Mimi binafsi navutiwa na mambo ya graphics, hasa kuchora katuni kwa kutumia adobe illustrator (ingawa sijasomea bali najifunza kupitia tutorials mbalimbali). Nilitoa wazo katika kundi fulani facebook, kwamba tuunde kundi la whatsapp ambapo tutakuwa tunasaidiana na kuelekezana kuhusu mambo hayo...
Nina smartphone,Huawei Y300 tatizo lake imekuwa inaniletea ujumbe huu "Unfortunately, the process com.google.process.gasps has stopped" kiasi kwamba nashindwa kuitumia kabisa na nimejaribu factory reset lakini bado city havifutiki. Mwenye wazo/msaada naomba nisaidiwe.
Nilikuwa natumia adobe illustrator CS6 ila muda wake wa trial umeisha na nimejaribu kutumia crack files bila mafanikio yoyote je mnaweza kunisaidia niweze kuitumia application hiyo.
Kuna baba fulani hapa mtaani kwetu ana tabia ya kumtaka kila binti atakayemtamani na kibaya zaidi kuna tetesi za chinichini kuwa ni muathirika.Tabia yake imezidi sasa kwani nimegundua ana mahusiano na ndugu yangu ambaye ni mgeni na huu mtaa,baada ya kugundua hilo nikamfuata ndugu yangu na...
Mapenzi siku hizi yamepoteza ladha kama sio uhalisia.
1.Mapenzi yanekuwa ya kifacebook mnapongezana kwa kulike na mnapongombana au mnawasiliana kwa kucomment.
2.Mkitakakuonana mnatumia picha whatsapp(zile picha kujiandaa) sasa mtajuana na kusomana lini.
3.Bahati nzuri ikatokea mmefikia kwenye...
Nina mpenzi wangu tuna mwaka sasa katika penzi letu ingawa mwenzangu anaonekana kutonijali kama mimi ninavyomjali yeye ila miezi miwili iliyopita kuna msichana mmoja alitokea kunizoea sana kushinda hata huyu mpenzi wangu,alikuwa akinijulia hali kila inapowezakana kuzidi hata huyu mpenzi wangu...
Nina girlfriend wangu nilikuwa sina imani naye na nilikuwa nina wasiwasi kuwa ananicheat ila sikuwa na uhakika ila siku nilipoijua password yake ya facebook ndipo nilipopata uhakika na mbaya zaidi kumbe alushatoa hadi mimba kabla ya kuwa naye.Kwa sasa nina amani moyoni kwa sababu nimeshamjua...
Nina girlfriend wangu nilipotezana naye tangu mwaka 2007 kwa msaada wa social network nikaonana naye mwaka huu mwanzoni baada ya kuwasiliana naye kwa muda nikamwelezea hisia zangu akanielewa ila tatizo inaonekana mchango wake ni finyu katika penzi letu hata kuwasiliana mpaka nimuanze mimi saa...
Mi ni kijana wa miaka 21 nipo chuo mwaka wa kwanza nilikuwa naomba mnishauri nitaweza kujipanga vipi katika maisha hasa katika kujitegemea.Wazo langu la kwanza ni kununua kitanda muda si mrefu kama kuna mengine ningependa mnijuze.....ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.