Poor Lance is angry and bitter according to Mange. He thinks he has to side with KP. But it make sense. I would get bitter too if I have to pay child and spousal support once the divorce is finalized for someone who doesn't even think she should get a JOB....
Uwiiiii kazi kweli kweli. Uzuri ni kwa mba wanasema ukitumia dawa si rahisi kuambukiza so hopeful dada wa watu atasalimika. Mimi I'm shocked ofisi yenu mnaletewa taarifa ya magonjwa ya wafanyakazi. Is that even legal. Sawa mnafanya audit Ila majina ya wafanyakazi si yabadilishwe zitumike...
Simtetei Mange ila haya maneno atakua aliandika akiwa emotional and angry..nothing make sense kwenye gazeti zima. Kwanza yeye household yake yote..herself and 3 kids are considered black only the husband ndo white. Pili mume na wakwe wanaishi Houston TX sasa it doesnt make sense kukandika...
Inawezekana usipate ukimwi lakini hakuna sababu ya kujaribisha ni bora ukatumia kinga mara zote. Kuna research nimeisoma sina uhakika nayo sana ila wanasema kuwa ukifanya tigo kupata maambukizi chansi yake ni 1 kati ya 71. Kama papuchi chansi ya kupata ni 1 kati ya 1250. Na wale wachumvini...
Kaongea uongo mwingi sana. Nakubali bill inahitaji kuboreshwa. Macelebrity kila siku wanasue na kuwin against tabloids. Sidhani cnn au tmz wanaweza tuu kuandika so and so is a drug dealer without any proof. Most madea zina fact checks kibao.
Hg usimpe pesa ndo utakuwa mchezo kila akiishiwa atarudi kutishia tafuta njia nyingine za kumalizana nae.
Huyu shemeji yako kama atapenda mtoto na mumewe mbona inawezekana tuu...kuna utaalamu wa kuchukua mbegu directly kutoka kwenye pumbu za mumewe i think india wanaweza that if kama unataka...
Hizi hospitali zetu bure kabisa. Kabla ya kumshona mgonjwa ilitakiwa wahakikishe yuko stable. Vital signs zote ziko zawa hicho ndo kitu cha kwanza. Then ndo wamshone. So wangemwekea damu ya kutosha akiwa stable ndo ashonwe. Pia huko nyumbani alipoumia angefanya huduma ya kwanza kuzuia bleeding...
Yani aga khan hawana utaalamu wa kutibu mshipa uliokatwa na kioo..mbona inatisha hivyo hadi nimetetemeka...daaa yani ukiangalia video za iraq watu wanapigwa risasi na wanafanyiwa kwenye ambulace matibabu ya kila aina leo hii hospitali kubwa kama aga khan isiwe na utaalamu.!!!!
Njia ipo ila sio natural. Ukitaka guarantee ya mapacha nenda kwenye fertility clinic kama uko dar kuna clinic inaitwa dar ivf ukiuliza kuna watu wanajua ipo mtaa gani kea njia ya in vitro fertilization -- or IVF - watakupa dawa ili ovary zako zitengeneze mayai mengi mwezi huo halafu watayavuna...
Hii vita bora imeisha jioni hii..ilifikia pabaya. Chaggabarbie karusha mapicha ya Zari na wanaume tofauti naona anapewa na huyo Ivandon. Simwelewi huyo Ivandon why katoa hizi picha hadi picha yao ya engagement mweeee anyway zimeshatolewa saivi but i had screenshot.a.few......
Mimi naendesha automatic kwenye ice na snow every winter for the last 15 years na inamudu vizuri tuuu hata wakiwa hawajasafisha automatic iko okay mbona
Capt Nemo, Not sure what you are talking about. Capital punishment is legal in Tanzania. Just read that four individuals will face death penalty for their involvement with albino killing so I am sure they will face their death in a certified settings....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.