English Learner
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 355
- 355
Gari aina ya Toyota Noah au Hiace inahitajika kwa ajili ya kusambaza vinywaji vikali Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara kwa mwezi mmoja.
Dereva ni wangu, mafuta na matengenezo ya kawaida pia ni juu yangu. Budget yangu ya kumlipa mwenye gari (mmiliki/mkodishaji) ni laki sita (TZS 600,000/=) kwa mwezi. Gari liwe zima na vibali vyote.
Kwa mwenye nalo awasiliane nami kwa WhatsApp/Call/SMS kupitia namba 0735 197 719
Dereva ni wangu, mafuta na matengenezo ya kawaida pia ni juu yangu. Budget yangu ya kumlipa mwenye gari (mmiliki/mkodishaji) ni laki sita (TZS 600,000/=) kwa mwezi. Gari liwe zima na vibali vyote.
Kwa mwenye nalo awasiliane nami kwa WhatsApp/Call/SMS kupitia namba 0735 197 719