Ameyasema hayo Bungeni leo baada ya kutoridhika na majibu ya serikali kuwa watalipwa baada ya kupatikana fedha bila kujibu swali lake la kutaka serikali ieleze lini. PM
Kuna yoyote mwenye habari kuhusu hiki kikao na Rais ikulu kuhusu maji kama kimefanyika au la? Nakumbuka Rais Kikwete aliahidi kikao hicho kingefanyika Machi 2013
PM
Asante kwa taarifa hii, itasaidia vyombo vingi kupata ukweli wa mambo kwa upande wa uchambuzi wa matokeo ya 2010 na 2014. Kama kuna mwenye takwimu tofauti na hizi za kwako ni vyema akaziweka. Kwa upande mwingine, mpaka sasa mgombea aliyejitangaza ni Mtatiro wa CUF, kwa kuwa umeandika CHADEMA...
posa,Kikwete aliahidi mwaka 2010 kuwa tatizo la maji Dar Es Salaam lingemalizika kuanzia mwaka 2011. Sasa ni 2015 hajatekeleza wakati yeye ndiye Serikali yake inakusanya kodi zetu. Kumbe ndio maana Mnyika amekuwa akimbana!
PM
Kwetu wachambuzi wa habari tunatambua kwamba alishaanza siku nyingi, mfano hii ni ya tarehe 4 Februari 2013 Bungeni: https://www.youtube.com/watch?v=plZXAO8GBB8
PM
Mchange,
1. Unaweza kusema wakati unagawa hizo fedha ambazo umekiri mwenyewe kwa kigezo cha kusaidia watu mbalimbali ulikuwa unafanya kazi gani na ulikuwa na kipato cha kiasi gani?
2. Kwa uzoefu wa siasa kwa kuwa uliwahi kuwa mgombea ubunge, ni lazima kwa mtoa rushwa ukichukulia mfano wa...
Ben kuanika habari za CHAUMMA na namna ambavyo walijipanga kuchukua toka CCM na CHADEMA na kuwa chama kikubwa si sawa majibu ya Zitto kwenye mahojiano JF kwamba kuna chama kitaanzishwa ambacho kitakuwa na nguvu kuliko CHADEMA? Just curious
PM
Haya mazito, Juliana una majibu gani ya maswali haya? Niliona na Mwigulu Nchemba aliingia hapa JF, aje tena kujibu hizi tuhuma zinazomhusu pamoja na Shigella ili ukweli ujulikane.
PM
Juliana,
Nimesoma shutuma zako kuhusu Dr Slaa na zimenifanya niamini kwamba kumbe kiliachoandikwa hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/365646-kiongozi-wa-juu-bavicha-amhujumu-dr-slaa.html kilikuwa kweli. Je, ni kweli kuwa unatumika na CCM?
PM
Juliana,
Najua wewe ndiye makamu mwenyekiti wa BAVICHA na hii ni post yako ya kumi tu hapa JF. Nakupa benefit of doubt kwamba umeanza kuchangia baada ya Mamuya, Zitto na Saanane kuanza kujibishana.
Sasa kwa kuwa kuna mijadala mingine ilifanyika nyuma, unaweza kuirejea na kutupa majibu yako...
Naona hoja ya kutaka kuuwawa aliyoianzisha Zitto inarudiwa rudiwa na wapambe wake:, je ni mkakati wa kutafuta kuonewa huruma? au ni mbinu ya kufanya Ben Saanane akamatwe na kuhojiwa na polisi?
Naona anaingizwa hapa na Chacha Wangwe ambaye kabla na mara baada ya kifo chake CCM walikuwa katikati...
Bwana Mwampamba,
Nashukuru huu ndio ujumbe wako wa kwanza hapa JF, unaweza kutujibu maswali yafuatayo kutokana na uliyoandika?
Umesema kwamba Mchange alifukuzwa na Kamati Kuu kwa ajili ya kumbeba Heche; unataka kusema kwamba Mwanahalisi liliandika habari za uongo kuwa alienguliwa kwa kutoa...
<br><br>Turudi nyuma na kukumbuka haya. Naona Mwigulu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM naye ameingia kuchangia, anaweza kuingia hapa na kujibu pia maswali yanayomhusu?<br><br>PM<br>
<br>
Sasa naona mpaka Mwigulu Nchemba ameingia JF baada ya kuzuka kwa mvutano wa waCHADEMA, anaweza kuingia na...
Juliana,
Unaweza kutaja jina la huyo dada na huyo kiongozi aliyemtuma? Na je, uliwahi kuwasilisha malalamiko yoyote kwa makamu mwenyekiti wenu au kwa chama chako baada ya kupata huo ushahidi unaoeleza kuwa nao kabla ya tukio hili la jana la Arfi na kadi yake?
PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.