Acha unafiki mkuu hujawahi kuniheshimu niamini ila uliheshimu comment zangu,kama unaniheshimu kweli ungekuja DM unichane kuwa nimezingua kama walivyofanya wenzioUmeongea umpuuz ganj nilkuwa nakuheshimu kumbe wee Ni shoga pumbafu sana
Andika tuu hakuna jipya chini ya jua, Papa kashindwa kuacha kaamua kubariki mashoga.Yangu hadi naona aibu kuiandika😡
Pombe unaacha tena rahisi sana.Nyeto nilifanikiwa kuacha .....ila nilivyoacha nyeto jamani akaingia shetani wa wauza nyapu na pombe...aisee,yan huyo ndo amekuwa shetani mbaya sijawahi kuona,ila wauza nyapu naamini naweza kuacha,lakini pombe ndo imeshindikana kabisa yan hiyo imefika hadi kwa watume wa Jiji la dar lakini wapiiii...Ngoma ngumu,amini kuacha pombe ni kazi jamani yan sijui kwa nn!!
sawa sawa mkuu endelea kuwafokonyoa mpka wajinyeecocastic mwanangu sana hata yeye anajua hilo
Hapana aisee. JF ina umbea umbea fulani amazing. Ina mabishano yanayofikirisha. Ina upuuzi wa kipuuzi usiokwepeka..
Sasa utu uzima hauhitaji tena umbea. Hauhitaji tena upuuzi. Ndo ile unakuwa mtu mzimaa wanakuita mzee mpuuzi. Aaaghhh qumamae
Naweza kaa week bila MB, nikaishi kwa dakika na sms tu.Kukaa bila bando, heri nisile ili hiyo buku 5 niweke MB
Kama si kero kwa wengine na havikupi shida unaachaje kwa mfano.Siachi chochote!
Ndo kwanza nimezidisha kufanya vyote nivipendavyo.
Maisha mafupi mno kujinyima.
Hahaha!. Nimeujulia kwa wapuuzi. Napo si pengine ni JF.
Hapo mwishoni imethibitisha jinsi na wewe ulivyo na upuuzi usiohepukika
😂😂😂😂Hahaha!. Nimeujulia kwa wapuuzi. Napo si pengine ni JF.
Ukiongoza list ya wanaonifundisha upuuzi.
Nimeshindwa kuwacha kulala. Kila nikijitahidi niwe nakaa macho inafika muda sijijuwi nimelala saa ngapi.
Sitazami nimelala masaa ngapi au nimekaa macho masaa magapi, mwiko kabisa.Huo ndio ubinadamu wenyewe sasa. Shida kama unalala bila utaratibu muda wote. Pia haujasema unalala masaa mangapi na unalala masaa mangapi?
Sitazami nimelala masaa ngapi au nimekaa macho masaa magapi, mwiko kabisa.
AlhamduliLlah nasikilizia muda wa ibada tu, zisinipite.
Hiyo pombe lazima ushushe mzigo bila ridhaa yako ndo utamu wake.HAIFAI KABISANilipita chimbo flan linaitwa DDC,duh yan wadau wamevurugwa,ile kuagiza PINGU naona naonyeshwa ukutani kamba kama zote zimetundikwa kwenye msumari...!!!ila kwa kuwa nilishapata hints nikaelewa Somo,nikaagiza safari kubwa nikatembea tughimbe night club