Huu ni upuuzi,Mbona mlifurahia majungu na uongo wa Ben saananetumechoka! this is not a right place now>>> nenden kwenye vikao vya chama jamani!!!! Yani imekuwa kama Hadija kopa na Nasma Kadogoo R>I>P. Siasa haiendi hivi Nyie Vijana. Dr Slaa na Mw Kit. Please hawa Vijana waiteni muwaonye, Huu upuuzi wa maneno ya khanga hatutaki humu jamiii. hapa wasira na Nape wanachekelea tu, wanapata vyakuongea majukwaani.
Bado Kitila Mkumbo na Juliana shonzabado Nyakarungu
Habari wana JF mimi ndiye Mtela Mwampamba ambaye nilikuwa mgombea ubunge mbozi mashariki na pia nilikuwa mgombea uenyekiti bavicha taifa,
Mimi ninaamini katika taasisi imara ambayo ni chadema niliyoijenga na ninayoijenga kwa kushirikiana na wenzangu kwa nguvu na moyo wote kikamilifu.sijapenda sana kumuelezea exaud mamuya maana namfahamu ni kijana asiye jitambua na muda wote yeye hufanya kazi ya ukuhadi hata wanabavicha huwa wanampuuza ndio maana kuna kipindi alichukua form ya kugombea uongozi bavicha(unaibu katibu bavicha) akaambulia kura sifuri maana kila mtu humpuuza kwa kuwa wanamfahamu akili yake.
R.I.P CHACHA ZAKAYO WANGWE, PHILLIP MAGADULA SHELEMBI.
Bado tunaendeleza harakati mlizoziacha na walahatutakata tamaa hata wakitumaliza wote wapo watakao zaliwa wenye maono kame yenu na ni malize kwa kusema mimi sio kitoweo cha wajinga ndio waliwao.
CHADEMA HURU KWA MASLAHI YA KITAIFA
Zitto huyu nae kachemsha, mlete mwingine nae ajitetee.
polepole utakaa chini tusooo soo nonsense...!!!ridiculousness...!! Sijapata kuona akili finyu kama hii,,na huu ni mwendelezo wa zitto katika kuwatuma nyinyi mzidi kukiharibu hiki chama,sasa dr slaa anaingia vipi kwenye mgogoro huo?? Its ok kama wewe una furaha siku moja zitto akija kuwa raisi wa nchi hii basi endelea kufurahi,,ni sisi wapiga kura ndio wenye kauli ya mwisho ya kumfanya mtu awe raisi,kama mnataka kulilazimisha hilo wewe na zitto wako endeeleeeni kuroga kama mnvofanya,, mshageuza hapa kama kijiwe cha watoto wa shule si ndio??hatutaki tena kuskia upuuz uppuz wenu kama huu,,viongozi wangu wakuu wa chama dr slaa na mbowe siku nyingne muwe mnafanya tathmini kabla ya kupitisha majina ya watu kama hawa kujihusiha na chama hiki,,wanaharibu taswira ya chama moja kwa moja,, angalia hata mawazo yake yalivo ya kitoto shame on you,go back to school..
What do you want to insinuate broda?...Wana jf ,Naomba mnielewe kwamba kutomuunga mkono mchungaji au padre mnafiki, mpika majungu, mfitini, anaendesha kanisa kwa maono ya hawara yake, mkabila, ndumilakuwili haimanishi kwamba nimelihasi kanisa, kanisa huendeshwa kwa maono ya biblia na mchungaji au padre anaweza anaweza potosha kondoo wake kama alivyofanya mchungaji kibwetele kwa kuwaangamiza kondoo wake waliokuwa wanamwaminia kuliko biblia.