Technical Analysis of the Financial Markets: A Comprehensive Guide to Trading Methods and Applications by John Murphy has been attached for interested forex traders
Hivi karibuni nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya ulimwengu wa Roho. Katika lulu ambazo nimepata kuzijua ni Mtumishi wa Mungu, Askofu Elibariki Sumbe msimamizi wa Kanisa la Vuka Yordani lililopo Ngaramtoni, Arusha. Katika zama tulizomo moja ya changamoto kubwa ni kuwatambua Watumishi wa Mungu wa...
Mkuu,
Kwa hali ilivyo mtaani jambo lolote ambalo halihusu namna ya kuwapunguzia wananchi ugumu wa maisha litakutana na ukingazi mkubwa sana maana hali halisi tuliyo nayo sasa ni "we have nothing to loos by fighting against the tyranny" watujaribu waone!
puker Kama bado hujapata utatuzi wa shida yako fika Vuka Yordani, Ngaramtoni, Arusha kwa Askofu Elibariki Sumbe. Nakuhakikishia utafunguliwa na utakuwa huru. Huduma zote za maombezi na kufunguliwa zinatolewa bure kwa ajili ya utukufu wa Mungu pekee.
Habari Wadau,
Anahitajika mtu mwenye sifa zifuatazo:
Awe na uzoefu wa kuuza pombe kali (Spirits) walau boksi 2,000 kwa mwezi
Awe mwaminifu na muadilifu
Awe tayari kufanya kazi Singida, Dodoma na Rukwa
Awe na umri kati ya miaka 25-35
Kama una sifa zilizotajwa nitumie email kupitia...
Wadau,
Poleni na kazi za kutafuta mkate wa kila leo.
Baada ya kukosa Toyota Noah ya kukodi nimeamua kujimwambafy kwa kutafuta ya kununua. Nahitaji Toyota Noah SR 40 ambayo haina zaidi ya miezi mitano (5) toka isajiliwe nchini Tanzania.
Gari iwe inatembea, isiwe na tatizo lolote, iwe na...
Keagan Paul,
Biashara siyo amri za Kijeshi, biashara ni mazungumzo. Nimetoa ofa yangu na mwenye gari akiwasiliana nami atakuja na ofa yake. Mwisho wa siku tutafikia muafaka
Gari aina ya Toyota Noah au Hiace inahitajika kwa ajili ya kusambaza vinywaji vikali Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara kwa mwezi mmoja.
Dereva ni wangu, mafuta na matengenezo ya kawaida pia ni juu yangu. Budget yangu ya kumlipa mwenye gari (mmiliki/mkodishaji) ni laki sita (TZS...
Wadau heshima kwenu.
Mbinu za kupata vyanzo vipya vya mapato kwenye Serikali ya Awamu ya Tano vinazalisha kero katika kila sekta, vinaambatana na unyanyasaji na kuongeza machungu ya maisha kwa raia wa kawaida.
Wengi wetu tutakuwa tunaifahamu na tumekutana na madhira ya "TRA" mpya yaani Jeshi...
Siku chache zilizopita, Rais wetu kipenzi alifika Sengerema kwa ziara iliyoambatana na uzinduzi wa mradi maji.
Katika hotuba na tambo za sherehe ya uzinduzi, Rais aliambiwa mradi umekamilika kwa asilimia 100. Kwa uzi huu napenda kumjulisha Mh. Rais Dr. Magufuli kuwa yamkini alizindua maji hewa...
Umeona mbali.
Binafsi nimeishapanga kuwa wiki mbili kabla ya Uchaguzi wa 2020 nahamia Kijijini na familia na nitarudi miezi miwili baada ya vulugu za Uchaguzi kuisha. 2020 Tanzania haivuki bila vifo vya watu mashuhuri na vilema vya makabwela.
Kuna dalili zote kuwa dola ndiyo itaamua...
Pongezi kwa Uongozi wa Clouds Media Group. Nasubiria sinema pale watakaponyimwa au kuwekewa masharti magumu katika kurusha vipindi vya siku ya Jumanne.
Hawa ni chotara wa kizungu na kiafrika wenye kutaga mayai yenye kiini cha Kuku sawa na wale wa kienyeji wakati broilers ni purely wa kizungu, maalum kwa ajili ya nyama na hawatagi mayai.
Tofauti nyingine ni kwamba hawa chotara wana umri wa karibu mwaka wakati broilers ni fastafasta breed...
Katika msimu huu wa Pasaka tunauza Kuku wetu wenye uzani wa mpaka 2.3Kg kwa TZS 15,000/=.
Bei hii ni pamoja na kuchinjiwa na kuletewa mpaka ulipo kwa wakazi wa Dar.
Kuku wetu ni chotara aina ya Tasso.
Wateja mnakaribishwa.
Kuwa mnafiki ndani ya JF yahitaji akili-tanashati (Smart brain). Tupitie kidogo mnakasha wa Tomito Tomato hapa Hivi kwanini Makonda anachukiwa hivi wakati anafanya kazi vizuri tu?
My sister is running a medium enterprise dealing with the production of alcoholic beverages.
She is looking for smart marketer to promote her products and acquire different types of customers around Dar and nearby regions.
No qualifications required to apply for this post but the incumbent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.