Hausegirl katushika pabaya

Lara1 kasema kweli maybe kwa kuongezea tu jitahid kwenda kufuta backup ya text zenu kwenye mitandao ya Simu then ndo u deal vizuri na house girl huyo,yaani issue ni kupoteza huo ushahidi
 
Hg usimpe pesa ndo utakuwa mchezo kila akiishiwa atarudi kutishia tafuta njia nyingine za kumalizana nae.

Huyu shemeji yako kama atapenda mtoto na mumewe mbona inawezekana tuu...kuna utaalamu wa kuchukua mbegu directly kutoka kwenye pumbu za mumewe i think india wanaweza that if kama unataka ndoa ya rafikiyo ibaki sidhani kama unataka ubaki na shemejio.

Otherwise pole...ila duu kila linalofinyika gizani sijui kwanini with time mambo yanakuwa hadharani
 
Hahahahaaaaaaaaaa! Housgel kama huyo dawa yake ndogo sanaaa! Lakini wewe siku ukishikwa si utaliwa Kiboga wewe japo mwenye nguvu hana lazima akukodie watu.

Dawa ya beki tatu, we mtokee hakikisha una mbato, na kuna ushahidi wa kutosha wa picha na sms zinazoashiria mahusiano baina yenu. HATA ASEME WAPI, KWA NANI, ATUMIE AMPLIFAYA GANI HAKUNA ATAKAPO AMINIKA AS LONG AS UNA USHAHIDI UMEWAHI KUMPITIA. ITAONEKANA NI WIVU WAKE WA KIMAPENZI ANATUNGA TUNGA TU VITU, NA KUMCHAFUA MKE WA MTU. Ukimmbato credibility yake inaenda negative kabisaaaa.

Ukilogwa umpe hio pesa utatengeneza ushahidi afu kila siku atakuwa anataka hela zaidi. Mpaka sahivi bado kuna reasonable doubt ya kutosha tu. Fanya kama nilivokwambia. Kwanza utafaidi, maana watamu kweli wale kuku wa kienjeji, pili uatatua tatizo lako.

AMA KWELI SHETANI HATOKI MBALI UNAISHI NAE NA KUSHIRIKIANA NAE KILA KITU, AT TIMES NDO MSIRI WAKO!

Na akimtokea akamnyima itajuwaje? Hujatoa plan B. Big up anyway Sister!

Kabla ya kwenda kwenye Plan B, Hii mchakato ya lara 1 inaweza kufanikiwa endapo na ikiwa tu huyu mzinzi hana mke....

Unajua kitatokea nini kama atakuwa na mke?? Huyu osigelo blakimeila.... (anaonekana kuwa mzoefu) Atakuwa amekosa milioni moja za wazinzi lakini hizi meseji akizitumia kumblakimeil mzinzi kwa mke wake?? Mzinzi atakuwa tayari ndoa yake ivunjike kama osigelo atakuja na deal jipya la 1.5m??

Kama mzinzi ana mke..... osigelo bado ana hold the four aces....
 
Mzinzi mkubwa wewe, angekuwa ni mke wangu ningekukodia yale magaidi ya amboni yakuchome moto na kula nyama yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom