Natafuta nyumba Jijini Mwanza

Natafuta nyumba Jijini Mwanza

Nyakwaratony

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
573
Reaction score
140
Happy holidays wapendwa wana jamii forum.

Natafuta nyumba ya kupanga Jijini Mwanza.

Sifa:-
1. Iwe na vyumba vitatu vya kulala, sebule na jiko.

2. Iwe maeneo ya barabara ya Airport yaani Makongoro road.

3. Isizidi 2,500,000/=

N.B. Sihitaji dalali kwani wamenilia pesa sana. Wanajamii forum ni ndugu. Tumekuwa tukisaidiana pasipo malipo yeyote. Nami naomba msaada wenu.

PM zinarihusiwa.

Ahsanteni.

UPDATE

Nilisitisha zoezi la kutafuta nyumba kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Narudi tena kwenu wadau wa Jamiiforum. Je kuna nyumba inapangishwa eneo tajwa hapo juu?
 
Happy holidays wapendwa wana jamii forum.

Natafuta nyumba ya kupanga Jijini Mwanza.

Sifa:-
1. Iwe na vyumba vitatu vya kulala, sebule na jiko.

2. Iwe maeneo ya barabara ya Airport yaani Makongoro road.

3. Isizidi 2,500,000/=

N.B. Sihitaji dalali kwani wamenilia pesa sana. Wanajamii forum ni ndugu. Tumekuwa tukisaidiana pasipo malipo yeyote. Nami naomba msaada wenu.

PM zinarihusiwa.

Ahsanteni.

Kiseke PPF zipo kama una mtu Mwanza mtume akakague bei ipo chini kidogo ya hiyo ulopendekeza. kuna mtu namcheck nikimpata ntaku PM.
 
Kiseke PPF zipo kama una mtu Mwanza mtume akakague bei ipo chini kidogo ya hiyo ulopendekeza. kuna mtu namcheck nikimpata ntaku PM.

jamaa ameruhusu PM lakini weka hapa nasi tupate data
 
hiyo bei uliyoitaja ni kwa mwezi au kwa mwaka?
 
Kiseke PPF zipo kama una mtu Mwanza mtume akakague bei ipo chini kidogo ya hiyo ulopendekeza. kuna mtu namcheck nikimpata ntaku PM.
Ushauri Murua,nilitaka kumpatia kama huu.Vile vijumba vya PPF vipo Standard,ijapokua usafiri ndio challenge.Lakini kwa mimi naona kwa Mwanza ndio kunafaa.
 
Kiseke PPF zipo kama una mtu Mwanza mtume akakague bei ipo chini kidogo ya hiyo ulopendekeza. kuna mtu namcheck nikimpata ntaku PM.


Ushauri Murua,nilitaka kumpatia kama huu.Vile vijumba vya PPF vipo Standard,ijapokua usafiri ndio challenge.Lakini kwa mimi naona kwa Mwanza ndio kunafaa.
 
Ushauri Murua,nilitaka kumpatia kama huu.Vile vijumba vya PPF vipo Standard,ijapokua usafiri ndio challenge.Lakini kwa mimi naona kwa Mwanza ndio kunafaa.

Usafiri hadi 15 jan mambo yatakuwa safi, njia ya kwenda Igombe kupitia uwanja wa ndege inafungwa hivyo mabasi y Igombe yatakuwa yanapitia Kiseke PPF. Vile vijumba vipo poa, kodi ni kuanzia milion 1.5 kwa mwaka.
 
Ushauri Murua,nilitaka kumpatia kama huu.Vile vijumba vya PPF vipo Standard,ijapokua usafiri ndio challenge.Lakini kwa mimi naona kwa Mwanza ndio kunafaa.

Mkuu nashukuru kwa ushauri wako.
Nilipokuwa natafuta nyumba hapo awali nilielekezwa huku. Tatizo ni kwamba nina watoto wanaosoma maeneo ya Igoma hivyo watakuwa mbali sana. Ndio sababu nikapendekeza maeneo ya barabara ya airport.
 
Usafiri hadi 15 jan mambo yatakuwa safi, njia ya kwenda Igombe kupitia uwanja wa ndege inafungwa hivyo mabasi y Igombe yatakuwa yanapitia Kiseke PPF. Vile vijumba vipo poa, kodi ni kuanzia milion 1.5 kwa mwaka.

Habari yako ndugu Ndebile. January imepita na February pia lakini hakuna dalili ya barabara ya Kiseke kufanyiwa kazi.
 
Last edited by a moderator:
Habari yako ndugu Ndebile. January imepita na February pia lakini hakuna dalili ya barabara ya Kiseke kufanyiwa kazi.

jembe la CDM Kiwia linafanya kazi. PPF pazuri kama una gari yako, daladala mwisho saa 3 halafu za kugombania kama Mbagala
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom