Ule mkakati wa ACT kulinda kura umeishia wapi?

Ule mkakati wa ACT kulinda kura umeishia wapi?

Lakini naimani huko Zenj itakuwa ni jino kwa jino sema hawa wa hapa ni kilio tu wataporwa kama ilivyokuwa serikali zamitaa
 
kwa kweli wapo taabani, waliwachukulia poa CCM, ila na chadema nao siwaoni wakitoboa kesho.
 
Lakini naimani huko Zenj itakuwa ni jino kwa jino sema hawa wa hapa ni kilio tu wataporwa kama ilivyokuwa serikali zamitaa
Aaah, wapi! Tayari wameshalizwa kwenye kura za mapema zilizopigwa leo! Zitto alidanganya watu eti watalinda kura!
 
Back
Top Bottom