Na Humphrey Shao, Msakuzi, Dar es Salaam
Ikiwa imepita mwezi mmoja tangu Watanzania waweze kumpa ridhaa ya kuongoza tena kwa miaka mitano tena hapa nchini huku mambo yakiwa ni tofauti kwa Rais Donald Trump wa Marekani ambaye wananchi awajampa ridhaa ya kuwa kiongozi kwa awamu ya pili.
Rais...
Tarehe 31 Oktoba tumeshuhudia kuitishwa kikao cha waliokosa nafasi mbalimbali za ubunge na urais ili kutangaza kufanya maandamano siku ya tarehe 2/11/2020. Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995, vyama vya upinzani havijawahi kukubaliana na matokeo katika kila sehemu...
Tukirejea katika Bunge lililopita, laiti vyama vya Upinzani vingekuwa na Wabunge wengi, huenda wangefanikiwa kuishinikiza Serikali ifanye "lockdown" jambo ambalo kama ilivyotokea kwa nchi jirani lingepelekea mateso makubwa kwa mamilioni ya wananchi. Kwa kuzingatia ukweli kuwa uchaguzi huu...
Na Mwandishi Wetu
Mchawi wa upinzani Tanzania ni upinzani wenyewe. Viongozi wa upinzani hawawezi kukwepa kuwajibika kwa matokeo haya na kutafuta visingizio ikiwemo uchaguzi kuhujumiwa.
Isitoshe, Katiba na Sheria zetu za Uchaguzi zinatoa fursa kwa wagombea wa vyama vilivyoshindwa kufungua kesi...
Wananchi wameupuuza uongo ulioratibiwa na Halima Mdee na genge lake
Katika hali isiyo ya kawaida mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chadema, Halima Mdee alijaribu kutengeneza taharuki kwa kushirikiana na vijana wa Chadema ambapo walichukua fomu ya mfano ya kupigia kura ambazo...
Katika hali inayoonekana kuelekea kushindwa kwa mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chadema, Halima Mdee wafuasi wa chama hicho wamejitengenezea karatasi za kupigia kura zilizotiwa alama ya vema kwa wagombea CCM na kudai eti wamekamata kura hizo za wizi.
Katika video hiyo ya uzushi...
IKIWA imebaki siku moja Uchaguzi Mkuu ufanyike, Jumuiya ya wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na madereva pikipiki ‘bodaboda’ nchini, wametoa msimamo wao kuwa watampigia kura mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli.
Wamesema hatua hiyo inatokana na mgombea huyo kubeba agenda...
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mgombea urais Wa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mgombea wa Chadema, Tundu Lissu.
Magufuli kiuhalisia ni mcha Mungu na amekuwa akionekana kanisani kila Jumapili pale Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es Salaam na wakati mwingine popote...
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo.
Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.
Aikuathiri how wakati Kenya wamekopa Dola Bilioni 2.4 ambazo ni sawa na Trilioni 6 za kitanzania kwa sababu ya kupambana na Corona sasa uoni fedha yote hiyo ingetosha kutengeneza barabara kuu nchi nzima
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.
Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.