Alakara Armamasitai
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 481
- 133
naibu katibu wa chadema bwana zitto zuberi kabwe ajue kabisa kuwa siasa chafu anaoufanya dhidi ya viongozi wenzake wa chadema haitafanikiwa kwani yuko uchi kwa sasa namwona kama kilaza mbele ya ben wa saanane kwani anachomzidi ben ni elimu,ubunge na ufisadi lakini upstair ben is more intelligent than yeye na pia watanzania tumeshajua mbivu na mbichi kwani zito na kundi lake ni wababaishaji tu na hawatafanikiwa huu upuuzi wanaoufanya elimu anayo lakini ajabu bado anaamini ushirikina daa anatia aibu.