Katika muda wa miaka 20 iliyopita China imejitokeza kuwa msaada mkubwa kwa nchi nyingi duniani, hasa nchi za dunia ya tatu ambazo kwa muda mrefu zimekuwa wahanga wa unyonyaji, kupuuzwa na ukandamizaji.
Lakini kujitokeza kwa China na kuwa na sauti kwenye jukwaa la kimataifa, iwe ni kwenye eneo...
Kwa mujibu wa taarifa zilizopo Africa CDC inaonekana mpaka tarehe 19 August 2021 Tanzania ina visa 16,970 vya maambukizi ya virusi vya corona na vifo 50.Pia WHO inaonyesha kuna visa 1,367 na vifo 50.
Je, hizi taarifa ni rasmi ? Kuna makosa yaliyofanyika au ni hujuma ? Kuna umuhimu wa jambo...
Mfungwa anapomaliza kifungo na kurudi uraiani anakuwa kama mtoto. Hana kazi, hana mali na wakati mwingine hata utu wake huonekana tofauti. Anaweza kuonekana kama mhalifu kama wengine wengi ambao wakitoka jela huwa na sura za kutisha.
Huonekana si kitu. Hana mbele wala nyuma na waswahili husema...
10 August 2021
Tanzania's President Samia Suluhu Hassan says there were people who doubted she was qualified to lead when she first became head of state because she was a woman.
In an exclusive interview with BBC Africa's Salim Kikeke, President Suluhu also spoke about her Covid-19...
Wataalamu wa Afya Nchini humo wamethibitisha kisa cha kwanza cha Marburg katika Ukanda wa Afrika Magharibi. Ugonjwa huo umetajwa kuwa jamii moja na Virusi vya Ebola. Mgonjwa aliyekutwa nao amefariki dunia.
Imeelezwa, Ugonjwa huo unasambaa kwa binadamu kupitia majimaji. Jitihada za kutafuta watu...
A country like Botswana which is basically composed of a single ethnic group (the minorities in Botswana, including whites, Coloureds, Asians, and Khoisan, have zero political aspirations and are such a negligible percentage of the population they can be easily discounted) is the ideal setup in...
Under Secretary for Political Affairs Victoria Nuland will travel to South Africa, Botswana, Tanzania, and Niger from July 31 to August 6.
In South Africa, the Under Secretary will meet with senior South African officials and co-chair the Working Group on African and Global Issues to advance...
Maisha yake ya utotoni
Kizzmekia Corbett alizaliwa huko Hurdle Mills, North Carolina (Januari 26 1986). Alikulia katika familia kubwa ya ndugu wa kambo na ndugu wa kulea.
Corbett alienda Shule ya Msingi ya Oak Lane huko Roxboro A.L. Stanback Middle School. Mwalimu wake wa darasa la nne, Myrtis...
Natumahi uko mzima wa afya.
Leo mitaongea kwa ufupi kuhusu TEKNOLOJIA...
Swali hili nimekuwa nikijiuliza sana kutokana na kusoma sana vitabu vya biashara na uchumi pamoja na teknolojia, nimefanya utafiti wa kina sana kwa nchi za africa especial EAST AFRICA & WEST AFRICA nimekuja kuona...
Many greetings to everyone.
We are currently looking for Software Developers in Africa.
We welcome applications from all African countries.
Consideration will be placed on a First-Come-First-Served basis.
Kindly share the attached job descriptions to the qualified ones to send their...
Many greetings to you.
We are currently looking for Software Developers in Africa.
Kindly share the attached job descriptions to the qualified ones to send their applications before the deadline.
Freundliche Grüße/ Kind regards
| Cyrus T.J Okolah Omolo | Director Of New Business...
Pause: "Neighbour, the times they are a-changin'..."
__We need a revolution in numeracy, now!
If there are no qualified Maths teachers at your childrens' school, don’t complain... Get together with other parents and fix at least this ONE problem now! Why? Because there is ZERO time to waste...
Nchi za kiafrika zinatakiwa kutafuta njia nyingine ya kisiasa. Demokrasia ya nchi za magharibi haifanyi kazi Africa nzima. Ni vurugu tupu. Africa inahitaji viongozi bora, kama Kagame ama Hayati Magufuli kuipeleka Tanzania mbele. Wao wenyewe hawakuweza kujenga uchumi wawo. Wabeligiji...
Utangulizi
Hebu fikiria unaenda dukani kununua bidhaa na unambiwa kwamba bidhaa hiyo haipo. Unazunguka maduka zaidi na jibu linakuwa lile lile. Hapo inabidi aidha uhairishe ununuzi, au ufunge safari kwenda kwenye maduka makubwa yaliyoko mbali na wewe. Utatumia gharama, na kupoteza muda.
Sasa...
LUANDA - The Secretary-General of the African Continental Free Trade Area (AfCFTA), Wamkele Mene, said on Monday that Africa will soon have a new trading standard with the development of the organization. Mene made the remarks after talks with Angolan President Joao Lourenco over issues related...
Chimamanda Ngozi Adichie was born in Enugu, Nigeria in 1977. She grew up on the campus of the University of Nigeria, Nsukka, where her father was a Professor and her mother was the first female Registrar. She studied medicine for a year at Nsukka and then left for the US at the age of 19 to...
Niende moja kwa Moja kuelezea utawala Bora Ni Ni kitu gani.
Utawala Bora Ni ile Hali ya serikali,shirika au taasisi kuongoza Kwa kufuata misingi ya Haki,uwazi na uwajibikaji .
Katika nchi nyingi za jangwa la Sahara,utawala Bora imekuwa Ni kitu adimu Sana kwani nchi takribani zote zinaongoza...
Kwa yaliyotokea Africa Kusini wananchi kutoka barabarani na kuzua vurugu kubwa dhidi ya uamuzi wa kisheria na kikatiba wa kumuweka ndani Rais Mstaafu, ni dhahiri kwamba bado hatujakomaa kidemokrasia.
Jambo lingine limetokea kule Kenya siku chache zilizopita ambapo Rais wa nchi hiyo aliongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.