Search results

  1. Iheanacho

    Ushuhuda wangu: Nilivyotembea na wake za watu

    Habarini wana jamvi. Kwa kifupi mi ni mzaliwa wa mkoa wa Mwanza ila tangu mwaka 2000 nilianzisha makazi yangu ya kudumu mkoani Mara. Kwa sasa nina miaka isiyopungua 40. Nafanya shughuli zangu binafsi na shughuli yangu ni aina ya biashara ambayo wateja wake wengi ni wanawake. (Kuuza vitenge...
  2. Iheanacho

    USHUHUDA WANGU: Nilivyotembea na wake za watu vol 1

    Habarini wana jamvi... Kwa kifupi mimi ni mzaliwa wa mkoa wa Mwanza ila tangu mwaka 2000 nilianzisha makazi yangu ya kudumu mkoani Mara. Kwa sasa nina miaka isiyopungua 40. Nafanya shughuli zangu binafsi na shughuli yangu ni aina ya biashara ambayo wateja wake wengi ni wanawake. (Kuuza...
  3. Iheanacho

    Muumini akiwa ofisini kwa Pastor Masanja Mkandamizaji

    Hapa kimasihara si ni kufikia tu?
  4. Iheanacho

    Mwezi jana nilitembea na ndugu wa mke wangu ambaye pia kaolewa, alikuwa analipiza kisasi kwa mke wangu

    Habarini wana jamvi. .. Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife...
  5. Iheanacho

    Mimi leo naitwa Mganga wa Kienyeji

    Kuna dada nimevunja naye mahusiano ya kimapenzi ila naye kaamua kulipiza kisasi kwa kuchapisha mabango na kuweka namba yangu ya simu kwa chini akisema ni mganga toka Sumbawanga anayetibu nguvu za kiume na kuangamiza wachawi. Nifanyeje?
Back
Top Bottom