Wadau naomba msaada,
Kiukweli sipendi mpenzi wangu akizama chumvini, sababu kuu ni kuwa akishazama anataka anikiss mdomoni. Aisee najisikia vibaya, kuna wakati nilimwambia sipendi ikawa ugomvi mpaka akakata mawasilino, nikamwomba msamaha ili kujua shida ni nini? Akaniambia nambania kuzama...
Habari wana jamii, Ni takribani miaka miwili imepita tangu nimeolewa na tuna mtoto mmoja. Mume wangu huyu alifiwa na mke wake wa kwanza miaka mitano iliyopita na akamwachia watoto wawili ambao tunaishi nao pia.
Basi mimi sio mzuri sana na mtembeleaji wa social network sababu ya ubusy wa kazi...
Habari
Gari aina ya HONDA CRV inauzwa hapa jijini Mwanza. Inaingia nchini March, 2015.
Namba ya usajili ni DDM, bei ni 10m. kwa mawasiliano piga namba. 0765072213
Picha zitafuata kesho
Hi all
Najua kuna mila na desturi za kibantu ambazo huwaga zinaingiliana. Sasa nauliza hivi suala la mwanaume kupeleka posa huwaga anapeleka baada ya kumtambulisha mwanamke kwao au kabla.
Kuna couples nilishagaziona wanaanzia kwao mwanamke na kuna zingine wanaanziaga kwao mwanaume. Je...
Kristu.....
Kuuliza sio ujinga, ikitokea umeachana na mpenzi wako kisha ukapata mchumba. Je kuna ulazima wa kumjulisha x wako kuwa umepata mchumba? Let say mnaishi mikoa tofauti ambapo sio rahisi kwa yeye kupata habari zako isipokuwa kupitia kwako?
Ukishamjulisha na mipango ikaendelea...
Salaaaam wanajukwaa hili,
Awali ya yote namshukuru Maulana kwa wingi wa Rehma zake kwetu, ndio maana tumekutana tena katika jukwaa hili
Back to topic, mie hapa ni Cashier by professional. Nina boss wangu ambaye nareport kwake. In short tuko wawili tu katika office yetu. Boss huyu kiukweli...
Hi everyone!
Kwa takribani miezi minne nimekuwa nikijihudumia mwenyewe, the reason behind ni kuwa boyfriend wangu yuko busy kiasi kwamba napata penzi kwa mgao. I don't like to cheat on him, but naona kama ananilazimisha vile. Nimegundua njia mbadala, je ina madhara? Sio kwamba sitongozwi ila...
Hi guys, Jamani kuna mkaka mmoja alihamia hapa jengoni kwetu kutoka Mkoani. Huyu mkaka ni handsome aisee kwa vigezo vyangu lakini, ana features ninazozipenda. He is tall with six pack, charming, black, ukija kwenye motion ndo usiseme! Alitokea kunizoea nami nikamzoea tukawa marafiki saana almost...
Habari za jioni JF Doctor,
Mimi ni tatizo moja, nikihisi harufu kali ya perfume huwa naumwa kichwa. Je ni kawaida au nitakuwa nina tatizo la allergy??
Asanteni.
Hi all
Rafiki yangu mdada anatarajia kufunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu, na ndoa hiyo itafungwa kwao mwanaume (uhayani - Bukoba) tatizo ni kwamba huko Bukoba hana hata ndugu wa kuvuta na kamba wala rafiki.
Swali je inawezekana kufikia na kutokea hotelini?
Au anaweza kufikia hapo hapo ukweni...
Hi all,
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nipo njia panda.
Iko hivi, nina wachumba wawili. Mr. X na Mr. Y. Nilifahamiana na Mr. Y miaka mitatu iliyopita, hatukuwa marafiki ila tulikuwa ni watu tunaofahamiana tu kwamba huyu ni Mr. Y anafanya kazi somewhere na huyu ni Nyakwaratony...
Hi MMU,
Je kuna tatizo gani iwapo kaka wa bwana harusi mtarajiwa kuwa msimamizi (bestman) wa bwana harusi huyo?
Note: kaka atasimamia harusi hiyo yeye na mkewe.
Ahsanteni.
Hali zenu wanaMMU?
Miaka kadhaa iliyopita nilikuwa nafanya kazi katika Ofisi fulani hapa DODOMA alitokea baba mmoja akawa mteja wetu mzuri kiasi kwamba hawezi kumaliza siku mbili hajaja kufanya kazi zake. Hata kama hana kazi ya kufanya alipita kutusalimia. Yule baba alinipenda sana "Sio...
Gharama za chini kwa bima ya kawaida yaani
third party kwa magari ya mizigo yaani Trucks
yamepanda kutoka Tshs 100,000/- mpaka Ths
750,000/-
magari ya mafuta yaani tankers kutoka Tshs
150,000/= mpaka Tshs 1,000,000/-
GHARAMA HIZO NI KWA GARI ZOTE ZA MIZIGO
IKIWA NI PICK UP AU CANTERS AU...
Happy holidays wapendwa wana jamii forum.
Natafuta nyumba ya kupanga Jijini Mwanza.
Sifa:-
1. Iwe na vyumba vitatu vya kulala, sebule na jiko.
2. Iwe maeneo ya barabara ya Airport yaani Makongoro road.
3. Isizidi 2,500,000/=
N.B. Sihitaji dalali kwani wamenilia pesa sana...
Habari za jumapili mabibi na mabwana.....
Ningependa leo tujadiliane kuhusu LAWAMA hasa kutoka kwa wanawake. Kwa mfano, mmeo/boyfriend wako anapenda uwe unamjulisha ratiba zako. Ukitoka kazini au kwenye biashara zako utapitia wapi mpaka unapofika nyumbani lakini kwake yeye ni kinyume haweki...
Asalaam Aleikum!
Bwana Yesu asifiwe!
Nilimpenda sana kaka mmoja aliyekuwa mwalimu wangu, kumbe na yeye kwa wakati huo alikuwa ananipenda ila hakutaka kuniambia. Tuliheshimiana sana pia tulikuwa marafiki sana. Baada ya kumaliza chuo niliondoka mkoan hapo lakini nawasiliano yaliendelea, hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.