Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,938
- 25,282
Kwa mujibu wa taarifa zilizopo Africa CDC inaonekana mpaka tarehe 19 August 2021 Tanzania ina visa 16,970 vya maambukizi ya virusi vya corona na vifo 50.Pia WHO inaonyesha kuna visa 1,367 na vifo 50.
Je, hizi taarifa ni rasmi ? Kuna makosa yaliyofanyika au ni hujuma ? Kuna umuhimu wa jambo hili kutolewa ufafanuzi.
Source: Africa CDC - COVID-19 Daily Updates
Source: https://covid19.who.int/table
Je, hizi taarifa ni rasmi ? Kuna makosa yaliyofanyika au ni hujuma ? Kuna umuhimu wa jambo hili kutolewa ufafanuzi.
Source: Africa CDC - COVID-19 Daily Updates
Source: https://covid19.who.int/table