Search results

  1. Mpigamsuli

    MUCCoBS kuwa MoCU

    Wakuu chuo cha MUCCoBS [ Moshi University College of Cooperative and Bussiness Studies ] kinabadilika kuwa chuo Kikuu kamili ambacho kitaitwa MoCU[ Moshi Cooperative University] mabadiliko hayo yataanza Mara tuu baada ya kufungua chuo mwezi wa kumi
  2. Mpigamsuli

    Wakazi wa Tabora na Kigoma tuonane hapa kidogo

    Wakaazi wa mikoa mikongwe ya Tabora na Kigoma naomba tujadili mikoa yetu hii miundo mbinu kama reli safi ya kati, lami mabasi kama adventure, Saratoga, adventure, NBS, sabena, mabrouk mitaa kama Cheyo, Ang'ambo, National, Uhazili, Rufita nk Nimekaa Tabora miaka mitatu, Kigoma nimekaa kidogo...
  3. Mpigamsuli

    Eid -elfitri yako umeimalizia wapi?

    Eid yako umeimalizia maeneo yani ya bataz(stare he)
  4. Mpigamsuli

    Weusi,jambo squad,pro.jay,mwana fa wafunika kilimanjaro music tour-moshi

    Show ilifanyika jana saa 4 mpaka 12 ay&fa,jambo squad,prof.jay,WEUSI, walifunika balaa
  5. Mpigamsuli

    Kilimanjaro music tour-moshi, leo kikwekwetu

    Maandalizi ya kilimanjaro music tour 2014 leo yanafanyika moshi-ushirika stadium kila kitu kipn tayari ni wasanii tu ndo wanasubiriwa
  6. Mpigamsuli

    Mkutano wa ukawa kanda ya kaskazini-kilimanjaro

    Leo kuna mkutano wa UKAWA leo hapa moshi, wameanza wawakilishi wa vyama vya NCCR-MAGEUZI,CUF Ngazi za mkoa
  7. Mpigamsuli

    Thread maalum ya mabachela ( team mabachelor)

    Wana MMU nimeamua kuanzisha thread maalumu kwa ajili ya sisi vijana ambao hatujaoa/kuolewa ili tujadili changamoto za maisha ya ubachela na jinsi ya kukabiliana nazo ahsanteni.
  8. Mpigamsuli

    Chanzo cha migogoro kwenye ndoa

    Wakuu naomba tujadili kwa nini ndoa nyingi mara baada ya wanandoa kufunga ndoa kunakuwa na migogoro mingi sana ambayo hupelekea mpaka ndoa kuvunjika hivyo kupelekea kuwepo na chuki,uhasama n.k karibuni wana MMU.
  9. Mpigamsuli

    Matatizo kwenye sekta ya elimu ya juu na elimu nyingine yanasababishwa na nanini?

    Wakuu naomba tujadili kwa upana juu ya matatizo kwenye sekta ya elimu kwa ujumla yanasababishwa na nini? na nini kifanyike ili tuweze kuyatatua hayo matatizo ,karibuni
  10. Mpigamsuli

    Wapi lilipo kundi la hard blasters crew

    nauliza wapi lilipo kundi la hawa wakali H.B.C(HARD BLASTERS CREW),kulikuwa na fanani,terry,na nigger j ,wapi lilipo hili kundi
  11. Mpigamsuli

    Vyuo vya Private ni Wabovu kwenye Masuala ya Uhasibu

    Wakuu nimefanya utafiti kwenye mambo ya UHASIBU nikagundua vyuo vya private ni wabovu sanaa, hii inathibitishwa na mitihani ya NBAA (CPA) vyuo vya serikali ndio vinafanya vizuri mfano, MUCCOBS, UDSM, TIA, IFM Halafu ndio maana watu wanaosoma UHASIBU vyuo vya private wengi hawana ajira.
  12. Mpigamsuli

    Vyuo vya private na migpa mikubwa kwa nini?

    Wakuu nimefanya utafiti kwenye vyuo vya BINAFSI,,nikagundua kwamba wanagraduate na G.P.A kubwa sana yaani unakuta G.P.A kubwa zimejaa sana ! ! Hebu tujadili wakuu kwa nini hivi vyuo vya PRIVATE wanapewa G.P.A kubwa sana je ni sababu za kibiashara
  13. Mpigamsuli

    KILIO LL,B!Chuo cha MUCCoBS kimewanyima makusudi pesa za field wa wanafunzi wa SHERIA(LL,B)

    Habari nilizozipata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika na kwenye majina yaliyobandikwa jana kwenye ubao wa matangazo (notice board) ya chuo inaonyesha kuwa wanafunzi wote wanaoenda field katika chuo cha MUCCoBS wamepewa pesa za field kasoro kozi ya sheria tu (LL,B) ,sijui tatizo ni ni ni...
  14. Mpigamsuli

    MUCCoBS Boom/mkopo majangaaaa WAZIRI AJIBU PUMBA

    Nimetoka kwenye kikao na waziri wa mikopo wa hapa MUCCoBS maswali tumemuuliza karibu yote kashindwa kuyajibu!! tatizo huyu waziri anaogopa kukubali kwamba kuna uzembe kwenye idara husika(Loan officer), uzembe huu ni kwenye kuchelewa kutuma majina ya waliopata supp na waliobadili course!! matokeo...
  15. Mpigamsuli

    INTELLECTUAL PROPERTY na HUMAN RIGHTS LAW

    Wakuu naomba msaada wa kujua kati ya intellectual property law na human rights law ipi iko vizuri katika ajira,kujiajiri na mambo mengine
  16. Mpigamsuli

    [MUCCoBS],Waliobadili programme/couse kukosa mkopo chuo cha MUCCoBS ,

    Taarifa niliyoipata toka kwenye chanzo cha kuaminika katika chuo cha MUCCoBS ni kwamba wanafunzi wote waliobadili programme/course ,walizopangiwa na TCU wote watakosa mkopo ! mfano kama ulichaguliwa first year course ya PROCUREMENT &SUPPLY ukabadili ukaenda ACCOUNTING&FINANCE ,basi utakosa...
  17. Mpigamsuli

    Mwenge University

    leo nimeenda kwenye hiki chuo ninayoyaona ni aibu sana ,nimeenda kwenye noticeboard yao nikakuta matokeo yamebandikwa kwa majina kabisaa ,hizo G.P.Asasa ni hatari ni mafirst class na maupper second tu nimeamini hiki ni chuo cha kata,
  18. Mpigamsuli

    Kitabu gani cha Literature A-Level ulikipenda?

    Wakuu kwa mliosoma Literature a-level novel/play gani uliipenda sana
  19. Mpigamsuli

    Ukali wa baba katika familia unamtokeo chanya kwa watoto

    Wakuu nipo kwenye hiace ya naenda mikanjuni -tanga,nipo na wazee wa makamo wanasema eti baba akiwa mkali kwenye familia hata watoto wanakuwa waangalifu sana kwenye mambo yao yote hata ya kielimu mtoto anajitahidi kadri ya uwezo wake ili kuepuka kipigo kutoka kwa baba, vipi wakuu ni kweli? ,
  20. Mpigamsuli

    Haaaa!! Baada ya kuoa na kupata kazi brazza kimyaa

    Wakuu nina kakayangu mmoja ana miaka39 ,kasomea ARUSHA Msingi mpaka sekondari kipindi anasoma sekondari alisomeshwa kwa gharama kubwa sanaaa , advance(a-level)kasome dsm kamaliza form6 mwaka 1996, akaingia chuokikuu mwaka 1998 mwaka 2001 kamaliza degree yake ya kwanza , mnamo mwaka 2003 alipata...
Back
Top Bottom