Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Habari wana jamii, Ni takribani miaka miwili imepita tangu nimeolewa na tuna mtoto mmoja. Mume wangu huyu alifiwa na mke wake wa kwanza miaka mitano iliyopita na akamwachia watoto wawili ambao tunaishi nao pia.
Basi mimi sio mzuri sana na mtembeleaji wa social network sababu ya ubusy wa kazi, lakini leo nikaona ngoja nipite pite walau niperuzi account yangu ya facebook. Mh nikapita pia kwenye account ya hubby nikakuta ameupload picha ya marehemu mke wake waliyopiga wakiwa pamoja katika hug bila kuwa na maelezo yoyote katika hiyo picha. Nimepita kama vile sijaiona na sijamuuliza chochote.
In fact hatuko kwenye condition nzuri make kuna some misunderstanding baina yetu. Ni nini mtazamo wako wewe mwanajamvi? Naomba maoni na mchango wenu. Karibuni
Basi mimi sio mzuri sana na mtembeleaji wa social network sababu ya ubusy wa kazi, lakini leo nikaona ngoja nipite pite walau niperuzi account yangu ya facebook. Mh nikapita pia kwenye account ya hubby nikakuta ameupload picha ya marehemu mke wake waliyopiga wakiwa pamoja katika hug bila kuwa na maelezo yoyote katika hiyo picha. Nimepita kama vile sijaiona na sijamuuliza chochote.
In fact hatuko kwenye condition nzuri make kuna some misunderstanding baina yetu. Ni nini mtazamo wako wewe mwanajamvi? Naomba maoni na mchango wenu. Karibuni