Mapya yaibuka: Maafisa wa TMAA walipewa hela ili Smelter isijengewe Tanzania

Namshauri Rais kwenye mambo kama haya wala asisumbue Polisi na Mahakama . Hawa TMAA wote wanatakiwa kufilisiwa na kufukuzwa kazi mara moja.
Na hasa ikiwa AKAUNTI ZAO na za JAMAA ZAO ni ZAIDI ya Mishahara yao TANGU WALIPOANZA KAZI. Nakuunga mkono.
 
Katika hili sakata la mchanga, Mh. Rais J.P. Magufuli asitetereke wala asipunguze mwendo.

Ni kweli kwamba uzembe mwingi katika hili sakata la mchanga umefanywa na watu wetu, wafanyakazi wa serikali na viongozi waliokuwepo. Vilevile ni kweli kwamba katika kukimbilia kupendelea wawekezaji, sirikali iliweka sheria pamoja na usimamizi mbovu katika sekta ya madini. Katika hizo mbio, ni sirikali hiyohiyo iliyosaidia katika kuchukua maeneo ya wananchi ili kutoa nafasi kwa wawekezaji kufanya uwekezaji kwa mategemeo kwamba faida ingekuwa kwa wote, wananchi na wawekezaji. Wakati huo hatukusikia serikali ikishtakiwa na hao wawekezaji au washikaji wao, kwa kuwa walikua ndio wafaidika wakuu.

Kwa upande mmoja, Tanzania imefanikiwa kuwa moja ya wazalishaji wakubwa wa dhahabu barani Afrika. Lakini kwa upande mwingine, Watanzania bado hawajafaidi rasilimali zao. Hiki ndio kilio cha wengi, wakiongozwa na Rais wa Awamu hii. Umasikini bado uko palepale na hauelekei kama unapungua. Sasa serikali ya Rais. J.P. Magufuli imeshtuka na inataka kurekebisha mambo, na huu ni mwanzo tu. Hii ni haki, ni sahihi na muhimu kufanikiwa.

Mabadiliko haya ya kurudisha heshima ya Mtanzania yatafanikiwa na yatatekelezwa kwa kutumia sheria zilizopo. Rais Magufuli apewe support na wote wanaompenda, na wasiompenda ni bora wakae kimya tu kwani watapata fedheha kupinga ajenda hii. Hata hao wawekezaji katika boardroom zao wanajua kabisa kuwa Magufuli yuko sahihi na wakati wa mabadiliko umefika. Wengine wanaweza kutofautiana na approach ya Magufuli kwa sababu hawajazoea kuona kiongozi wa sampuli hii. Waoga na wenye moyo mdogo katika hii vita ya kiuchumi na kisaikolojia ni vema wakae kando na kumwacha Jemadari afanye kazi yake.

Mamlaka na nguvu ziliyotumika na viongozi waliotangulia katika kufanikisha uwekezaji holela ndio hizohizo zitatumika na Rais Magufuli kurudisha taifa katika mstari sahihi. Kwa kudokeza tu, Tanzania bado ina madini na raslimali nyingi sana. Kwa mfano, mchanga wa chuma huko Liganga & mchuchuma nao umeambatana na madini mkakati kwa wingi, kiasi kikubwa kuliko hata hayo tunayosikia kwenye mchanga wa dhahabu.

Magufuli akifanikiwa, Tanzania imefanikiwa. Magufuli akishindwa, Tanzania imeshindwa. Mambo ya chama na siasa after baadaye (2025).
Ni kweli mkuu. Watu tukijua ukweli huu hakika tutaangalia zaidi maslahi ya taifa letu na wala si vyama vyetu na masiasa siasa yasiyoisha.
 
Huo uchambuzi wa kibiashara iko vizuri...hapa Tanzania tuna Uhuru wa kusema sio kutenda, pia tunaweza kupanga ila sio kuamua endeleeni kushauri yawezekana siku moja huo mwamba mgumu utapata cracks na kuvunjika. Hayo yanayotuumiza watanzania ndiyo NIRA ya taifa hili....tukazane tuivunje.
NIRA ya UFISADI na UNAFIKI naona pole pole IMEANZA KUVUJNJIKA na hatimaye Tanzania taifa hili litastawi.
 
Tumeibiwa vya kutosha sasa tusimame kwa pamoja tusiingize U CCM wala UKAWA . hii ni issue ya kinchi sisi ndio tunaoathirika zaidi. Utashangaa watu kama sio wazawa wala hawana uchungu wa nchi hata kidogo. Tumemuogope Mungu TUJUE KUA MUNGU ATAKWENDWA KUTUULIZA KWA KILA NUKTA YA MAISHA YETU
Tuwaombee pia watu ambao kila jambo jema linaingiziwa siasa. Tuwaombee ili WABADILIKE.
 
Unajuaje kama kamati hizo hakuna usalama

The Engineer
Chunguzi na investigations kama hizi zinapofanyika za MAMBO MAKUBWA kama haya ya kuliletea TAIFA HASARA KUBWA kama hii it cuts across the divide/ HAIBAGUI CHEO cha mtu.
Whether mtu fulani alikuwa ni nani ama Mkubwa wa nini.
SHERIA ni SHERIA. Na inabaki kuwa ni sheria.
 
Maneno mengi utekelezaji sifuri!!!

Kama hao TMAA na ACACIA ni waongo si serikali ijenge basi hizo smelters!!! Serikali ikijenga, tunawatoza gharama ndogo hao ACACIA wanaosema not economical kwa wao kujenga smelters.

Nadhani gharama zetu zitakuwa very affordable kwa sababu tunaamini ujenzi wa hizo smelters not expensive kama akina TMAA wanavyosema!!

Ile ripoti ya TMAA mie nimeisoma mara nyingi sana!! Wengi wenu humu mnaangalia wanasiasa wamesema nini!!!

Mosi, TMAA hawakusema smelters zisijengwe bali bali walisema not commercially viable. Hata hivyo, wakapendekeza nini cha kufanyika to make the whole thing viable.

Moja ya mambo waliyokuwa wameyataja ni kiasi cha mchanga kinachozalishwa na nishati ya ku-run hiyo mitambo!!!!

Kwa upande wa Barrick, wao walisema "not economical TO US" kujenga smelters!!

From economic point of view, mtu anaposema not economical haimaanishi kwamba kujenga ni hasara!

However, kwavile wamesema "not economical to us (acacia)" manake kuna better option kwao kuliko kujenga smelters. Hiyo ndiyo tafsiri ya not economical!

Lakini ambacho "not economical" kwa Barick/Acacia/investor kinaweza kuwa very economical kwa serikali. This so because, wakati ACACIA wanaangalia economic benefits serikali inatakiwa kuangalia socio-economic benefit!!

Mbona simple tu!!!!

Ah! Nimekumbuka! TUSIKODISHE!

Hawa Acacia si wanasema tani 20 zina 3kg za dhahabu wakati Ripoti ya Wazalendo inasema tani 20 zina wastani wa 28kg za dhahabu?! It's OPPORTUNITY for us!

Tunajenga smelters kisha tunanunua hayo makinikia kwa thamani ya mineral composition inayoripotiwa na Acacia!! Kwamba, tani 20 za makinikia zina 3kg ONLY!

Tunanunua na tunafanya processing wenyewe... hapo tutakuwa tumepata 28kg from the very single container!

Tena turahisishe mambo! Hitimisho la Kamati ya Wazalendo kama ambavyo iliripotiwa hapa JF inasema:Viwango hivyo hapo juu ni wastani wa Sh. 1.134 Trillion just for a single trip!!!

Aidha, Mheshimiwa Rais nae akaripotiwa akisema:Kama kontena 277 zina thamani ya Sh. 1.134 trillion, this means kontena 3600 zinazosafirishwa kwa mwaka zitakuwa na thamani ya Sh. 14.74 Trillion!!!

TUtakuwa stupid tusivyo-grab hiyo opportunity!! Halafu si tunasema smelters zinauzwa bei rahisi tu.... hivi wapi tunaweza kupata biashara kubwa kama hiyo!!!!!

Haya sasa... badala ya maneno meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeengi; hususani wale wazalendo (sio akina sie) basi tufanye hima tumshawishi Rais Magufuli aachane na mpango wa ndege na badala yake tuwekeze kwenye smelters na hayo makinikia tunanunua wenyewe, tunayo-process wenyewe na kwa hesabu hizo hapo juu, hatukosi Trillion 10 as net profit kwa mwaka!!!
Good point

Sent from my VS835 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo ujue hata JPM anatudanganya tu ona kumbe Naibu Waziri ndiye aliyekuwa mwandishi mkuu wa mikataba leo ati ndiye Naibu Waziri tunamfukuza asiyehusika tuna mwacha muhusika mkuu halafu ati walioiba raslimali.Nikisema Mkuu wetu hawezi kupigana hivyo vita tunashambuliwa ona sasa hii:


Douglas Lake Minerals Board of Directors and Director of Exploration Appointments



Last update: 3:15 p.m. EDT Aug. 4, 2008



VANCOUVER, Aug 04, 2008 /PRNewswire-FirstCall via COMTEX/ -- Douglas Lake Minerals Inc. (OTC BB: DLKM./ Frankfurt: D6O.F) announced today the appointment of two senior Tanzanian officials to the Board of Directors. Mr. Gus Sangha and Dr. David Groves have stepped down from the Board and the Company thanks them for their valuable assistance during their tenure. Dr. Groves will remain with Douglas Lake as Director of Exploration.

Dr. Medard M.C. Kalemani, LLB, LLM, PhD, Mining Management - Director

Dr. Kalemani is the General Counsel to the Millennium Challenge Account Tanzania, Ministry of Finance, which is an autonomous government entity responsible for managing energy, transportation and water projects in Tanzania. He served as State Attorney of the Tanzanian Ministry of Energy and Minerals from 1999 to 2007, and from 1997 to 1998, he was a Legal Officer and Manager of the Tanzanian Branch of the International Rescue Committee, UNHCR. He was also legal consultant to UNDP Vienna in Tanzania and an independent consultant on a team that reviewed the Minerals Act of the Republic of South Africa. In 2002, Dr. Kalemani authored a thesis titled "Comparative Study of Mineral Laws" which compared laws between Tanzania, South Africa, Namibia and Botswana.

Prof. Abdulkarim Mruma, BSc, MSc, PhD, Geology - Director

Prof. Mruma is the Chief Executive Officer of the Geological Survey of Tanzania, Ministry of Energy and Minerals and since 2004, he is the Vice Chairman of the Association of Geological Survey of Africa. He was the Head of the Department of Geology at the University of Dar es Salaam from 1994 to 2004. Other positions he has held include: National Coordinator, International Geological Correlation Programs; External Examiner, Department of Geology of the University of Nairobi in Kenya and the University of Makerere in Uganda. He also has had extensive involvement as a board and steering committee member of numerous geological and environmental research projects and groups. Prof. Mruma has published over thirty international publications, mainly in the fields of structural geology, precambrian geology, stratigraphy and mineral deposits. He has consulted on and authored more than twenty technical reports in the fields of resource assessments and engineering geology. He is currently a member of the Geological Society of Africa and the Tanzania Geological Society. Prof. Mruma is also a Board Member of Williamson Diamonds Limited, Diamond Mine at Mwadui. The Williamson Diamond Mine is owned by De Beers and the Government of Tanzania.

Dr. David Groves, BSc, PhD, Geology - Director of Exploration

Dr. David Groves, BSc Honours and PhD, started his career working for the Geological Survey of Tasmania. In 1972, he joined the University of Western Australia where he progressed to full Professor by 1987, teaching undergraduate classes in field and structural geology and ore genesis/economic geology. From 1987 to 2005, Dr. Groves was Director of both the Centre for Strategic Mineral Deposits and Centre for Global Metallogeny. During his academic career, he authored and co-authored over 500 papers and is widely published on Archaean evolution, the nature and genesis of komatiite-hosted Ni-Cu and orogenic gold deposits, global metallogeny and conceptual targeting of mineral deposits. He was President of the Geological Society of Australia and the Society of Economic Geologists, and is currently President-Elect of SGA (European Society of Economic Geologists). He has received nine medals for his research, including the Silver Medal of the Society of Economic Geologists and the Geological Association of Canada Medal. Dr. Groves has also been contracted as a consultant to the Geological Survey of Tanzania.

About Douglas Lake

DLKM is an emerging mineral exploration company focused on exploring and developing gold, copper, nickel, uranium, and diamond mining opportunities in Tanzania. For more information, go to www.douglaslakeminerals.com
This release contains forward-looking statements which involve risks and uncertainties. Complete forward-looking statement available at www.douglaslakeminerals.com/forwardlooking.html.
Unajua maana ya KIINI MACHO? Ndo hicho sasa.
 
Kwani TMAA wako juu ya Sheria? Serikali ilikuwa imefariki?
Kila jambo na MAJIRA yake.Ndo maana Magufuli aliingia ili APAMBANE na mambo kama haya ANAYOYAIBUA na kuyaweka wazi.
Kwnaza kutoa ripoti HADHARANI hapo nampa hongera sana. Ili kuzima MIDOMO ya wakosoaji wasio na mapenzi mema kwa nchi yao.
 
Wasilisho/posti halielezi kamati ya bomani ilisema smelter ijengwe na nani, kwa gharama gani, mwendeshaji awe nani!!!aidha unaeleza tmaa walizuru baadhi ya smelter nje ya nchi na kujifunza.....hujasema ripoti yao tmaa ilibaini nini kwamba uwekezaji ni gharama kiasi gani, uendeshaji unakuwaje, faida zake ila umesema tu kuwa walipinga taarifa ya bomani...Naona tmaa walikuwa na mwelekeo mzuri kwani hata kwenda kujifunza nje ni sehemu ya kuifanyia kazi,...nahisi labda waliona uhalisia unapingana na ripoti ya bomani.Ni mawazo tu unless otherwise ziwekwe wazi findings za safari ya tmaa
 
Back
Top Bottom