English Learner
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 355
- 355
Wadau,
Poleni na kazi za kutafuta mkate wa kila leo.
Baada ya kukosa Toyota Noah ya kukodi nimeamua kujimwambafy kwa kutafuta ya kununua. Nahitaji Toyota Noah SR 40 ambayo haina zaidi ya miezi mitano (5) toka isajiliwe nchini Tanzania.
Gari iwe inatembea, isiwe na tatizo lolote, iwe na documents zote na mawasiliano yawe ya moja kwa moja kati ya mmiliki na mnunuzi. Yaani kwa kifupi, dalali HANA nafasi. Ikitokea ikabainika kuwa aliyewasiliana nami documents hazimtambui, biashara itakufa hapo hapo.
Ikiwa unauza Toyota Noah na ni mmiliki wasiliana nami kwa namba 0735 19 77 19; email: english.learnertz@gmail.com
Asanteni na karibuni tufanye biashara.
Poleni na kazi za kutafuta mkate wa kila leo.
Baada ya kukosa Toyota Noah ya kukodi nimeamua kujimwambafy kwa kutafuta ya kununua. Nahitaji Toyota Noah SR 40 ambayo haina zaidi ya miezi mitano (5) toka isajiliwe nchini Tanzania.
Gari iwe inatembea, isiwe na tatizo lolote, iwe na documents zote na mawasiliano yawe ya moja kwa moja kati ya mmiliki na mnunuzi. Yaani kwa kifupi, dalali HANA nafasi. Ikitokea ikabainika kuwa aliyewasiliana nami documents hazimtambui, biashara itakufa hapo hapo.
Ikiwa unauza Toyota Noah na ni mmiliki wasiliana nami kwa namba 0735 19 77 19; email: english.learnertz@gmail.com
Asanteni na karibuni tufanye biashara.