Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Umeweka mchoro tu huo...

Unanisikitisha kwasababu hata hujui maana ya ushahidi ni.nini...

Hivi hiyo ni picha kweli?

Aliegundua HIV mwenyewe hajawahi kumuona huyu kirusi halafu wewe mmatumbi uweze kumuona!?

Hivi mkikubali tu hakuna ushahidi wa hii kitu mtakufa?

Khaa, yani unawawezaje? We kiboko kwa kweli
 
Nilichogundua Wengi wanaoshabikia huyu dokta FAKE wengi wao ni wale walipimwa na kukutwa na HIV+ sasa either wabishi hawataki kukubali au wanatafuta relief yaani wanajifariji au wanatamani itangazwe hata redioni kesho kuwa ukimwi hausababishwi na ngono ili wapate sababu. Au ni wale watu ambao starehe yao ni ngono na hawataki kutumia condom.........anachokifanya dokta FAKE ni kitu kidogo sana . Yeye ananukuu paper za wale waliopinga ukimwi basiii yaani ni sawa na ushabiki wa simba na yanga. Maswali ya msingi anayakwepa anakadhania TB sijui mafua ......mtu alikuwa hoi hoi kaisha kabakia mifupa hata kula hali anaanzishiwa dozi ya ARV ana recover anarudi safi kabisa . Dokta FAKE anasema dawa ya upungufu wa kinga mwilini ni chakula mlo kamili . Sasa mtu alifikia hatua hata ya kula hawezi atawezaje kula hizo juice . Dokta FAKE na nyie waathirika taratibu jamani mtapotosha watu . Kuna watu walienda kwa babu wa loliondo wakaacha kula ARV walifariki fasta .

Nimependa sana umeongea kwa hisia, hata mtu mwingine angefikiria kama unavyoandika wewe, ila ungemsikiliza kwanza then ukatoa hoja zako za kumpinga, unapotoa maneno ya kashfa na dharau bado haisaidii, ata mimi nawez kumuita deception mjinga au mpumbavu ni rahis sana , tatizo je, nina hoja gani yenye mashiko ambayo nitambana nayo huyu jamaa ili mimi nionekane mkweli? apo ndio tatizo, ila ukiendelea kutoa maneno mabovu haisaidii
 
Huyu dokta FAKE yeye anangangania kuwa dawa ya ukimwi ni chakula yaani mlo kamili. Mimi nimemuuliza je USA, UK, Russia , Thailand .....watu wanaokufa na ukimwi nao hawali mlo kamili........na je wanapoambiwa watumie condom au protected sex kujikinga na ukimwi wanadanganywa....maana dokta FAKE anasema ukimwi hauambukizwi na sex wala damu.........NAFIKIRI HATA UZI HUU KAUANZISHA makusudi kwa different I'd ili kuwachota watu........dokta FAKE anasema eti vipimo ni fake kisa sometimes vinakosea kwanza ikumbuke anayekupima ni binadamu anasema pia akakosea . Pia hata hivyo inashauriwa upime mara 3 tena ikibidi sehemu tofauti 3 na kwa miezi 3 wakiwa na maana kwamba inawezekana kipimo kilikosewa au mfano mtu aliyeambukizwa leo ukimpima kesho huwezi kuona kitu .......so DOKTA FAKE acha kutaka kuua watu makusudi . Wabongo wanapenda ngono kavu tutawazika wengi .

Hao madokta wenu ORIGINAL wanaotoa ARV ili watu wasife je? watu hawafi? Acha fikra mpauko ndugu.

Kama ARV isingekuwa tatizo basi watu wasingeogopa ukimwi, ARV zipo ila watu bado wanaendelea kufa na UKIMWI, ukimwi unaogopwa bado kwa kuwa ARV hazijafanikiwa kuokoa maisha ya waathirika , ulijiuliza kwa nini? Tafakar ndugu.
 
Pay no mind to that idiot, he does not worth your replies, leave him please

Mkuu,
Unajua sisi wengine ni ma mbumbu wa haya mambo na tulichagua kuwa kimya ili tujifunze,sasa hawa wanaojiita madaktari wanapokuja hapa na kutoa maelezo yanayoaibisha taaluma hii nyeti nashindwa kuvumilia

Mwishowe tumeanza kuchangia hata tusiojua haya wakati huu uzi ulitakiwa uwe wa madaktari tu

Hovyo kabisa hawa watu.......
 
Umeweka mchoro tu huo...

Unanisikitisha kwasababu hata hujui maana ya ushahidi ni.nini...

Hivi hiyo ni picha kweli?

Aliegundua HIV mwenyewe hajawahi kumuona huyu kirusi halafu wewe mmatumbi uweze kumuona!?

Hivi mkikubali tu hakuna ushahidi wa hii kitu mtakufa?

He he hee,sio kwamba hawajui maana ya ushahidi bali hawana huo ushahidi,we unamuonea bure tu.Hebu angalia hiyo video hapo chini uone huyo mama anavyoelezea jinsi hawa jamaa walivyofanya mpaka kusema kwamba wamegundua HIV,video hii si scientific proof,ila anachoongea huyo mama ni data za jinsi walivyofanya kina Gallo na Montaigner.

Hebu angalia uone huyu mama alivyokuwa nuksi.Nuksi kweli huyu mama...yaani nuksi kweli kweli na ana uhakika anachokiongea na wewe mwenyewe muangaliaji unaweza kugundua kitu hapo.Tuliza akili na uangalie.Ukimaliza ndio utajua kwanini jamaa alikuletea picha ya mchoro badala ya electronic micro-graphs za HIV.Haya twende kazini.....

https://www.youtube.com/watch?v=1Ga01hvqOow
 
uliwajua vp kama ni -ve...acha kujibu kipuzi ili na wewe uonekane uko team flani...na ndiyo maana apo juu nilimuliza mwezio.alikuwa na tb ya wap..??? na je hao watu walipona..?? na je ukiacha maandishi una kigezo kipi chaku nishawishi ...?? vna hitaji vigozo zaidi ya maneno mkuu....muda wa siasa ulisha isha page za mwanzo...!!

Dr.niliwahi kukwambia kwamba mimi mwenyewe niliwahi kuugua TB muda mrefu nyuma lakini waliponipima wakakuta ni HIV-,yaani sina HIV.Kwa kuwa ili upate TB inabidi kinga yako iwe imeshuka,sasa nauliza hivi;

Kama nilikuwa sina HIV je nini kilishusha kinga yangu?
 
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
sasa nmeekuelewa ..megundua kumbe Was not about education... wax all about finding winners and losers in this issue... Good 4u
☝👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆

Mkuu hatupo hapa kutafuta winners wala losers.

Tupo hapa kupata elimu zaid ni watu wengi wanamatatizo haya

Yan kama Mimi nimetoka na kitu hapa kuwa ukimwi unaweza kuwa nao bila ya HIV+

Kwa akili yako utabisha ila ukweli ndio huo doctor
 
Oooooh!! ....
juz leave em as they r,
but I hop huu Uzi hautawafanya waanze kujiachia ovyo.. Bcz wakiukamata itakua a veeeery sad story

Doctor usione tunakomaa na huu uzi na sio kwamba tunajiachia au tunajifariji

Ila kwa maisha ya sasa ni lazima utazame kila kitu kwa jicho la tatu
Sio unakubali kupelekwa kama ng'ombe

Lazima tujue nin madhara ya ARV.lazima tujue upande wa pili wa AIDS ukoje na kwanini watu wakipinga HIV+=AIDS wanapotezwa au hawapewi support ili kutatua hili tatizo??

Mara ngapi tunasikia dawa imepatikana halafu hizo story zinapotea.jaribu kuruhusu akili yako itazame upande wa pili

""Ni mtazamo tuuuu...usijenge chuki haya mawazo tuuuuu""
 
Dr.niliwahi kukwambia kwamba mimi mwenyewe niliwahi kuugua TB muda mrefu nyuma lakini waliponipima wakakuta ni HIV-,yaani sina HIV.Kwa kuwa ili upate TB inabidi kinga yako iwe imeshuka,sasa nauliza hivi;

Kama nilikuwa sina HIV je nini kilishusha kinga yangu?

fanya ujibu maswali yangu hapo juu ili na mm niende sawa na yakwako...nakujua ww ni bingwa waku kimbia maswali...!!
 
Inawezekana usipate ukimwi lakini hakuna sababu ya kujaribisha ni bora ukatumia kinga mara zote. Kuna research nimeisoma sina uhakika nayo sana ila wanasema kuwa ukifanya tigo kupata maambukizi chansi yake ni 1 kati ya 71. Kama papuchi chansi ya kupata ni 1 kati ya 1250. Na wale wachumvini chansi ni kiduuuchu. Kila mtu na zali lake unaweza ubahatike au uwe ndo that 1......

All exposures are not equal
The results of several meta-analyses suggest that some types of sex carry on average a higher risk of HIV transmission than others. Below are estimates from meta-analyses that have combined the results of studies conducted in high-income countries. For types of sex where meta-analysis estimates do not exist, numbers from individual studies are provided.

Anal sex
A meta-analysis exploring the risk of HIV transmission through unprotected anal sex was published in 2010.1 The analysis, based on the results of four studies, estimated the risk through receptive anal sex (receiving the penis into the anus, also known as bottoming) to be 1.4%. (This means that an average of one transmission occurred for every 71 exposures.) This risk was similar regardless of whether the receptive partner was a man or woman.

No meta-analysis estimates currently exist for insertive anal sex (inserting the penis into the anus, also known as topping) but two individual studies were conducted to calculate this risk. The first, published in 1999, calculated the risk to be 0.06% (equivalent to one transmission per 1,667 exposures).2 However, due to the design of the study, this number likely underestimated the risk of HIV transmission. The second study, published in 2010, was better designed and estimated the risk to be 0.11% (or 1 transmission per 909 exposures) for circumcised men and 0.62% (1 transmission per 161 exposures) for uncircumcised men.3

Vaginal sex
A meta-analysis of 10 studies exploring the risk of transmission through vaginal sex was published in 2009.4 It estimated the risk of HIV transmission through receptive vaginal sex (receiving the penis in the vagina) to be 0.08% (equivalent to 1 transmission per 1,250 exposures).

A meta-analysis of three studies exploring the risk from insertive vaginal sex (inserting the penis into the vagina) was estimated to be 0.04% (equivalent to 1 transmission per 2,500 exposures).4

Oral sex
No meta-analysis estimates exist for oral sex (vaginal or penile) because too few good-quality studies have been completed. This is because it is difficult to find people whose only risk of HIV transmission is unprotected oral sex. A review of the studies that are available was published in 2008 and concluded that vaginal and penile oral sex pose a “low but non-zero transmission probability.”5

In the three studies aimed at calculating the risk of HIV transmission from one act of oral sex, no transmissions were observed among three different populations—lesbian serodiscordant couples, heterosexual serodiscordant couples and single gay men—who reported unprotected oral sex as their only risk for HIV transmission. However, these studies enrolled only a small number of people and followed them for only a short period of time, which may explain the lack of HIV transmissions and makes it impossible to conclude that the risk from oral sex is zero.
 
Mkuu hatupo hapa kutafuta winners wala losers.

Tupo hapa kupata elimu zaid ni watu wengi wanamatatizo haya

Yan kama Mimi nimetoka na kitu hapa kuwa ukimwi unaweza kuwa nao bila ya HIV+

Kwa akili yako utabisha ila ukweli ndio huo doctor

Kuanzia leo na mimi naomba mniite dokta warumi, sikujua kuwa udokta ni cheo chepesi namna hii, call me doctor warumi from now on...
 
Hakuna kitu hapa kama nilivyosema ni kundi la waathirika na dokta fake anayetafuta pa kutokea.......nimeuliza zaidi ya mara tatu wanakwepa maswali wanakuja na vitisho vya kipuuzi mno.........US. UK. Asia...... hawali mlo kamili? Je wanapoambiwa watumie condom wanadanganywa abt ukimwi? Maana huku africa mmesema tunachukiwa coz ni african black
 
Hakuna kitu hapa kama nilivyosema ni kundi la waathirika na dokta fake anayetafuta pa kutokea.......nimeuliza zaidi ya mara tatu wanakwepa maswali wanakuja na vitisho vya kipuuzi mno.........US. UK. Asia...... hawali mlo kamili? Je wanapoambiwa watumie condom wanadanganywa abt ukimwi? Maana huku africa mmesema tunachukiwa coz ni african black

Duuuu
Yaani sie kuruhusu akili zetu kufunguka tumekuwa waathirika

Kalaghabaho muyawe
 
Hakuna kitu hapa kama nilivyosema ni kundi la waathirika na dokta fake anayetafuta pa kutokea.......nimeuliza zaidi ya mara tatu wanakwepa maswali wanakuja na vitisho vya kipuuzi mno.........US. UK. Asia...... hawali mlo kamili? Je wanapoambiwa watumie condom wanadanganywa abt ukimwi? Maana huku africa mmesema tunachukiwa coz ni african black

Wewe jamaa ni wa hovyo sana....

Unataka kutisha watu hapa ili wasihoji,tena unawatisha kwa vitisho vya kizamaaani sana,kuna mambo unataka uyajue..

Hata kama una ukimwi utakufa tu
Hata kama huna ukimwi utakufa tu
Unywe ARVs au usinywe utakufa tu

Sasa basi kumbe either way kifo kiko mbele yako taka usitake....

Hapa tunachokitaka ni ukweli baaasi na watu kama kufa wafe kihalali na sio kwasababu za kijinga kama hizi

Binafsi nimesha poteza mtu wangu muhinu sana kwenye maisha yangu,huyu ni baba yangu mdogo na hadi sasa naamini aliuwawa na haya ma ARVs hivyo kuna watu wana kesi ya kujibu hapa,halafu wewe unakuja na maneno yako ya kijinga jinga unataka tukusikilize

Nimejisikia vibaya sana watu wenye dhamana ya kuhakikisha tunapata tiba sahihi wanakuja hapa na kuleta mizaha ya kijinga jinga,sijiu hawajii kuwa kwa ujinga wao wataendelea kuuqa watu hovyo na kuongoza wajane/wagane na watoto wa mitaani bila sababu ya msingi

Acha.masikhara na masuala ya uhai wa watu wewe ......
 
Hakuna kitu hapa kama nilivyosema ni kundi la waathirika na dokta fake anayetafuta pa kutokea.......nimeuliza zaidi ya mara tatu wanakwepa maswali wanakuja na vitisho vya kipuuzi mno.........US. UK. Asia...... hawali mlo kamili? Je wanapoambiwa watumie condom wanadanganywa abt ukimwi? Maana huku africa mmesema tunachukiwa coz ni african black

Hata wewe ni mwathirika ndo maana uko humu for that case na kama unataka jibu la swali lako ni kuwa we endelea na dose zako humu tu ache tunaopinga hizo dose!
 
Back
Top Bottom