Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 756
Mtaparurana sana lkn sijaona anayejibu kwa uthabiti yale yaliyoongelewa na Ben badala yake kila mmoja wenu( Mchange, Mwampamba,na sasa Shonza) mnaibua kitu kingine tofauti tu followed na maneno meeeeengi!
No,kaleta kitu cha tofauti,kumbe zile kashfa anazozushia Zitto kwenye magazeti na mitandao zinaratibiwa na Dr Slaa na wanaofanya hayo wanalipwa kwa fedha za chama,shame on you Dr Slaa.