Search results

  1. P

    Mnyika ahamasisha kupitia bunge Maandamano kwenda kwa Magufuli madai ya fidia Mloganzila

    Ameyasema hayo Bungeni leo baada ya kutoridhika na majibu ya serikali kuwa watalipwa baada ya kupatikana fedha bila kujibu swali lake la kutaka serikali ieleze lini. PM
  2. P

    Wiki ya Maji: Mnyika azindua mradi wa maji, amkumbusha Rais Kikwete

    Kuna yoyote mwenye habari kuhusu hiki kikao na Rais ikulu kuhusu maji kama kimefanyika au la? Nakumbuka Rais Kikwete aliahidi kikao hicho kingefanyika Machi 2013 PM
  3. P

    Taarifa Fupi kuhusu Kazi za Maendeleo Jimboni Ubungo (AMUA)

    Hii inakaribiana na kauli ya Nkamia
  4. P

    Jimbo la Segerea ni mali ya CHADEMA ndani ya UKAWA au nje ya UKAWA

    Asante kwa taarifa hii, itasaidia vyombo vingi kupata ukweli wa mambo kwa upande wa uchambuzi wa matokeo ya 2010 na 2014. Kama kuna mwenye takwimu tofauti na hizi za kwako ni vyema akaziweka. Kwa upande mwingine, mpaka sasa mgombea aliyejitangaza ni Mtatiro wa CUF, kwa kuwa umeandika CHADEMA...
  5. P

    Kikwete: Tatizo la maji Dar kubaki historia

    posa,Kikwete aliahidi mwaka 2010 kuwa tatizo la maji Dar Es Salaam lingemalizika kuanzia mwaka 2011. Sasa ni 2015 hajatekeleza wakati yeye ndiye Serikali yake inakusanya kodi zetu. Kumbe ndio maana Mnyika amekuwa akimbana! PM
  6. P

    Mnyika: Tutaandamana kweka Ikulu kudai maji

    Kwetu wachambuzi wa habari tunatambua kwamba alishaanza siku nyingi, mfano hii ni ya tarehe 4 Februari 2013 Bungeni: https://www.youtube.com/watch?v=plZXAO8GBB8 PM
  7. P

    Dk Slaa, Mnyika, Lema matatani

    Hivi hili sakata liliishia wapi? PM
  8. P

    Nape vs Mnyika Jimbo la Ubungo

    JF kwanini isifanye pia kura ya maoni mitaani? PM
  9. P

    Huyu ndio Habib Mchange

    Mchange, 1. Unaweza kusema wakati unagawa hizo fedha ambazo umekiri mwenyewe kwa kigezo cha kusaidia watu mbalimbali ulikuwa unafanya kazi gani na ulikuwa na kipato cha kiasi gani? 2. Kwa uzoefu wa siasa kwa kuwa uliwahi kuwa mgombea ubunge, ni lazima kwa mtoa rushwa ukichukulia mfano wa...
  10. P

    Uthibitisho wa kazi maalum ya Ben Saanane na hujuma za Dr. Slaa kwenye siasa za Juliana Shonza

    Ben kuanika habari za CHAUMMA na namna ambavyo walijipanga kuchukua toka CCM na CHADEMA na kuwa chama kikubwa si sawa majibu ya Zitto kwenye mahojiano JF kwamba kuna chama kitaanzishwa ambacho kitakuwa na nguvu kuliko CHADEMA? Just curious PM
  11. P

    Uthibitisho wa kazi maalum ya Ben Saanane na hujuma za Dr. Slaa kwenye siasa za Juliana Shonza

    Haya mazito, Juliana una majibu gani ya maswali haya? Niliona na Mwigulu Nchemba aliingia hapa JF, aje tena kujibu hizi tuhuma zinazomhusu pamoja na Shigella ili ukweli ujulikane. PM
  12. P

    Uthibitisho wa kazi maalum ya Ben Saanane na hujuma za Dr. Slaa kwenye siasa za Juliana Shonza

    Juliana, Nimesoma shutuma zako kuhusu Dr Slaa na zimenifanya niamini kwamba kumbe kiliachoandikwa hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/365646-kiongozi-wa-juu-bavicha-amhujumu-dr-slaa.html kilikuwa kweli. Je, ni kweli kuwa unatumika na CCM? PM
  13. P

    Uthibitisho wa kazi maalum ya Ben Saanane na hujuma za Dr. Slaa kwenye siasa za Juliana Shonza

    Juliana, Najua wewe ndiye makamu mwenyekiti wa BAVICHA na hii ni post yako ya kumi tu hapa JF. Nakupa benefit of doubt kwamba umeanza kuchangia baada ya Mamuya, Zitto na Saanane kuanza kujibishana. Sasa kwa kuwa kuna mijadala mingine ilifanyika nyuma, unaweza kuirejea na kutupa majibu yako...
  14. P

    John Shibuda na mgogoro wa Kauli ya kuisifia CCM; Kauli za wana CHADEMA

    Hivi Shibuda aliishia wapi na siku zake tatu dhidi ya BAVICHA? PM
  15. P

    Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

    Hivi hili sakata la Juliana na Shibuda liliishia wapi? PM
  16. P

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    Nini kinaendelea kwa upande wa Saanane na Zitto? PM
  17. P

    Uthibitisho wangu kwamba Ben Saanane/Mamuya ni watu hatari ndani ya chama

    Naona hoja ya kutaka kuuwawa aliyoianzisha Zitto inarudiwa rudiwa na wapambe wake:, je ni mkakati wa kutafuta kuonewa huruma? au ni mbinu ya kufanya Ben Saanane akamatwe na kuhojiwa na polisi? Naona anaingizwa hapa na Chacha Wangwe ambaye kabla na mara baada ya kifo chake CCM walikuwa katikati...
  18. P

    Uthibitisho wangu kwamba Ben Saanane/Mamuya ni watu hatari ndani ya chama

    Bwana Mwampamba, Nashukuru huu ndio ujumbe wako wa kwanza hapa JF, unaweza kutujibu maswali yafuatayo kutokana na uliyoandika? Umesema kwamba Mchange alifukuzwa na Kamati Kuu kwa ajili ya kumbeba Heche; unataka kusema kwamba Mwanahalisi liliandika habari za uongo kuwa alienguliwa kwa kutoa...
  19. P

    Mpango wa kuhujumu M4C na CHADEMA huu hapa - chukueni hatua..

    <br><br>Turudi nyuma na kukumbuka haya. Naona Mwigulu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM naye ameingia kuchangia, anaweza kuingia hapa na kujibu pia maswali yanayomhusu?<br><br>PM<br> <br> Sasa naona mpaka Mwigulu Nchemba ameingia JF baada ya kuzuka kwa mvutano wa waCHADEMA, anaweza kuingia na...
  20. P

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Arfi) atupa kadi kikaoni, atishia kujiondoa chamani!

    Juliana, Unaweza kutaja jina la huyo dada na huyo kiongozi aliyemtuma? Na je, uliwahi kuwasilisha malalamiko yoyote kwa makamu mwenyekiti wenu au kwa chama chako baada ya kupata huo ushahidi unaoeleza kuwa nao kabla ya tukio hili la jana la Arfi na kadi yake? PM
Back
Top Bottom