act wazalendo

Alliance for Change and Transparency (ACT) (Swahili: Chama cha Wazalendo, lit. 'Party of Patriots') is a political party in Tanzania. It received its permanent registration in May 2014.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    GE2025 Zitto aulizwa na Wananchi, Kura za "Urais tumpe nani?"

    Mmoja wa wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, uliofanyika kata ya Buhanda, alimpa changamoto kwa kumuuliza: "Ubunge tukupe wewe, lakini urais tumpe nani endapo chama chenu hakitasimamisha mgombea wa urais?"...
  2. W

    GE2025 Nondo (ACT Wazalendo): Nendeni kupia kura kwani ndo hatma yako kwa miaka mitano

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Nondo amewataka wapiga kura kote nchini kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu kwa haki na amani na kuchagua viongozi wao kwa makini ili kupata viongozi bora watakaowaongoza kwa miaka mingine mitano na kuleta maendeleo.
  3. W

    GE2025 Bwege: Heche aliniambia walitaka kwenda ACT lakini Zitto aliwakataa kwa kuwa wangemuaharibia kwani aliahidiwa mambo mazito na Rais

    Mwanachama wa ACT Selemani Bungala Maarufu kama Bwege anaeleza kuwa wakati mambo yanatokota kipindi cha Mbowe pale CHADEMA, Heche na wenzake walitaka kuhamia ACT Wazalendo lakini Zitto aliwakataa kwa sababu wangeendeleza siasa zao za maneno makali na hivyo kumuharibia kwa Rais ambaye alikuwa...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Monalisa: Kama Chama kitakosa Mgombea uzembe niwa Chama na Viongozi, wote waliopo kwenye Uchaguzi watanufaika

    Kada wa Act-Wazalendo Monalisa Ndala amesema kuwa yeye hapaswi kulaumiwa kwa chama hicho kumkosa mgombea urais na wanaopaswa kulaumiwa ni katibu wa chama na mwanasheria wa chama, huku akibainisha kuwa vyama vyote vitanufaika kwa chama hicho kumkosa mgombea urais.
  5. Waufukweni

    GE2025 Monalisa Ndala: Mpina angekuwa mpinzani kweli asingevaa Fulana zenye picha ya Magufuli

    Kada wa ACT Wazalendo, Monalisa Ndala, amezungumza mengi kuhusu hali ya kisiasa nchini na kinachoendelea ndani ya chama chake ambacho kilishatangaza kumvua uanachama, ambapo amesema: "Mpina angekuwa mpinzani kweli asingevaa Fulana zenye picha ya Magufuli." Soma > Mpina na T-Shirt yenye picha ya...
  6. Waufukweni

    GE2025 Mgombea Ubunge ACT-Wazalendo, Hamad Hashimu, ahamia CCM

    Mgombea wa ACT-Wazalendo Jimbo la Nanyumbu, Hamad Hashimu ametangaza rasmi kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni wa CCM, Nanyumbu mkoani Mtwara.
  7. PAYE

    GE2025 Bwege: ACT kukosa Mgombea Katibu Mkuu ajiuzulu

    Kada wa chama cha ACT Wazalendo na aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilwa, Suleiman Bungara amemtaka katibu mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu ajiuzulu nafasi yake katika chama kama baada ya chama hicho kukosa mgombea wa Urais kwa kwa vipindi viwili mfululkizo ambapo yeye mwenye ameita ni...
  8. Parabolic

    GE2025 ACT Wazalendo yasisitiza Mpina ni mgombea urais

    Wakati Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikisisitiza kuwa kuwa Luhaga Mpina sio mgombea urais wa.Jamhuri ya Muungano kwa kuwa alienguliwa, chama cha ACT Wazalendo kimesema bado Mpina ni mgombea wao mpaka kesi mbili zilizofunguliwa ziamuliwe. Mpina alienguliwa Septemba 15, 2025 baada ya INEC...
  9. DuaZaMama

    GE2025 Tume Uhuru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) yasisitiza kuwa Act- Wazalendo hawana mgombea Urais

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesisitiza kuwa, Chama cha ACT-Wazalendo, hakina mgombea urais wala makamu wa urais. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhan Kailima imeeleza hivi: “Katika tovuti rasmi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT -Wazalendo)...
  10. Roving Journalist

    GE2025 ACT Wanazungumza na Wanahabari leo Saa Sita Mchana, Septemba 22, 2025

    Awali Mkutano huu ulikuwa ufanyike Saa Tano Asubuhi, umesogezwa mbele hadi Saa Sita Mchana, leo Septemba 22, 2025 kwenye Ukumbi wa Maalim Seif ndani ya Jengo la ACT Wazalendo Jijiji Dar es Salaam.
  11. R

    GE2025 Ado Shaibu aahidi kuwa Mbunge wa Kupigania haki na kutatua Changamoto za wananchi wa Tunduru

    Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu Ado amevifikia vijiji 40 vya Jimbo hilo kupitia kampeni yake ya Kijiji kwa Kijiji ambayo sasa imefikia siku ya 12 tangu uzinduzi wa kampeni yake tarehe 7 Septemba 2025 Katika kampeni zake amewahaidi...
  12. Waufukweni

    GE2025 Kigoma: ACT Wazalendo wasitisha Kampeni za Ubunge baada ya kukosa Watu kwenye eneo la tukio

    Chama cha ACT WAZALENDO kimeahirisha mkutano wake wa kampeni za ubunge katika jimbo la kigoma mjini chini ya mgombea ZITTO KABWE, uliopangwa kufanyika siku ya jana september 18 mwaka 2025 katika maeneo ya meti sokoni katika jimbo la kigoma mjini. Licha ya maandalizi ya mkutano huo kukamilika...
  13. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea ubunge CHAUMMA Amnadi diwani Act -Wazalendo Same

    Mgombea ubunge Same Magharibi Mkoa wa Kilimanjaro kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Gervas Mgonja, ametumia mkutano wake wa hadhara uliofanyika leo Septemba 17,2025 katika uwanja wa Cooperative, kumnadi mgombea udiwani wa Mhezi jimboni humo kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Anthony...
  14. M

    Mwenge wa Uhuru wawaunganisha watoto watatu wa mama (CCM na ACT & CHAUMMA) Kibondo

    Kumekuwa na mjadala kuhusu uhusiano unaodhaniwa kati ya ACT-Wazalendo na Chama Cha Mapinduzi (CCM), jambo linalozua maswali kuhusu msimamo thabiti wa ACT kama chama cha upinzani. Wengine wanaona ukaribu huu unaweza kufanya chama hicho ionekane kama kisicho na msimamo thabiti dhidi ya chama...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Mjumbe wa Wazee Pemba Kumshawishi Mgombea wa Urais wa ACT Wazalendo Kumpigia Hussein Mwinyi Kura ya “Ndiyo”

    Mjumbe Ngome wa Jumuiya ya Wazee Mkoa wa Micheweni Pemba, Faki Ali Juma kutoka Maziwa ya Ngome amesema atamshawishi Mgombea wa Urais wa Chama Cha ACT WAZALENDO Othman Masoud Othman atie kura yake ya NDIO kwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana na maendeleo ambayo ameyafanya kwani kila...
  16. BLACK MOVEMENT

    GE2025 Walioahidiwa Ubunge ndani ya ACT Wazalendo ni watu wawili tu, Zitto Kabwe, Ado Shaibu. Wengine wanatumika tu

    Kutoka vyanzo vya kuaminika kwa asilimia 99.99 ni kwamba Ndani ya ACT Wazalendo ni watu wawili tu walio ahidiwa kubewa ubunge au kupewa ubunge nao ni Zitto Kabwe na Ado Shaibu katibu mkuu wa ACT Wazalendo. Hawa wana baraka kutoka Ikulu kwa Mamana pia hata kwa Mgombea mwenza wa CCN Nduhmgu...
  17. The Father of All

    GE2025 Japo hajapenya kugombea na ni mara yake Luhaga Mpina anaonekana tishio kwa CCM na ACT Wazalendo

    Japo kuna dhana kuwa ACT-Wazakabwe ni CCM B, kuna kitu naona kwa mgombea wake Luhaga Mpina. Inakuwaje CCM wanamuwekea mapingamizi kila kona? Je, ana kitu kinachofanya wamgwaye isijekuwa kama yale ya Tshekedi na Kabila kule DRC ambaye aliwekwa na Kabila akidhani ni boya kumbe naye alikuwa na...
  18. Idugunde

    Ngome ya Vijana Act Wazalendo yalaani Polisi kupiga wanachama wa CHADEMA ya Lissu

    Unyama na ukatili "Ngome ya Vijana ACT Wazalendo tunalaani vikali ukatili na unyama huu unaofanywa na Jeshi la Polisi dhidi ya Raia wanaotumia haki na uhuru wao wa kufuatilia kesi Mahakamani kwa amani na utulivu. Hili ni shambulio kubwa dhidi ya haki, Demokrasia na uhuru wetu. Hatuwezi kukubali...
  19. Sales man

    GE2025 Ikiwa karatasi za kura zilichapishwa bila kuwepo Mgombea wa ACT katika nafasi ya urais je Mpina angeshindaje pingamizi!?

    Huyu ZZB , amekuwa mnafiki Sana , Kama anawatengenezea Ccm mazingira ya kupata 99.9% na kuwatumia wenzake sio sahihi . CCM ina mbinu zake za kupata ushindi , Ila pia Ccm hakuna kitu wanaogopa Kama kupata mtu anayewafunua nguo. Kwa katiba ya ACT, kwa Zitto na n.k maana yake wanajua na...
  20. R

    GE2025 ACT Wazalendo kumwekea Pingamizi Samia ikidai uteuzi wake haukufuata Katiba na Kanuni za chama hicho

    Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kuwa kitaweka pingamizi dhidi ya uteuzi wa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, kikidai kuwa uteuzi wake haukufuata Katiba na Kanuni za chama hicho Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 14 Septemba 2025 jijini Dar es...
Back
Top Bottom