Hili ni geti ambalo lilikuwa lina pingwa vikali na wananchi wa wilaya ya kilombero hususani wakazi wa ifakara Mpaka kidatu kutokana na kutozwa ushuru wa mazao yao ya chakula ndani ya wilaya leo nimepita sijalikuta geti na kibanda walicho kuwa wanachukulia fedha za wakulia kime vunjwa kama kwa...
Jamani kiukweli ni kwamba sina uwezo wa kuingia dukani na kuulizia hizi simu naomba mwenye nayo bei ninayo laki mbili ,iwe ina uwezo wa 3g au touch screen iliyo tumika ila isiwe mbovu hii kwa watu wa dar tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.