Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,399
- 47,803
Kunyooshana kunapaswa kuende sawa na upatikanaji wa fursa nyingine muhimu za maisha kwa raia kama elimu na biashara, udhibiti wa rushwa, upatikanaji madaraka kwa njia halali na huduma bora za kijamii. Kunyooshana tu bila haya mengine hakusaidii kitu.
Kasome history ya Japan, Wajapan hawa wamestaarabika miaka ya karibuni, ila wamenyooshana sana huko nyuma, same to SK,
Kuhusu canada kuna jamii ndio zina ustaarabu damuni,
Ila kubali kataa, kuna level ya criminal activities ikifika dawa ni kurudishana kwa Mungu tu, same to panya road hapa bongo, sema hapa huwa hatufanyi intensive sana, ila kama unakumbuka walitaka kuja, wakawahishwa kadhaa kwa Mungu pakatulia, wamerudi tena wengine wamewahishwa, unaona kuna utulivu,
Watu wengine wanakuwa wameharibika beyond repair, hao unawapiga jela maisha au unawarudisha kwa Mungu,
Et leo umpeleke veta yule Dangote wa Chuga kisha umpe 4M ajiajiri unadhani ataacha uhalifu ?