wa kuuza vocha ambayo haijaanza kutumika

    Huu ni mtindo mpya ambao Airtel wamebuni ili kuwaibia wateja, tumezoea kuibiwa MB's zetu zinapunguzwa kiaina na wakati mwingine unapokea meseji kuwa bando limeisha hata kabla halijaisha au haujalitumia vizuri. Lakini sasa wamekuja na mbinu nyingine ya kuwaibia wateja kupitia kuwauzia "Tozo" ya...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Airtel rekebisheni haraka hii changamoto ya vifurushi vya SMS

    Nianze na hili, Kwa shilingi elfu Moja unapata SMS za Wiki zipatazo 5000 na Kwa elfu 2 unapata SMS za mwezi 9000. Maajabu, Mmeweka Ukomo wa Kutumia SMS hizo, yaan Kwa siku Mteja wenu atumie SMS 300 tu, kiwe ni kifurushi cha wiki au mwezi. Tafasiri yake Kwa Mteja wa Kifurushi Cha wiki Sms...
  9. Jbst

    JamiiForums Tanzania Airtel ni wezi na vibaka wanaomiliki kampuni ya mawasiliano

    Sijui ni mimi tu au na wenzangu mnakutana na huu wizi wa data!! Naweka bundle la 5,000 ila cha ajabu ni kwamba wakinitumia ile sms ya umefikia 75% ya matumizi ya bundle nililoweka na muda huo huo sms ya kifurushi chako kimekwisha inaingia! Yaani sms ya 75% bando nililotumia inaingia muda huu...
  10. zink

    JamiiForums Tanzania Hawa AIRTEL ni matapeli kabisa hasa kwenye kifurushi chao cha MB 850 cha shilingi 1500

    Habari wakuu wa jf, Huwezi amini nimejiunga kifurushi cha MB 850 kwa elfu 1500 hata nusu saa haijapita naambiwa umetumia asilimia 75% ya kifurushi chako. Kama hali ndio hii basi tumekwisha na sikuwahi kuzani kama airtel nao ni matapeli tu ila fine waache wachukue hivo vi MB vyao PUMBAFU SANA...
  11. Risk manager

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada kisheria, nawadai Airtel

    Habari zenu wanajukwaa, Ninaombeni nisaidiwe namna ya kurudishiwa hela na Airtel kiasi cha shilingi milioni moja ya kitanzania. Ishu iko hivi nililipa katika akaunti yao ili nijengewe zile shop zao. Sasa team leader aliyekuwepo hakunipa mktaba wa kujaza mpaka nikaondoka eneo nilikokuwepo maana...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Airtel mtandao ovyo tangu jana hakuna hata taarifa rasmi wala apology

    Watu hawa hawaheshimu wanuka jasho kabisa. Huduma hovyo, mabando ghali (kwa wale wasiojua vpn) wanafanya wanavyojisikia sababu wnajuaa nape nnauye atawatetea kwa lolote lile keshakuwa msemaji wao. Tangu jana hadi sasa hivi connection ya airtel ni tiatia maji na wamenyamaza kimyaaa ukipiga...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Airtel mnaiba bando au ni nini?

    Jamani siku tatu hizi zilizopita naona kifurushi kwangu kinaisha sana, hapo zingatia sifui video wala kudownload chochote. Unakuta GB 2 zinaisha ndani ya lisaa, Seriously? Hivi ni kwangu tu au kwa wote? Whatsapp tu ndo natumia sana na nimedisable media zote kujidownload automatic
  14. R

    JamiiForums Tanzania Kampuni za simu na huduma stahiki kwa wananchi

    Kuna kitu inabidi tujiulize kuhusu makampuni ya simu na huduma tunazostahili kupata kutoka kwao, huduma ambazo ni haki yetu kupata na wala hatupewi msaada. Shida inatokea pale watanzania wapoona makampuni haya ya simu yanatuhurumia kutupatia huduma hizi na kwamba bila ya huruma yao basi huduma...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania SMB Sales Executive -Highland Zone at Airtel Tanzania

    SMB Sales Executive -Highland Zone Airtel Tanzania PLC wishes to recruit for a SMB Sales Executive -Highland Region. The role reports to the SMB Channel Manager in Enterprise Business Department. He/She will be responsible to Acquire quality business customers to contribute towards the...
  16. Jawai

    JamiiForums Tanzania Uongo wa vifurushi vya Intaneti vya Airtel Tanzania

    Kutokana na matumizi makubwa ya fedha kwenye manunuzi ya vifurushi vya Internet. Tarehe 01/08/2022, nilijiunga na kifurushi cha Tsh.1500 (Mb850) na niliamua kuanza kufuatilia na kujipimia matumizi ya vifushi vya Internet kwenye simu yangu kupitia Mobile data usage ambapo nilipata fursa ya kuweka...
  17. N

    JamiiForums Tanzania Airtel wapandisha vifurushi vya internet

    Hakuna waziri anayevutia wawekezaji kupata faida kwenye biashara ya DATA kama Nape nnauye, kijana anapiga kazi aiseeee Nimeamka nakuta kifurushi cha 1500 nilichokuwa naapata gb1 kwa sasa ni mb 850, hapo ukilalamika utasikia Nape anasema TCRA fatilia hao, utasikia mnalalamika nini wakati...
  18. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Airtel mtandao unasumbua tangu Julai 19, shida ni nini?

    Yaani network inakatika nusu saa Dar mjini hapa? Hakuna kupiga simu, wala sms wala internet. Na leo mmeanza tena, simu haziendi, shida nini?!!!
  19. K

    JamiiForums Tanzania Visa card for Vodacom Vs Mater Card ya airtel, Ipi bora??

    Wadau, nataka kupata uzoefu wenu ,, ni card ipi ya online unawezaitumia kulipia huduma mbalimbali za mitandaion. Mfano unataka kulipia kwa dolla ila umeweka hera kwa Tsh etc, je usalama wake.. Naomba wazoefu wasaidie kushare uzoefu.
  20. Faana

    JamiiForums Tanzania Airtel wameshusha bei za vifurushi?

    Hapo mwanzo waliuza hiki kifurushi kwa shilingi 1500 naona sasa ni 1,000 Sent: *149*99# Received: 0. Balance/Swahili 1. Special Offer/UNI 2. SMS 3. All Networks 4. Airtel-Airtel 5. Internet 6. Combo 7. Unlimited Bundles n Next Sent: 2 Received: Select Bundle 1 .200Tsh=200SMS 24hrs 2...
Back
Top Bottom