TANZANIA TAJIRI, ILIYOKUMBATIA WAKWASI WACHACHE MAFUKARA WENGI.
Utangulizi: Makala hii itazungumzia mchango wa viongozi wetu juu ya kulinda rasilimali na utajiri uliomo ndani ya nchi yetu ya Tanzania. Makala hii imeandikwa kwa lengo kubwa la kukumbusha viongozi wetu juu ya wajibu wao kwa...
TIBA YA MSONGO WA MAWAZO.
Utangulizi.
Msongo wa mawazo ni hali ya mtu kuzongwa na mawazo hasi ambayo mara nyingi hupelekea matokeo mabaya Kwa muhusika hasa pale asiposaidiwa au asipojisaidia kutoka kwenye changamoto hiyo. Tatizo hili limekuwa ni jambo mtambuka Kwa kizazi chetu, na hii...
Hii ni makala inayohusu elimu, kwa sababu dhana ya elimu inasema...
."Elimu ni njia ambayo hutumiwa na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine." Kwa hiyo hayo ni maarifa ambayo nimeyafikisha kwa hadhira ili ambao walikuwa hawayafahamu wayafahamu.
TUWAFAHAMU WABANTU NA LUGHA ZAO(LUGHA ZA KIBANTU).
MFANO WA LUGHA ZA KIBANTU.
Kiswahili na lahaja zake: Tanzania, Kenya, Uganda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda, Burundi, Komori, Mayotte, Msumbiji, Somalia.
Kinyarwanda: Rwanda.
Kirundi: Burundi.
Lingala:Angola, Jamhuri ya Afrika ya...
Ni kitu kizuri....kwa ushauri wangu inabidi ujifunze na sio kumpa mtu pesa akufanyie biashara.........hapo chini nime` attach na kitabu, ambacho nami nilianzia kujifunzia Forex. kiangalie kama kitakufaa...... pia jitahidi kutafuta maarifa mengi zaidi ili kuwa vizuri.....hicho kitabu ni kama...
Ahsante mkuu kwa elimu nzuri, kupitia maandishi yako pia nimeongeza kitu kikubwa sana kwenye akili yangu, vitu vigumu umevielezea kwa lugha nyepesi yenye kueleweka.....upo vizuri. Pia kwa upande wangu bado naichimba Forex kiundani zaidi natamani siku moja niwe Forex guru.
Njia rahisi kabisa ya kufungua account ya demo, ni ku download program ya “META TRADER 4” kwenye simu yako au kwenye computer yako, na baada ya ku install programu hiyo, moja kwa moja (automatically) itakutengenezea account ya demo ambayo utaweza kufanya trading za majaribio wakati ukiendelea...
PATA MAWAZO YA BIASHARA HAPA(HASA KWA WAJASILIAMALI).
Andiko la leo, nitaongelea kuhusu biashara mbalimbali ambazo mtu mwenye mtaji uwe mkubwa au mdogo anaweza kuwekeza. Hivyo jongea katika huu ukurasa upate au uongeze maarifa juu ya biashara mbalimbali. Nitaanza kwa kuorodhesha biashara hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.