The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,136
- 1,952
Nina jambo limenipata nina mwizi wangu ambae nina vithibitisho kwa 98% lakini kutokana na maeneo nilipo na yeye alipo nikimuweka ndani kwenye vituo hivi atapata Dhamana haraka.
Naomba msaada wa namba za simu wa askari wa kituo cha stakishari ili nikafungulie kesi yangu kule au namba za simu za askari wa kituo chochote kinachotoa mkong'oto kwa wale wezi wanaojifanya hawatoi siri za kambi.
Msaada wenu ndugu zangu,kuna mtu nataka kumnyoosha kidogo kwa kutumia sheria na sio kihuni huni,nina imani sana na askari wa stakishari,wana adhabu nzuri sana za kukufanya useme ulipopeleka ulichoiba au aliekutuma.
Kwa mwenye namba zao naomba msaada, sitokuacha bure bure baada ya kufanikisha jambo langu nina Asante ya 50,000 kwa kunisaidia tu namba za askari ataesimamia shooo ya jambo langu hadi mwisho.
This is very Serious,kama mtu ataogopa weka namba hadharani basi anaweza kuja Hata PM.
NOTE :
ASKARI ASIWE WA KITUO CHA MSIMBAZI (K.KOO) WALA KITUO KINACHOPATIKANA MOROGORO ROAD
Naomba msaada wa namba za simu wa askari wa kituo cha stakishari ili nikafungulie kesi yangu kule au namba za simu za askari wa kituo chochote kinachotoa mkong'oto kwa wale wezi wanaojifanya hawatoi siri za kambi.
Msaada wenu ndugu zangu,kuna mtu nataka kumnyoosha kidogo kwa kutumia sheria na sio kihuni huni,nina imani sana na askari wa stakishari,wana adhabu nzuri sana za kukufanya useme ulipopeleka ulichoiba au aliekutuma.
Kwa mwenye namba zao naomba msaada, sitokuacha bure bure baada ya kufanikisha jambo langu nina Asante ya 50,000 kwa kunisaidia tu namba za askari ataesimamia shooo ya jambo langu hadi mwisho.
This is very Serious,kama mtu ataogopa weka namba hadharani basi anaweza kuja Hata PM.
NOTE :
ASKARI ASIWE WA KITUO CHA MSIMBAZI (K.KOO) WALA KITUO KINACHOPATIKANA MOROGORO ROAD