africa

  1. L

    Uungaji mkono wa China kwenye majukwaa ya kimataifa sio jambo la bahati mbaya

    Katika muda wa miaka 20 iliyopita China imejitokeza kuwa msaada mkubwa kwa nchi nyingi duniani, hasa nchi za dunia ya tatu ambazo kwa muda mrefu zimekuwa wahanga wa unyonyaji, kupuuzwa na ukandamizaji. Lakini kujitokeza kwa China na kuwa na sauti kwenye jukwaa la kimataifa, iwe ni kwenye eneo...
  2. Cannabis

    Nani anayehusika kupeleka takwimu za maambukizi ya COVID-19 Africa CDC?

    Kwa mujibu wa taarifa zilizopo Africa CDC inaonekana mpaka tarehe 19 August 2021 Tanzania ina visa 16,970 vya maambukizi ya virusi vya corona na vifo 50.Pia WHO inaonyesha kuna visa 1,367 na vifo 50. Je, hizi taarifa ni rasmi ? Kuna makosa yaliyofanyika au ni hujuma ? Kuna umuhimu wa jambo...
  3. Kamamaa

    SoC01 Mfungwa sio mnyama, alipwe, alipe kodi

    Mfungwa anapomaliza kifungo na kurudi uraiani anakuwa kama mtoto. Hana kazi, hana mali na wakati mwingine hata utu wake huonekana tofauti. Anaweza kuonekana kama mhalifu kama wengine wengi ambao wakitoka jela huwa na sura za kutisha. Huonekana si kitu. Hana mbele wala nyuma na waswahili husema...
  4. B

    President Samia: Some don't believe that women can lead

    10 August 2021 Tanzania's President Samia Suluhu Hassan says there were people who doubted she was qualified to lead when she first became head of state because she was a woman. In an exclusive interview with BBC Africa's Salim Kikeke, President Suluhu also spoke about her Covid-19...
  5. beth

    Guinea yaripoti kisa cha kwanza cha Ugonjwa wa Marburg

    Wataalamu wa Afya Nchini humo wamethibitisha kisa cha kwanza cha Marburg katika Ukanda wa Afrika Magharibi. Ugonjwa huo umetajwa kuwa jamii moja na Virusi vya Ebola. Mgonjwa aliyekutwa nao amefariki dunia. Imeelezwa, Ugonjwa huo unasambaa kwa binadamu kupitia majimaji. Jitihada za kutafuta watu...
  6. leroy

    Why has Botswana been so successful compared to others in Africa?

    A country like Botswana which is basically composed of a single ethnic group (the minorities in Botswana, including whites, Coloureds, Asians, and Khoisan, have zero political aspirations and are such a negligible percentage of the population they can be easily discounted) is the ideal setup in...
  7. Cicero

    Tanzanian CEOs 2nd highest paid in Sub Saharan Africa after Nigeria

    NB: This is excluding South Africa Source: Nigeria CEOs Among Best Paid in Sub-Saharan Africa, PwC Says
  8. J

    Under Secretary Nuland’s Travel to South Africa, Botswana, Tanzania and Niger

    Under Secretary for Political Affairs Victoria Nuland will travel to South Africa, Botswana, Tanzania, and Niger from July 31 to August 6. In South Africa, the Under Secretary will meet with senior South African officials and co-chair the Working Group on African and Global Issues to advance...
  9. Nkobe

    Mfahamu kwa kifupi Kizzmekia Corbett mwana dada mwenye asili ya Afrika (Mmarekani mweusi) na Mgunduzi mkuu wa chanjo ya COVID-19

    Maisha yake ya utotoni Kizzmekia Corbett alizaliwa huko Hurdle Mills, North Carolina (Januari 26 1986). Alikulia katika familia kubwa ya ndugu wa kambo na ndugu wa kulea. Corbett alienda Shule ya Msingi ya Oak Lane huko Roxboro A.L. Stanback Middle School. Mwalimu wake wa darasa la nne, Myrtis...
  10. benny gilbert

    SoC01 Kwanini nchi nyingine zinafanikiwa zaidi na zipo AFRICA?

    Natumahi uko mzima wa afya. Leo mitaongea kwa ufupi kuhusu TEKNOLOJIA... Swali hili nimekuwa nikijiuliza sana kutokana na kusoma sana vitabu vya biashara na uchumi pamoja na teknolojia, nimefanya utafiti wa kina sana kwa nchi za africa especial EAST AFRICA & WEST AFRICA nimekuja kuona...
  11. Cyrustj

    Software developers in Africa

    Many greetings to everyone. We are currently looking for Software Developers in Africa. We welcome applications from all African countries. Consideration will be placed on a First-Come-First-Served basis. Kindly share the attached job descriptions to the qualified ones to send their...
  12. Cyrustj

    Re: Software developers in Africa

    Many greetings to you. We are currently looking for Software Developers in Africa. Kindly share the attached job descriptions to the qualified ones to send their applications before the deadline. Freundliche Grüße/ Kind regards | Cyrus T.J Okolah Omolo | Director Of New Business...
  13. Komeo Lachuma

    Picha Tafakuri ya Marais Watatu wa Afrika Mashariki wakipata chanjo ya Covid-19

    Hizi ni picha za Marais watatu wa east africa wakichoma Chanjo ya Covid 19. Huu ndo uongozi unavyopaswa kuwa. Kuongoza kwa mfano.
  14. FAHAD KING

    SoC01 Africa, we need a revolution in math..!

    Pause: "Neighbour, the times they are a-changin'..." __We need a revolution in numeracy, now! If there are no qualified Maths teachers at your childrens' school, don’t complain... Get together with other parents and fix at least this ONE problem now! Why? Because there is ZERO time to waste...
  15. M

    Demokrasia ya Magharibi inasaidia Afrika ama inaibomoa Afrika?

    Nchi za kiafrika zinatakiwa kutafuta njia nyingine ya kisiasa. Demokrasia ya nchi za magharibi haifanyi kazi Africa nzima. Ni vurugu tupu. Africa inahitaji viongozi bora, kama Kagame ama Hayati Magufuli kuipeleka Tanzania mbele. Wao wenyewe hawakuweza kujenga uchumi wawo. Wabeligiji...
  16. E

    Ezytrade Africa Smartshop Chochote Popote

    Utangulizi Hebu fikiria unaenda dukani kununua bidhaa na unambiwa kwamba bidhaa hiyo haipo. Unazunguka maduka zaidi na jibu linakuwa lile lile. Hapo inabidi aidha uhairishe ununuzi, au ufunge safari kwenda kwenye maduka makubwa yaliyoko mbali na wewe. Utatumia gharama, na kupoteza muda. Sasa...
  17. E

    Africa soon to have new trading standard

    LUANDA - The Secretary-General of the African Continental Free Trade Area (AfCFTA), Wamkele Mene, said on Monday that Africa will soon have a new trading standard with the development of the organization. Mene made the remarks after talks with Angolan President Joao Lourenco over issues related...
  18. E

    Chimamanda Ngozi Adichie Mwandishi nguli Afrika

    Chimamanda Ngozi Adichie was born in Enugu, Nigeria in 1977. She grew up on the campus of the University of Nigeria, Nsukka, where her father was a Professor and her mother was the first female Registrar. She studied medicine for a year at Nsukka and then left for the US at the age of 19 to...
  19. M

    SoC01 Umuhimu wa utawala bora katika nchi za Afrika

    Niende moja kwa Moja kuelezea utawala Bora Ni Ni kitu gani. Utawala Bora Ni ile Hali ya serikali,shirika au taasisi kuongoza Kwa kufuata misingi ya Haki,uwazi na uwajibikaji . Katika nchi nyingi za jangwa la Sahara,utawala Bora imekuwa Ni kitu adimu Sana kwani nchi takribani zote zinaongoza...
  20. T

    Katiba nzuri katika nchi za Afrika haina au ina msaada mdogo sana wa kuleta ustawi wa wananchi

    Kwa yaliyotokea Africa Kusini wananchi kutoka barabarani na kuzua vurugu kubwa dhidi ya uamuzi wa kisheria na kikatiba wa kumuweka ndani Rais Mstaafu, ni dhahiri kwamba bado hatujakomaa kidemokrasia. Jambo lingine limetokea kule Kenya siku chache zilizopita ambapo Rais wa nchi hiyo aliongoza...
Back
Top Bottom