Mange Kimambi awavaa January Makamba na Ridhiwani, Ajiunga rasmi 'Team Lowassa'

Hakuna mwanaccm mwenye akili mbovu na muhuni kama Mange, naona anajipendekeza kwa familia ya jk wakati hata hawamjui, SHERIA IMESHASAINIWA na atakaetukana mitandaoni Jela inamuhusu,
 
Bahati mbaya zaidi wanaosema kuwa bill ni mbaya nao ni kati ya watu walio mstari wa mbele kutukana na kudharirisha wengine!

Kwenye hili bandiko nilitegemea kuona Mange angeonesha japo kwa kiasi kidogo uzuri wa huu muswada! Pamoja na huu muswada kuwa na mapungufu hasa lakini si mbaya kiasi hiki watu wanacho jaribu kuonesha!

Hata hao wazungu hakuna cha siri kwenye data kila kitu cha mtu yeyote wakikihitaji wanakipata...kwa hiyo swala la kusema tutanyimwa misaada kwa sababu ya huu muswada sidhani kama ni kweli!

Kaongea uongo mwingi sana. Nakubali bill inahitaji kuboreshwa. Macelebrity kila siku wanasue na kuwin against tabloids. Sidhani cnn au tmz wanaweza tuu kuandika so and so is a drug dealer without any proof. Most madea zina fact checks kibao.
 
Huyo Mangi alikuwa anajigonga kwenye familia hiyo sasa dada wa January alimtupa urafiki...wakati yupo na urafiki nao alokuwa anamsapoti kwa lolote now hana urafiki nao na alienda bongo likizo toka usa hata baada ya kujigonga kurusha happy bday ya Mwamvita alimchunia so akabaki ameumia na ndio maana amepata jeuri la kuandika hivyo. B4 angemtumia msg whatsapp etc
 
Huyo mange kwa blog yake kazi yake kubwa ni kutukana watu akiwaandika majina na kurusha picha...nitafurahi kama hiyo bill itasainiwa haswa kwa hao akiwemo yeye anavyotukana watu na kuwa bully.
 
janu atutolee uchafu wake wa cybercrime.halafu anataka kuwa raisi.shameeeeeee
 
Mange lazima amjandie January kwa kuwa urafiki wake na na mwamvita aupo tena,mwanzoni alikuwa anajidai kumsupport January lakini sasa hayupo karibu na familia hii toka alivyokisana na mwamvita,naakikosana ma mtu kazi yake nikushusha matusi
 
Namuunga mkono mange...bigup sana sana.
Tatizo la nchi hii ni utekelezaji!tuna sheria nyingi ajabu na nyingi hazifuatwi.sasa hii itakuja na muujiza gani?
 
Haaahaa mange sometimes she acts too smart! Anataka kutetea matusi katika justification ya freedom of speech! Amechambua vizuri but in too narrow views, nilitegemea angeomba sheria iboreshwe ili iwe halisi na applicable! Anawalaumu wakina January kwa kuvutia kamba upande wake lakini anasahau kwamba hata yeye anatetea ili kiblog chake kisijefungwa, wamezidi kutukana watu kwa mwavuli wa freedom of speech! Cc Ruttashobolwa.
 
Last edited by a moderator:
Haaahaa mange sometimes she acts too smart! Anataka kutetea matusi katika justification ya freedom of speech! Amechambua vizuri but in too narrow views, nilitegemea angeomba sheria iboreshwe ili iwe halisi na applicable! Anawalaumu wakina January kwa kuvutia kamba upande wake lakini anasahau kwamba hata yeye anatetea ili kiblog chake kisijefungwa, wamezidi kutukana watu kwa mwavuli wa freedom of speech! Cc Ruttashobolwa.

Mimi nilifikiri amesoma muswada husika na kuna vipengele ange vikosoa na vingine ange unga mkono maana si muswada wote ni mbaya au una mambo mabaya ...na yeye amejaribu kujificha kwenye mgongo wa watu as if maudhui ya blog yake yako sawa na ya wengine maana yeye hawezi kuuza bila kutukana watu sasa anatumia huu mwanya wa muswada kujaribu kujitetea...!
Hakuna nchi duniani inaweza kuruhusu aina ya freedom of speech anayo taka Mange na afanyavyo kwenye blog yake...!
Mi najiuliza hajaona mazuri ya kwenye muswada?amepoteza muda kushambulia watu tuu...!
 
Last edited by a moderator:
Namuunga mkono mange...bigup sana sana.
Tatizo la nchi hii ni utekelezaji!tuna sheria nyingi ajabu na nyingi hazifuatwi.sasa hii itakuja na muujiza gani?

Kwa hiyo hule muswada hauna mazuri?
 
janu atutolee uchafu wake wa cybercrime.halafu anataka kuwa raisi.shameeeeeee

Mkuu ulisikiliza mjadala wa huu muswada bungeni?umepata wasaha wakuusoma hata kidogo? Unafikiri muswada hauna jema kabisa?
 
Mkuu ulisikiliza mjadala wa huu muswada bungeni?umepata wasaha wakuusoma hata kidogo? Unafikiri muswada hauna jema kabisa?
mkuu tunahitaji miswada ya kuwafunga na kuwatimua ubunge mafisadi waliochota hela za escrow wanathari kubwa zaidi kwa jamii kuliko MTU wa cybercrime
 
Kuna swali dogo sana Mange hajajiuliza, ye anafikiri kwenye nchi zenye sheria za Cyber hakuna freedom of speech! ?
Yaani ye amekaa akaona akija na hili la freedom of speech ataungwa mkono na watu smart, She assures of that ndo maana anasema I know hata JF watamuunga mkono. Tena akaamua kumshirikisha na mdogo wake wema sepetu ili wa win the so called team wema, Mange mjanja sana eti ameamua kuingilia mlango wa siasa ili ku win attention ya waropokaji wote wakiwemo na baadhi ya wabunge!
Hii sheria sio mbaya kiasi hicho mnachotaka kutuaminisha, ebu turudi darasani tukasome, Cybercrime ina mambo mengi sana sio Bulliying tu. Tuichambue tujue na mazuri yake.
Nilishawahi kusikia mtu siku moja akisema #wema sepetu hajawahi intertain zile team zake hehee nani kakwambia! !?? Kule instagram katokwa povu kutetea hao team uchwara wake anajua bila hao jina lake halitakuwa kwenye chat!
Na wajinga walio nyuma yao wamewasapotije? Watanzania hatutakaa tujikomboe si kwa kufuata mkumbo huu kisa #wema na #Kimambi mange wamesema basi huu muswada haufai! Eti ohhh mange nakuunga mkono blah blah kibao what a nonsense.
Eti tena wema yuko serious kabisa anasema hakuna mtu Tz anatukanwa kama yeye, hahaha yaani ye kutukanwa kwa ujinga wake anataka kujustfy na matusi kwa wengine! Wameshindwa hata ku focus on future watoto wao wakijakusoma the way Wazazi wao walivyokuwa wanadhalilishwa watakuwa in which state of mind!
Nimekumbuka Mange alivyohamasisha watu wa kwenye blog yake kum report #Mbuta nanga alivyokuwa anamtukania Bhoke wake! Why she did so kama anaona matusi ni mazuri au ndo mambo ya double standards! ?

Mange your so smart than this shit na kipaji cha kuandika unacho ambacho ni very impressive. sometimes nataka kuamini wewe ni lara1 lakini kitu na kutofautisha na lara1 Mange your too bitter and biased lakini lara1 ni intertainer MNISAMEHE KWA HILI kwani kuhisi kwangu hakufanyi kitu kuwa cha kweli ni kiherehere cha akili yangu tu.
Anyway ngoja nimalize kwa kusema hivi A Bill has NOTHING TO DO with FREEDOM OF SPEECH zenye facts ndani yake ni nyie wambea tu na pressure zenu. Despite of cyber laws serikali itakosolewa vizuri tu. SAY THE TRUTH IN A PROFFESIONAL WAY uone kama mtu atakufuata so stop worrying Mange.
 
Last edited by a moderator:
binti kiziwi;

Unaweza kuwa sahihi na unachisema khs mange coz m sipo upande wa waropokaj hofu yang pia ni kujua nn viongoz we2 wanaweza kuwa wamekificha nyuma ya hii bill, dont 4get how smart our leaders are esp wen it comes to their priorities, yan km duru muhim kwenye katba xmefutwa il tu walinde maslah yao????? Wanashindwa vp kutugeuzia kbao kwny hii bill pind tutakapojiridhisha nayo na ikapitishwa????? Kwang mm tatzo sio cybercrime bill, bal tatzo lang ni hao wanaoipigia debe coz frankly speaking siwaamin km wana mapenz mema na hii ki2 km wanaoonekana machoni!!! Just thinking loud.
 
Last edited by a moderator:
Unaweza kuwa sahihi na unachisema khs mange coz m sipo upande wa waropokaj hofu yang pia ni kujua nn viongoz we2 wanaweza kuwa wamekificha nyuma ya hii bill, dont 4get how smart our leaders are esp wen it comes to their priorities, yan km duru muhim kwenye katba xmefutwa il tu walinde maslah yao????? Wanashindwa vp kutugeuzia kbao kwny hii bill pind tutakapojiridhisha nayo na ikapitishwa????? Kwang mm tatzo sio cybercrime bill, bal tatzo lang ni hao wanaoipigia debe coz frankly speaking siwaamin km wana mapenz mema na hii ki2 km wanaoonekana machoni!!! Just thinking loud.

- Hii Sheria hamlindi mtu wala Kiongozi yoyote mchafu, isipokuwa ni Sheria inayotaka Wananchi kuanza kuandika kwa RESPONSIBILITY I support it kwa sababu it is a high time imekuja nchi zote Duniani zilizoendelea ni lazima zina Sheria kama hii ya KUANDIKA KWA RESPONSIBILITY ndio maana Serial Link alikamatwa na kuwa kesi mahakamani kwa kuwa na nyara za Serikali bila kibali cha Serikali ya US,

- Wabongo tumezoa kutafutana uchawi Sheria ni ya Taifa sio ya Rdihiwani au January, foolish to think kwamba eti Sheria ya Taifa imepitishwa kwa sababu ya hawa wawili, wananchi wa Tanzania sasa mjifunze kuandika with FACTS and EVIDENCE sio kurusha rusha maneno hewa bila kujua effect yake kwa unaowarushia sasa ukisema sema bila ushahidi utaumia na people hii sheria ni serious sio utani kwa mliozoea kuandika bila FACTS!!

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom