Alliance for Change and Transparency (ACT) (Swahili: Chama cha Wazalendo, lit. 'Party of Patriots') is a political party in Tanzania. It received its permanent registration in May 2014.
Wametia aibu kwa kuhusika kusaport hila , kushiriki chaguzi fake sasa watageuka na kuwa NCCR Mageuzi wangeweza kabisa kuwa chama kizuri lakini waliweka njaa mbele
"Siku zote katika chama cha siasa tarajia kuwa na watu wenye hoja mbadala zenye nguvu, kutakuwa na watu wenye utofauti katika kuwasilisha hoja zao, kutakuwa na wenye kupinga kabisa mawazo ya chama na wengine kuja na hoja ambazo haziendani na misingi ya chama".
"Sisi tunaamini katika kumjenga...
Maana na nyinyi ni kama wendawazimu! Hamjui mnalenga nini, matumbo yenu au usitawi wa taifa!
Zito nenda kajaribu maana na wewe akili zako unaziweza mwenyewe na masheikh wenzako.
Amen.
Mahakama Kuu ya Zanzibar Kanda ya Pemba leo Desemba 16,2025 inatarajiwa kusikiliza kesi ya walalamikaji wa Uchaguzi, wakiwemo waliokuwa wagombea wanane wa Chama cha ACT Wazalendo, dhidi ya wasimamizi wa uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Walalamikaji wanadai ukiukwaji wa sheria za...
Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kuadhimisha Siku ya Uhuru tarehe 9 Desemba 2025 hakukufanana na dhana ya uhuru kwa Watanzania kwani Watanzania hawakuwa huru
Kupitia taarifa rasmi ya Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama hicho, Isihaka Mchinjita, ACT imesema hatua zilizochukuliwa na serikali...
Chama hiki kilidai kufungua kesi kupiga matokeo ya uchaguzi katika majimbo 25 ya uwakilishi Zanzibar na kikitarajiwa kupiga pia yale ya Ubunge.
Huku pia kikiweka pose kuingia kwenye kuunda serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar.
Swali, je ni mpango maalum baina yao na kundi la Gasom & Zikamziki...
Wananchama wa ACT Wazalendo jimbo la Kigoma Mjini wamefungua kesi kupinga matokeo yaliyompa ushindi Baba Levo, moja ya sababu ya kufungua shauri hilo ni ubabaishaji wa kutangaza matokeo mara mbili.
Awali Baba Levo alitangazwa kupata kura 35, 725 naZitto Kabwe kupata kura 16,619, baadaye baada...
TAARIFA KWA UMMA
Chama cha ACT Wazalendo kinapinga na kinakataa kabisa Tume iliyotangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuchunguza matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata iliyotangazwa leo.
Tume hii inayojumuisha wajumbe wote kutoka ndani ya Tanzania, wakiwemo maafisa wa serikali...
Jamaa kaona ya nini tena baada ya kukaa mahabusu kwa siku kadhaa kaona siasa ngumu kaamua akiche siasa
=============
Katibu wa Itikadi Siasa na Uenezi wa Chama Cha ACT - Wazalendo Mkoa wa Njombe Ally Mhagama (Saga Saga), ambaye pia alikuwa mgombea wa Udiwani wa Kata ya Mkongobaki Wilayani...
ZAMBARAU walisaini KANUNI na kushiriki uchaguzi. Baada ya KUBUTULIWA wanasema UCHAGUZI 2025 haukuwa HALALI. Lakini wanampongeza ADO kupewa UBUNGE.
Pia, wameita wanahabari kulalamika kwanini hawajapewa VITI MAALUM kutokana na uchaguzi HARAMU. Tofauti ya UBONGO wao na MAVI ni JOTO.
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kimejipanga kuchukua hatua za Kisheria kwa kile wanachodai kuwa ni kudai haki ya ushindi walioupata katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Kauli hiyo imetolewa na Mnadhimu wa Kambi rasmi ya Upinzani katika Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Profesa Omar Fakih, wakati...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Sisi Wawakilishi 14 kutoka Chama cha ACT Wazalendo - 10 wa Majimbo na wanne wa viti maalumu vya wanawake - tulilitafakari tukio la uzinduzi wa Baraza la Wawakilishi na kumpima mtu atakayelihutubia Baraza na majibu yetu yakawa, kwa dhulma iliyopita na uhuni...
MSIMAMO WA ACT WAZALENDO KUHUSU MWENENDO NA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2025
Chama cha ACT Wazalendo kupitia kikao cha Kamati ya Uongozi Taifa kilichoketi 7 Oktoba 2025 kimefanya tathmini ya kina kuhusu mwenendo na matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025 ambao umekuwa pigo kubwa...
Wakuu,
Diwani mteule wa Chama cha ACT Wazalendo, Juma Mzee Shaban, amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kigoma pamoja na wenzake kumi, wakikabiliwa na kesi ya ujambazi wa kutumia silaha, kinyume na kifungu cha 287 cha Kanuni ya Adhabu (Sura ya 16, Marejeo ya 2023).
Kwa mujibu wa hati ya...
Je ACT Wazalendo na Chauma wamelinda kura? Walisema watalinda kura sisi tulisema hapa huwezi kwenda kulinda kura ambazo hata hazitahesabiwa.
Sasa tujiulize ukiacha kufuata posho walizopewa walienda kwenye uchaguzi kufanya nini zaidi ya kuuwa vijana wetu tu na kuchochea hasira za wananchi...
KAULI YA ACT WAZALENDO KUFUATIA MAUAJI YA TAREHE 29/10/2025 NA SIKU ZILIZOFUATA BAADA YA UCHAGUZI
Chama cha ACT Wazalendo, kupitia kikao cha Kamati ya Uongozi Taifa, kilanaani vikali ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu uliofanywa dhidi ya wananchi kuanzia tarehe 29 Oktoba 2025, katika maeneo...
ACT wazalendo kujipendekeza kumewafikisha wapi?.
Ina bidi mfanye uamuzi maana chama chenu kime-mezwa na katiba ya zanzibar ya serikali ya mseto na wale wanzanzibari wenu hawajali tena kushinda zaidi ya kuwa kwenye madaraka na wako tayari kuwa namba mbili na ukweli sio wapiganaji wanapenda...
ACT Wazalendo walijitapa watalinda kura zao. Mbona kilio kimeanza kabla ya wakati. Kina Zitto waliwaingiza wenzao chaka kwa vile wana makubaliano maalumu na Mama. Kama nwenyewe anavyodai ni mtoto wake mpendwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.