africa

  1. Hii ni coincidence ama mpango nchi zote za Africa zilizopo karibu na bara la Europe ni za Waarabu.

    Ukiangalia kwa haraka unaweza kuchukulia poa how come pale juu hakuna taifa lolote la Waafrika weusi? Kwa Nini chini mwa Sahara desert hakuna tena nchi ya kiaarabu? Niamini Mimi Kuna namna watu hawakutaka watu weusi wawe na direct access kwenye nchi za Europe.
  2. Kuomba ufafanuzi kuhusu hii habari iliyopostiwa East Africa tv

    #HABARI Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu ametangaza kuanza kutumika kwa Muundo mpya wa Utumishi wa Maendeleo ya kada za Uuguzi na Ukunga ifikapo mwezi Julai mwaka huu. Sangu ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Aprili 10, 2025 Mkoani...
  3. Rekodi ya kuhama chama ya Lowassa haitakaa ikaribiwe, alisepa na kijiji, hawa G55 wanaigiza sana, hata familia zao haziwafuati huko

    Lowasa wakati anatoka CCM alisepa yeye na kijiji plus familia yake yote plus ndugu na jamaa na marafiki zake karibia wote. Sasa hawa G55 sijuia kama wanajishutukia kwamba wanaondoka wenyewe hata familia zao haziwafuati huko, hakuna anaye waunga mkono huko, hakuna anaye wasapoti. Hata Dr Slaa...
  4. Africa Magic Viewers Awards (MVCA) Tanganyika tumeangukia pua

    1. Sijaona awards wala msanii/ Sanaa toka Tanganyika kwenye MVCA. Kazi za sanaa mmeingiza siasa. Kimataifa mtapasikia Tu. 2. Kenya na Kiswahili chao cha kuunga wananyakua awards kama zote (Hata zile za Kiswahili Achilia Kiingereza ambacho hatukiwezi. **Pole Mrisho Moto, pole Doto Magari
  5. Nini maana ya Nigeria kuwa na uchumi mkubwa Africa ikiwa raia wake milioni 90 hawana umeme?

    Nigeria ni mojawapo ya mataifa ya hovyo sana Africa, mzalishaji namba moja wa mafuta Africa raia wake milioni 90 hawana umeme, yani 40% ya watu wake bado wanaishi kwa vibatari!
  6. Airtel Africa teams up with SpaceX to expand Starlink internet in underserved regions

    The rollout will cover Nigeria, Kenya, Malawi, Madagascar, Zambia, Rwanda, Niger, Chad, and the Democratic Republic of Congo, all markets where Airtel is already active Wakuu Hii deal leo Airtel Africa ame sign na Spacex Lakini Airtel Tanzania naona haiko Included? Je ili Kuambiwa kuwa Spacex...
  7. D

    Africa Uncovered: The systematic suppression of opposition voices to avoid election defeat in Tanzania?

    https://youtu.be/ymGz-MPekKs?si=e_NTmYmrlQKJec0i Tanzania's first female president, Samia Suluhu Hassan, rose to power in 2021 following the sudden death of COVID-skeptic John Magufuli. Initially hailed as a reformer for reversing Magufuli's controversial policies and reviving Tanzania's...
  8. Exclusive Video ya 1974: Magoli ya Simba yaliyoipeleka Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Africa

    Nimekutana na hii exclusive video ya mechi ya robo fainali kati ya Hearts of Oak vs Simba iliyofanyika mwaka 1974 ambapo Simba ilishinda kwa magoli 2-1 nikaona ni vyema kushea ili wengine wengi wapate kuiona. Baada ya hatua hiyo, Simba ilitinga hatua ya nusu fainali ya mashindano hayo ya...
  9. Jana Mbunge wa Kenya kauliwa na huku kwetu kiongozi wa kidini kavamiwa. It makes you wonder kwamba je wewe mpambanaji wa kawaida what worst can happen

    Aisee, Amani na Utulivu ndio tumaini la mwisho katika ubinadamu ila kwa bahati mbaya kwa baadhi ya watu sio kitu cha thamani kwao. Nawatakia Amani ndugu zangu.
  10. Democrasia iliopo Kenya hasa uhuru wa habari sio wa levo hizi za Africa ni beyond Africa labda Ulaya huko nako pia nina wasiwasi.

    Democrasia iliopo Kenya sisi hata robo yake hatutarajii kuifikia , kwa kizazi hiki cha kipumbavu. Jamaa wako mbali sana kwenye uhuru. Angalia hii habari na piga picha ndio Bongo hii. Hii je? Kenya uhuru wa Habari ni beyond, Tanzania kuna wajinga wanadanganywa kwamba kuna uhuru wa Habari...
  11. Ijue historia: kikosi cha simba msimu wa 2024-2025 kilichofuzu fainali za kombe la shirikisho barani africa cafcc. 2025

    Kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2024/2025. KILICHOFUZU KUCHEZA FAINALI ZA SHIRIKISHO BARANI AFRICA CAFCC 2024-205. kinajumuisha wachezaji kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika. Hapa chini ni orodha ya baadhi ya wachezaji na nchi zao: GOLIKIPA 1. Mussa Camara🇬🇳 2. Aishi Manula 🇹🇿 3. Ally...
  12. TAARIFA: Uzinduzi wa JamiiAfrica pamoja na Mpango Mkakati wake

    Kwa siku za hivi karibuni huenda, kupitia mitandao yetu ya kijamii umeona mwonekano wetu mpya kuanzia kwenye logo mpaka grafiki na ukapata maswali mengi kuhusu nini hasa kinaendelea kwenye taasisi yetu. Habari njema ni kwamba sasa taasisi yetu imekua zaidi, na ili kuendana na kasi yetu na ya...
  13. J

    Wabunge wamlaumu Uhuru Kenyata kwa kuwashawishi Vijana wa Africa mashariki walete mabadiliko kwa kushika madaraka

    Wabunge wazee wamemlaumu Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyata kwa kuwataka Vijana wa Africa mashariki waamke kutoka usingizini Wabunge hao wamesema Vijana wakipewa madaraka makubwa nchi za Africa mashariki hazitatawalika Source: Citizen tv Kwako kijana Lucas Mwashambwa
  14. Viongozi wa Afrika wanafanana uwezo wa kufikiria

    Unakuta viongozi wote wa Afrika matatizo yanafanana. Hawana sera zozote za maendeleo wa kikaa kwenye kiti wamekaa na kujiona wako juu hicho ndo kitu wanataka. Ni tofauti na nchi za mwarabu kidogo wana uelewa. South nae awashukuru wazungu kubakizwa lakini hii ngozi na ubabe damudamu. Tutasanda...
  15. Africa today; Do we need a third revolution for human rights?

    It is indisputable fact that colonial powers misused states agencies to torture, subdue and plunder our countries. These observations as bad as they were, they were no less of what was expected out of colonialism because their agenda was that of exploitation. Freedom fighters across the...
  16. Haya mambo utayapata Africa tu Tamaa za madaraka wananchi wa tunisia waandama dhidi ya serikali kwa kukandamiza upinzani

    Haya mambo utayapata africa tu Tamaa za madaraka wananchi wa tunisia waandama dhidi ya serikali kwa kukandamiza upinzani. Haya mambo kama huelewi ndio anayofanya samira watu wamehamasisha uwepo wa haki kwenye taifa wanaitwa waahini, watu wameenda mahakamani wanaitwa wafanya vurugu, watu...
  17. M

    Hodi hodi Jamii Forums

    Salamu wakuu! Wadau naomba mnikaribishe kwenye nyumba ya Great thinkers kijana mwenye damu changa, mwenye mawazo yanye tija Kwa taifa. Asanteni sana.
  18. Nchi 11 tajiri Afrika kulingana na GPD

    Orodha ya nchi kulingana na pato la taifa; 1. Afrika Kusini $410.34b 2. Egypt $347.34b 3. Algeria $268.89b 4. Nigeria $188.27b 5. Morocco $165.84b 6. Kenya $131.67b 7. Ethiopia $117.46b 8. Angola $113.34b 9. Côte d'Ivoire $94.48b 10. Ghana $88.33b 11. Tanzania $85.98b
  19. Taswira ya uchaguzi wa nchi nyingi za Africa

    Chini ya meza, kuna wanajeshi kadhaa wakimpa kadi zaidi mtu huyu kwa siri, ikimaanisha kuna hila na msaada wa kijeshi kwa upande wake. Wengine wawili (mmoja mwenye mavazi mekundu na bereti, mwingine mwenye nguo za buluu), wanaonekana kuwa na wasiwasi, uchungu, na hali ya kutokuweza kushindana...
  20. Ni nchi gani hapa Afrika naweza kwenda kuishi kwa amani?

    Dah Mimi sio mwanasiasa, ila jambo lililotokea Leo limeniuma sana, nimewaza leo yanatokea kwa wenzagu kesho yanaweza kutokea kwa Familia yangu au watoto wangu, Mwisho nitaishi kwa visasi na chuki.. Naona hii sio siri tena, walioko madarakani hawataki kuachia kwa namna yoyote ile, tumekubali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…