Eid al-Adha (Arabic: عيد الأضحى, romanized: ʿīd al-ʾaḍḥā, lit. 'Feast of the Sacrifice', IPA: [ʕiːd alˈʔadˤħaː]) is the latter of the two Islamic holidays celebrated worldwide each year (the other being Eid al-Fitr), and considered the holier of the two. Also called Tabaski, it honours the willingness of Ibrahim (Abraham) to sacrifice his son Ismael (Ishmael) as an act of obedience to God's command. (The Jewish and Christian religions believe that according to Genesis 22:2, Abraham took his son Isaac to sacrifice.) Before Ibrahim could sacrifice his son, however, Allah provided a lamb to sacrifice instead. In commemoration of this intervention, an animal (usually a sheep) is sacrificed ritually. One third of its meat is consumed by the family offering the sacrifice, while the rest is distributed to the poor and needy. Sweets and gifts are given, and extended family are typically visited and welcomed.In the Islamic lunar calendar, Eid al-Adha falls on the 10th day of Dhu al-Hijjah, and lasts for four days. In the international (Gregorian) calendar, the dates vary from year to year, shifting approximately 11 days earlier each year.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mfumo wa ulipaji kodi kwa kueleza kuwa kwa sasa changamoto iliyokuwepo imefanyiwa kazi na kila kitu kimekaa sawa.
Awali, Mdau wa JamiiForums.com alieleza kuwa mfumo mpya wa TRA, wa ulipaji kodi (Tax Payers Portal) una changamoto ya 'IP'...
Wakazi wa Kijiji cha Nindi, Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe, wamekubaliana kuchangishana fedha kiasi cha Shilingi Milioni 25 kwa lengo la kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika kijiji hicho.
Baadhi ya wakazi wa Kijiji hicho, akiwemo...
DAR. Baadhi ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma shule ya Msiungi Mtambani jijini Dar es Salaam, wameeleza adha ya watoto wao kukaa chini kwa kukosa madawati.
Dar es Salaam.
Kukosekana kwa madawati ya kutosha Shule ya Msingi Mtambani Bunju jijini hapa imefanya baadhi ya wanafunzi kusoma wakiwa...
“Siku ile kukatukia adha kuu ya kanisa lililokuwa katika Yerusalemu; wote wakatawanyika katika nchi ya Uyahudi na Samaria, isipokuwa hao mitume.
Watu watauwa wakamzika Stefano, wakamfanyia maombolezo makuu.
Sauli akaliharibu kanisa, akiingia kila nyumba, na kuwaburuta wanaume na wanawake na...
Habarini wandugu,
Kumekuwa na changamoto kubwa sana ya kuachwa na mabasi kwa sisi abiria tunaotoka maeneo ya kimara na nje ya mji tunaotumia usafiri wa mwendokasi kwa nyakati za asubuhi.
unakuta mtu unafika kituoni saa12 asubuhi magari yanakuja yamejaa unalazimika kusubiri na unatakiwa uwahi...
Kwa watumiaji wa njia/barabara ya Dodoma - Singida watakuwa mashahidi wa adha na adhabu wanayokumbana nayo maeneo ya Bahi darajani hasa kipindi hiki, daraja la bahi japo reli ya SGR kipande kile imekamilika limebaki kuwa kero Kwa watumiaji wa magari sababu ya ubovu wa njia yake, ni lini wahusika...
Jana nimeshuhudia vurugu za kutisha mtaani wakati wa kilichodaiwa kuwa zoezi la kukamata pikipiki zinazodaiwa malipo ya SUMATRA. Hali ilikuwa ya kutisha baada ya bodaboda kuanza kurusha mawe ovyo na kuzua taharuki kwa wapita njia.
Bodaboda kisheria wanatakiwa kulipa kodi hiyo kila mwaka kwa...
Mkandarasi aliyepewa tenda ya kutengeneza barabara ya kilometa 31 ya Geti Fonga-Mabogini-Kahe wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro anasababisha kero kwa wakazi wa maeneo inapopita barabara hiyo. Mkandarasi huyo ni Lenana Holding Company Limited yenye makao makuu yake jijini Arusha.
Kero...
As salaam alaikhum ndugu zangu Wana jamii forums Leo ni sikukuu Eid Al Adha tusherekee kwa pamoja tufurahie, tudumishe amani upendo na umoja katika Haki. Mola mtukufu awalinde na kuwabariki Sana
Nasherekea sikukuu na uvutaji wa bangi tulivu.
Kutokana na kuhatarisha maisha ya abiria, watu kujeruhiwa na kupoteza maisha, kupoteza muda na kuchelewa, pamoja na maumivu ya kisaikolojia; Je, tupo tayari daladala zirudi?
PIGA KURA YAKO KULETA MABADILIKO.
Huenda wakati mwingine kama wazazi huwa tunapenda wenetu wasome katika shule zenye majina makubwa au zile ambazo ni maarufu hapa jijini dar es salaam, lakini kiukweli maumivu ya usafiri wa daladala wanapata watoto wetu.
Huwa wananyanyaswa Sana na makondakta, huzuiwa kupanda Magari,kama...
Salam
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu , Wakazi na watumiaji wa barabara kuu itokayo kimara kuelekea bonyokwa na vitongoji vya karibu kama Baa mpya,Mavurunza,Kwa Mringo na Golani wamekuwa wakisumbuka kwa muda mrefu sasa juu ya kero ya usafiri wa hii barabara.
Kiuhalisia urefu wa barabara...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za heri ya sikukuu ya Eid el Adh’haa kwa dua maalum akiwataka Watanzania kusherehekea kwa amani, umoja na upendo.
Ametuma salamu hizo leo Alhamisi Juni 29, 2023 kupitia kurasa za mitandao yake ya kijamii huku akiwahimiza Waislamu kutumia siku...
Kama inawezekana, lipeleke mahakamani hata kama mahakama zinaweza kuwa na kigugumizi kutoa haki kwa uhuni uliofanywa na magufuli a below (Public interest litigation)
Tanzania’s parliament has fast-tracked a legal amendment that threatens to severely restrict the capacity of independent rights...
Kituo cha daladala Kawe ni kero kubwa sana kwa watumiaji wa kituo hicho, Kituo hakina ukarabati wowote, iwe masika na kiangazi, hakuna nafuu, ikiwa kiangazi kituo kinapambwa kwa mashimo na mabonde hali inayoathiri magari na abiria pale wanapofika kituoni.
Kwa masika kama kipindi hiki ndio balaa...
Kuelekea maadhimisho ya Miaka Miwili ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wananchi katika kata za Ubungo, Tandale, Manzese, Kijitonyama, Sinza Ndugumbi, Mwananyamala na Makumbusho katika Halmashauri za Manispaa ya Ubungo na Kinondoni zinazopitiwa na...
Nimejaribu kutembelea baadhi ya mahospitali, changamoto kubwa niliyokutana nayo ni msongamano wa wagonjwa, kuwa kwenye foleni ili kupata huduma.
Wengine wanakuwa wametoka majumbani tangu asubuhi na wanamaliza siku nzima wanakuwa hawajapata huduma kwa wakati.
Kwa mtazamo wangu, hii changamoto...
Sumatra-Tabora
Takribani miezi mitatu iliyopita Bus la Hokas lilianza safari zake za Loya kwenda Tabora na kuleta ushindani wa kibiashara KWA mmiliki wa Bus la Mama's one na kufikia hatua ya kushusha nauli kutoka 12000/= Hadi 8000,10000 na 7000/= wananchi walifurahia ushindani huo na kushuka...
Habari wakuu,
kama mada inavyosema kuna hizi gari za IST a.k.a baby walker zimekuwa kero sana kwenye kuendeshwa kwa mwendo mkali bila tahadhari zozote, hadi huwa najiuliza kati ya dereva na gari ni nani aliyepagawa
Kwa wale mnaofahamiana na madereva wa 'ist' tunaomba mtueleze ni watu wa aina...
Hivi karibuni kumezuka mjadala mzito vyamani pale anapokosea mheshimiwa yoyote
Tumeona timu ya G19 ilioyoshambuliwa na kila kiongozi wa chady kwa kuingia mjengoni..
Sasa imekuwa taharuki akisimama mbunge kusema kitu. Unasikia, amemwonya, Ghafla Ameonya
Unawaza ni vyama vuwili tofauti ama Lah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.