atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,346
- 9,483
No huwezi kusema ni hofu wakati jamaa anasema kwake kupita hapo ilikua kama torati,ni sehemu alishazoea kupita so hakua na hofu nayoHizi ishu zinatokea ila hiyo image unavyoona ni ubongo wako mwenyewe tu unakudanganya kwa vile una hofu ya kufirikia kitu fulani kwa sana...Hii inasababishwa na akili za kitoto