Wakati Jose Mournho anaenda EPL ilikuwa inajulikana sifa yake ya kuongea ovyo ..wakati Fulani walimpa jina la "the mouth"...Mourinho alikuwa anafanya "mind games".
Akiwashambulia marefa kabla ya mechi ili waogope kuzigusa timu zake wachezaji wake wakicheza faulo....walichofanya EPL ilikuwa...