Habari ndugu wana jf
Baada ya kutafakari kwa muda kidogo juu ya solution ya ugomvi na kukosekana kwa maelewano katika mahusiano na ndoa leo nimekuja na mapendekezo kadhaa
Kabla ya kuanzisha mahusiano (MWANAUME)
1. Epuka tamaa za mwili, matako, shape sura zenye tension na wanawake maarufu...
Nimeumia sana baada ya kusikia hii nyimbobya nigeria ya bwana yule anayesema 'baby calm down calm down' baby wowowowoowowow alafu lolololololo kwa kweli nyimbo hii imetrend sana Tanzania
Ni lini pia mziki wetu utatrend kama hivi pasi kubana pua kiki wala kununua views.
Namkubali diamond lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.