Ukishazoea unasahau suruba zote,we hujui mtembea juani akipata pumziko kidogo kivulini husahau adha zote za jua.
Baada ya miezi tu unasahau kama ni wewe ulie kuwa unashinda kutwa nzima kwenye uzi wa ajira
Tumeumbiwa kusahau
Tunaishi na viumbe wengi sana wa ajabu ajabu,sema wakijidhihilisha ndo huwa tunaona kisanga,ila kikawaida sisi na wao tunamipaka na ndio mana ni nadra sana kuwaona kwa macho yetu ila wao kwa asilimia kubwa huwa wanatuona tu tunavyofanya vioja vyetu hapa duniani.
Vitu vya ajabu vipo sana ,nakumbuka kipindi nipo kidato cha tatu mwaka 2005 shule x maeneo ya shiyanga.
Baada ya kutoka kwenye kipindi kile cha usiku mida kama ya saa nne kasoro hivi ,kwenye mabweni kuna uwanja wa mpira wa kikapu na baada ya uwanja unavuka barabara kuna kipori fulani
Sasa...
Kuna wakati uhitaji wako inaweza isiwe kitu chochote cha thamani sana bali hata chakula tu ukipata unaweza kushukuru sana.
Niliwahi enda msibani nikala chakula kizuri nikapata na chupa moja ya maji nikaondoka, nilishukuru sana mana mlo wangu nilikuwa sijui nitaupata wapi.
Ngoma coy aka nengu nengu,wanakuwaga walaini sana watoto wa michezo coy.
Kuna jamaa angu alikimbilia nengu nengu baada ya mziki wa kombania kuwa mgumu.
Jeshini kitengo mura,ukiwa na kitengo shuruba zinakuwa chache,kama ukipata nafasi ya kujichanganya kwenye kitengo nenda,iwe ujenzi ,iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.