Search results

  1. M

    Uhuru nini maana yake?

    Mungu alipo iumba dinia na kuwakabidhi Adam na Hawa Mali zote ktk dunia hii ili kuzitunza na kuzitawala. Najambo kubwa zaidi aliwapa Uhuru wa kuchagua jema au baya. Sasa kama Mungu muumbaji alitoa Uhuru wa kuchagua mini ufanye ktk dunia hii inakuaje serikali ya CCM inalazimisha tuikubali ktk...
  2. M

    Huzuni: Sitatumia tena huduma ya fedha kwenye simu

    Kama haya makato ya kwenye account za simu hayatarekebishwa mwanainchi atakuwa na hali mbaya. Jana nilitoa tsh.9000/ badala ya kukatwa tsh.9oo/ walikata 205o Yaani sutatumia tena hii HUDUMA mpaka walekebishe huo uharamia
  3. M

    Utafiti mdogo nilio ufanya juu ya chaguzi za viongozi na uelewa wa wanainchi juu ya haki zao za kikatiba zinavo takiwa kutekelezwa

    Ndugu zangu habalini za wakati huu, poleni na majukum ya kulijenga taifa. Niende moja kwa moja ktk mada tajwa hapo juu Watanzania wengi hususani wa vijijini hawana uelewa wa haki ya kuwawajibisha viongozi wao ktk maswara ya haki zao za kikatiba zinapo shindwa kutekelezwa na viongozi walio...
  4. M

    Kwanini watu wengi hawapendi mafanikio ya wengine?

    Hivi ni kwanini siku hizi watu wengi hawapendi mafanikio ya MTU? Hivi jirani au ndugu na rafiki wanachukiaje mafanikio yako na wakati mtoa riziki ni Mungu. Hizi tabia zimekidhili sana katika jamii sasa jamani nawaomba wenye tabia za hivo wabadilike.
  5. M

    Nimejiunga leo

    Nimefurahi kwakufanikiwa kujiunga Leo katika jukwaa hili amina
Back
Top Bottom