Mungu alipo iumba dinia na kuwakabidhi Adam na Hawa Mali zote ktk dunia hii ili kuzitunza na kuzitawala.
Najambo kubwa zaidi aliwapa Uhuru wa kuchagua jema au baya.
Sasa kama Mungu muumbaji alitoa Uhuru wa kuchagua mini ufanye ktk dunia hii inakuaje serikali ya CCM inalazimisha tuikubali ktk...
Kama haya makato ya kwenye account za simu hayatarekebishwa mwanainchi atakuwa na hali mbaya.
Jana nilitoa tsh.9000/ badala ya kukatwa tsh.9oo/ walikata 205o
Yaani sutatumia tena hii HUDUMA mpaka walekebishe huo uharamia
Ndugu zangu habalini za wakati huu, poleni na majukum ya kulijenga taifa.
Niende moja kwa moja ktk mada tajwa hapo juu
Watanzania wengi hususani wa vijijini hawana uelewa wa haki ya kuwawajibisha viongozi wao ktk maswara ya haki zao za kikatiba zinapo shindwa kutekelezwa na viongozi walio...
Hivi ni kwanini siku hizi watu wengi hawapendi mafanikio ya MTU?
Hivi jirani au ndugu na rafiki wanachukiaje mafanikio yako na wakati mtoa riziki ni Mungu.
Hizi tabia zimekidhili sana katika jamii sasa jamani nawaomba wenye tabia za hivo wabadilike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.