Wasanii wetu vipi Mnakwama wapi

Nigga What

Senior Member
May 1, 2021
164
438
Nimeumia sana baada ya kusikia hii nyimbobya nigeria ya bwana yule anayesema 'baby calm down calm down' baby wowowowoowowow alafu lolololololo kwa kweli nyimbo hii imetrend sana Tanzania

Ni lini pia mziki wetu utatrend kama hivi pasi kubana pua kiki wala kununua views.

Namkubali diamond lakini sioni akitufikisha naona ameingia kwenye decline phase japo bado ni powerful ndani

Wasanii wetu shida nini
 
Another banger
Baby, calm down, calm down
Girl, this your body e put my heart for lockdown
For lockdown, oh, lockdown
Girl, you sweet like Fanta, uh-uh
Fanta, uh-uh
If I tell you say I love you
No dey form yanga, oh, yanga
No tell me no, no, no, no
Whoa, whoa, whoa, whoa
Oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh
Baby come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love
You got me like whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa
Shawty, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love, hmm
I see this fine girl, for my party, she wear yellow
Every other girl they dey do too much, but this girl mellow
Naim I dey find situation I go use take tell am hello
Finally, I find way to talk to the girl but she no wan' follow
Who you come dey form for? (uhum)
Why you no wan' conform? (uhum)
Then I start to feel her bum-bum warm (uhum)
But she dey gimme small-small one
I know say she sabi pass Don Juan (uhum)
But she feeling insecure
'Cause her friends go dey gum her like chewing gum (uhum)
Go dey gum her like chewing gum
Baby, calm down, calm down
Girl, this your body e put my heart for lockdown
For lockdown, oh, lockdown
Girl, you sweet like Fanta, uh-uh
Fanta, uh-uh
If I tell you say I love you
No dey form yanga, oh, yanga
No tell me no, no, no, no
Whoa, whoa, whoa, whoa
Oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh
Baby, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love
You got me like whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa
Shawty, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love, hmm
As I reach my house I say make I rest small (make I rest small)
As me I wake up na she dey my mind day one (na she dey my mind day one)
Day one, day two, I no fit focus (I no fit focus)
Na so me I call am, say make we link up (say make we link up)
As I start to dey tell her how I feel, all my heart dey race
Baby girl, if you leave me, I no go love again
Because e get many girls wey put my heart for pain
Shebi, you feel my pain
Baby, calm down, calm down
Girl, this your body e put my heart for lockdown
For lockdown, oh, lockdown
Girl, you sweet like Fanta, uh-uh
Fanta, uh-uh
If I tell you say I love you
No dey form yanga, oh, yanga
No tell me no, no, no, no
Whoa, whoa, whoa, whoa
Oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh
Baby, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love
You got me like whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa
Shawty, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love, hmm
 
Utadhani tupo sehemu moja mkuu, nipo sehemu nakula na umetoka kupigwa si muda. Na wanaurudia rudia.

Nadhani Nigeria kuna team ya watu smart behind musicians, movies stars hata fashion , au kwa ujumla entertainment industry.

Kurudi huku kwetu sasa, msanii atunge yeye, aimbe yeye, afanye promo yeye, creativity yeyote yeye, Ideas huisha na huzeeka. Inahitaji team ya watu kutoa kitu kizuri. Huku kwetu mtu akifanikiwa kuwa na team mfano; Diamond team nzima haipo kumsaidia bali kumsikiliza na kusema ndio mzee, kwa ujumla ni kama team ni machawa watupu wapo kumpamba msanii na si kumkosoa na kumrekebisha, Kuna muda unajiuliza hii team ilikaa kabisa ikakubaliana huu wimbo uwe released? Seriously? inamaana kila mtu kwenye team aliurate wimbo positively?

I personally don't like salaam SK's personality lakini angalau huwa namuona ni mtu bora sana kuambatana na Diamond, nadhani ni mtu pekee ambaye huwa anampa Diamond challenges (nadhani) wengine wote siwaoni wakifanya hivyo zaidi ya kuitikia ndio mzee hata kwa ideas ambazo ni mediocre.

Sijataka kuwazungumzia vipaji kama Mario, J melody na wengine ambao uchumi wao ni mdogo sana hata uwezo wa kuajiri mameneja smart wanaupata wapi? Wanaweza kutunga na kuimba vizuri ila bila team ya promo ambayo iko smart wimbo hauwezi kwenda popote utaishia mchangani tu.

My two cents! Naweza kukosolewa....
 
Kuna watu wanataka mziki wenye ujumbe na mashairi mazuri, ila huko duniani wanataka miziki mepesi kuielewa na kuishika kama lo-lo-lo........ oh oh oh oh ukigeuka huku kuna Nwantinti aaaaah aaah aaaaah aaaaah aaaah.......
Mara Buga olololo olololo buga........

Mziki wa saizi unahitaji vionjo na melody tu, mashairi mwachieni Mrisho Mpoto.
 
Utadhani tupo sehemu moja mkuu, nipo sehemu nakula na umetoka kupigwa si muda. Na wanaurudia rudia.

Nadhani Nigeria kuna team ya watu smart behind musicians, movies stars hata fashion , au kwa ujumla entertainment industry.

Kurudi huku kwetu sasa, msanii atunge yeye, aimbe yeye, afanye promo yeye, creativity yeyote yeye, Ideas huisha na huzeeka. Inahitaji team ya watu kutoa kitu kizuri. Huku kwetu mtu akifanikiwa kuwa na team mfano; Diamond team nzima haipo kumsaidia bali kumsikiliza na kusema ndio mzee, kwa ujumla ni kama team ni machawa watupu wapo kumpamba msanii na si kumkosoa na kumrekebisha, Kuna muda unajiuliza hii team ilikaa kabisa ikakubaliana huu wimbo uwe released? Seriously? inamaana kila mtu kwenye team aliurate wimbo positively?

I personally don't like salaam SK's personality lakini angalau huwa namuona ni mtu bora sana kuambatana na Diamond, nadhani ni mtu pekee ambaye huwa anampa Diamond challenges (nadhani) wengine wote siwaoni wakifanya hivyo zaidi ya kuitikia ndio mzee hata kwa ideas ambazo ni mediocre.

Sijataka kuwazungumzia vipaji kama Mario, J melody na wengine ambao uchumi wao ni mdogo sana hata uwezo wa kuajiri mameneja smart wanaupata wapi? Wanaweza kutunga na kuimba vizuri ila bila team ya promo ambayo iko smart wimbo hauwezi kwenda popote utaishia mchangani tu.

My two cents! Naweza kukosolewa....
Hicho ulichokiandika kwenye paragraph ya pili ndicho kinacho ukwamisha mziki wa Tanzania wanamziki na washikadau wote wanamabeef, kila mtu na watu wake.
 
Utadhani tupo sehemu moja mkuu, nipo sehemu nakula na umetoka kupigwa si muda. Na wanaurudia rudia.

Nadhani Nigeria kuna team ya watu smart behind musicians, movies stars hata fashion , au kwa ujumla entertainment industry.

Kurudi huku kwetu sasa, msanii atunge yeye, aimbe yeye, afanye promo yeye, creativity yeyote yeye, Ideas huisha na huzeeka. Inahitaji team ya watu kutoa kitu kizuri. Huku kwetu mtu akifanikiwa kuwa na team mfano; Diamond team nzima haipo kumsaidia bali kumsikiliza na kusema ndio mzee, kwa ujumla ni kama team ni machawa watupu wapo kumpamba msanii na si kumkosoa na kumrekebisha, Kuna muda unajiuliza hii team ilikaa kabisa ikakubaliana huu wimbo uwe released? Seriously? inamaana kila mtu kwenye team aliurate wimbo positively?

I personally don't like salaam SK's personality lakini angalau huwa namuona ni mtu bora sana kuambatana na Diamond, nadhani ni mtu pekee ambaye huwa anampa Diamond challenges (nadhani) wengine wote siwaoni wakifanya hivyo zaidi ya kuitikia ndio mzee hata kwa ideas ambazo ni mediocre.

Sijataka kuwazungumzia vipaji kama Mario, J melody na wengine ambao uchumi wao ni mdogo sana hata uwezo wa kuajiri mameneja smart wanaupata wapi? Wanaweza kutunga na kuimba vizuri ila bila team ya promo ambayo iko smart wimbo hauwezi kwenda popote utaishia mchangani tu.

My two cents! Naweza kukosolewa....

Uko sahihi mkuu
 
Kuna watu wanataka mziki wenye ujumbe na mashairi mazuri, ila huko dunia wanataka miziki mepesi kuielewa na kuishika kama lo-lo-lo........ oh oh oh oh ukigeuka huku kuna Nwantinti aaaaah aaah aaaaah aaaaah aaaah.......

Mziki wa saizi unahitaji vionjo na melody tu, mashairi mwachieni Mrisho Mpoto.

Aisee
 
Another banger
Baby, calm down, calm down
Girl, this your body e put my heart for lockdown
For lockdown, oh, lockdown
Girl, you sweet like Fanta, uh-uh
Fanta, uh-uh
If I tell you say I love you
No dey form yanga, oh, yanga
No tell me no, no, no, no
Whoa, whoa, whoa, whoa
Oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh
Baby come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love
You got me like whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa
Shawty, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love, hmm
I see this fine girl, for my party, she wear yellow
Every other girl they dey do too much, but this girl mellow
Naim I dey find situation I go use take tell am hello
Finally, I find way to talk to the girl but she no wan' follow
Who you come dey form for? (uhum)
Why you no wan' conform? (uhum)
Then I start to feel her bum-bum warm (uhum)
But she dey gimme small-small one
I know say she sabi pass Don Juan (uhum)
But she feeling insecure
'Cause her friends go dey gum her like chewing gum (uhum)
Go dey gum her like chewing gum
Baby, calm down, calm down
Girl, this your body e put my heart for lockdown
For lockdown, oh, lockdown
Girl, you sweet like Fanta, uh-uh
Fanta, uh-uh
If I tell you say I love you
No dey form yanga, oh, yanga
No tell me no, no, no, no
Whoa, whoa, whoa, whoa
Oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh
Baby, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love
You got me like whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa
Shawty, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love, hmm
As I reach my house I say make I rest small (make I rest small)
As me I wake up na she dey my mind day one (na she dey my mind day one)
Day one, day two, I no fit focus (I no fit focus)
Na so me I call am, say make we link up (say make we link up)
As I start to dey tell her how I feel, all my heart dey race
Baby girl, if you leave me, I no go love again
Because e get many girls wey put my heart for pain
Shebi, you feel my pain
Baby, calm down, calm down
Girl, this your body e put my heart for lockdown
For lockdown, oh, lockdown
Girl, you sweet like Fanta, uh-uh
Fanta, uh-uh
If I tell you say I love you
No dey form yanga, oh, yanga
No tell me no, no, no, no
Whoa, whoa, whoa, whoa
Oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh-oh
Baby, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love
You got me like whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa-whoa
Shawty, come gimme your lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-lo-love, hmm
Noma
 
Nimeumia sana baada ya kusikia hii nyimbobya nigeria ya bwana yule anayesema 'baby calm down calm down' baby wowowowoowowow alafu lolololololo kwa kweli nyimbo hii imetrend sana Tanzania

Ni lini pia mziki wetu utatrend kama hivi pasi kubana pua kiki wala kununua views.

Namkubali diamond lakini sioni akitufikisha naona ameingia kwenye decline phase japo bado ni powerful ndani

Wasanii wetu shida nini
nyimbobya ni nani mkuu? Nisaidie nimjue maana mi nmezoea kumskiliza Mo Myuziki
 
Nimeumia sana baada ya kusikia hii nyimbobya nigeria ya bwana yule anayesema 'baby calm down calm down' baby wowowowoowowow alafu lolololololo kwa kweli nyimbo hii imetrend sana Tanzania

Ni lini pia mziki wetu utatrend kama hivi pasi kubana pua kiki wala kununua views.

Namkubali diamond lakini sioni akitufikisha naona ameingia kwenye decline phase japo bado ni powerful ndani

Wasanii wetu shida nini
Sa hivi wanigeria wana kengine kana trend balaa kanaitwa "lemme see go lololoo lemme see go lololoo BUGAOOOOOO"
 
Nimeumia sana baada ya kusikia hii nyimbobya nigeria ya bwana yule anayesema 'baby calm down calm down' baby wowowowoowowow alafu lolololololo kwa kweli nyimbo hii imetrend sana Tanzania

Ni lini pia mziki wetu utatrend kama hivi pasi kubana pua kiki wala kununua views.

Namkubali diamond lakini sioni akitufikisha naona ameingia kwenye decline phase japo bado ni powerful ndani

Wasanii wetu shida nini
Bongo fleva ni mziki wa kijinga tu na ndiyo maana hauvumi
 
Nimeumia sana baada ya kusikia hii nyimbobya nigeria ya bwana yule anayesema 'baby calm down calm down' baby wowowowoowowow alafu lolololololo kwa kweli nyimbo hii imetrend sana Tanzania

Ni lini pia mziki wetu utatrend kama hivi pasi kubana pua kiki wala kununua views.

Namkubali diamond lakini sioni akitufikisha naona ameingia kwenye decline phase japo bado ni powerful ndani

Wasanii wetu shida nini
Vipi wewe kama wewe una nini cha kujivunia zaidi ya kulalamikia wengine?

Stupid fish
 
Nimeumia sana baada ya kusikia hii nyimbobya nigeria ya bwana yule anayesema 'baby calm down calm down' baby wowowowoowowow alafu lolololololo kwa kweli nyimbo hii imetrend sana Tanzania

Ni lini pia mziki wetu utatrend kama hivi pasi kubana pua kiki wala kununua views.

Namkubali diamond lakini sioni akitufikisha naona ameingia kwenye decline phase japo bado ni powerful ndani

Wasanii wetu shida nini
Kabisa, bila Kiki Wala kugombana Wala kumzalilisha mtu, wanapenya wenzetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom