Alikuwa wapi.Mh:jonh mnyika amesema kama watendaji wa serekali hawataki kuonana na wabunge wa mkoa wa dr es salam kutatua kero ya maji wao kama wabunge wataandama pamoja na wanachi wao kwenda ikulu kudai huduma ya maji ambayo ni haki yao ya msingi,chanzo itv