Hivi Lissu ana dini kweli?

Kanisani huwa anaenda kufanya nini kama anaamini Mungu hawezi kusikiliza maombi yetu?
Kwani yeye isingekuwa Mungu kumponya leo hii angekuwa hai?

Sisi Wakatoliki ( Lissu akiwemo) katika kila misa baada ya mahubiri na kurudia kukiri imani yetu hufuata maombi ambapo waamini humuomba Mungu mambo mbalimbali ikiwemo kutuponya na magonjwa na majanga mbalimbali nk. Sasa yeye inaonyesha kuna mambo hakubaliani nayo. Mimi nadhani pengine aliishaacha kwenda kanisani ila sababu ya uchaguzi imebidi aende kanisani kama geresha ili wakristo wasimstukie; baada ya uchaguzi ataacha kwenda. Ni kama vile huko nyuma alipokuwa anamtukana Nyerere lakini kwa ajili ya kugombea urais akaanza kumsifia Nyerere ili watanzania wampe kura.

Watanzania wakiingia mkenge wampe kura watajuta.
Magufuli ni mkristo, Mkatoliki kanisani anaenda kufanya ni nini na damu za watu aliso mwaga?
 
Tangu Lisu aweke nguvu katika kuwapambania wapenzi wa jinsia mmoja nikajua Lisu anashida kichwani Ila sikutegemea kwamba anaweza kukufuru kwa kiwango hicho.
Mawazo mgando hayo!! Kipindi kile Bashite alipoanzisha zoezi lake la kuwakamata mashoga!! Serikali mbona iliwajibu hao mabeberu, kuwa ule ulikuwa sio msimamo wa serikali, na zoezi likaishia pale pale?!!!
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.
Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.
Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na ana muda wa kuhangaika na wajinga.
“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.
Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”
Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”
Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.
Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.View attachment 1611348

Huwezi muelewa ukiwa CCM
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.
Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.
Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na ana muda wa kuhangaika na wajinga.
“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.
Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”
Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”
Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.
Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.View attachment 1611348
Kanisani huwa anaenda kufanya nini kama anaamini Mungu hawezi kusikiliza maombi yetu?
Kwani yeye isingekuwa Mungu kumponya leo hii angekuwa hai?

Sisi Wakatoliki ( Lissu akiwemo) katika kila misa baada ya mahubiri na kurudia kukiri imani yetu hufuata maombi ambapo waamini humuomba Mungu mambo mbalimbali ikiwemo kutuponya na magonjwa na majanga mbalimbali nk. Sasa yeye inaonyesha kuna mambo hakubaliani nayo. Mimi nadhani pengine aliishaacha kwenda kanisani ila sababu ya uchaguzi imebidi aende kanisani kama geresha ili wakristo wasimstukie; baada ya uchaguzi ataacha kwenda. Ni kama vile huko nyuma alipokuwa anamtukana Nyerere lakini kwa ajili ya kugombea urais akaanza kumsifia Nyerere ili watanzania wampe kura.

Watanzania wakiingia mkenge wampe kura watajuta.
Lissu yupo sahihi... Mungu alitupa akili tuzitumue kupambana na mazingira ... huwezi kujikunyata eti unaomba Mungu akuponye ....hivi Mataifa wanaokufa kwa Korona wao hawana Mungu, au Mungu hawapendi.... Kama hatupimi CORONA, Ni wangapi wanakufa, wangapi wanaugua..... na nani anathubutu kuitangaza!

Hivi Kama Kenya watu wanaugua, sisi tuna Kinga ngani!?
 
Hakika nimeamini Lissu December anarudi belgium kutubiwa
 
Kura za ubunge na uraisi zitasafirishwa kwenda kuhesabiwa jimboni, hazitahesabiwa kwenye vituo vya kupigia kura


Kura za udiwani zitasafirishwa kwenda kuhesabiwa makao makuu ya kata (katani)

Wapinzani hampati kitu.

Kuweni makini
Kwa Nini unasema hakuna kitu, unaamini CCM wataiba kura?
 
Mawazo mgando hayo!! Kipindi kile bashite alipoanzisha zoezi lake la kuwakamata mashoga!! Serikali mbona iliwajibu hao mabeberu, kuwa ule ulikuwa sio msimamo wa serikali, na zoezi likaishia pale pale?!!!
Si unaona wamehukumiwa mashoga waliokamatwa sasa uoninkama serikali ipo kazini
 
Katika uchaguzi huu ni lazima watu waiite maji "ma" spana za Tundu Lissu si za mchezo.
Katika uchaguzi huu ni lazima watu waiite maji "ma" spana za Tundu Lissu si za mchezo.
Inawezekana kwa kuwa huyo Lissu Kibaraka wa mabeberu na msaliti kwa nchi yake ni laghai, mwongo na asiyejua kitu..Leo anasema hivi na kesho anasema kile..hawezi kushinda uchaguzi huu..ataanguka vibaya, na huu ndio utakuwa mwisho wake...
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.
Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.
Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na ana muda wa kuhangaika na wajinga.
“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.
Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”
Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”
Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.
Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.View attachment 1611348
Ni ujinga wa hali ya juu kusema imendoka Tanzania kwa sababu ya kusali. Na ni ujinga wa hali ya juu kufikiri Mungu anaweza kuchezewa na mtu mwenye tuhuma za mauaji kama Magufuli.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini.
Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani na misikitini kuombea corona huku akiwaita ni wajinga.
Lissu ametoa kauli hizo tata zinazozidi kutoa tafakari ya afya yake ya akili akihojiwa na Radio Maisha ambapo amesema Mungu kwamba hawezi kuponya magonjwa na ana muda wa kuhangaika na wajinga.
“Kama alivyosema rais mwenyewe hii kitu dawa yake ni kwenda msikitini na makanisani kuomba Mungu, katika karne ya 21 rais anayesema ana PHD katika Kemia kuamini kwenye mambo kwamba unaweza kutibu ugonjwa kwa maombi ya Mungu,” amesema Lissu.
Mtangazaji wa kipindi hicho alimuuliza Lissu; “Kwa hiyo hujapendezwa kabisa kwa namna rais anavyoshughulika na hii ishu ya covid19 pale nchini?”
Lissu akajibu: “Mungu ana mambo mengi sana hana muda wa kuhangaika na wajinga.”
Kauli hii ya Lissu inaacha maswali kwamba je; ana dini? Kama kweli angekuwa na dini basi angekuwa na hofu ya Mungu.
Lissu anasahau kama ni Mungu amemponya na kumfikisha hapo alipo leo badala yake alianza kutukana watu kama vile haitoshi amehamia kwa muumba na watumishi wa wake.View attachment 1611348
Mimi ni mwamini sana wa uwezo wa Mungu katika kutenda miujiza, lakini sitaki watu wanzushie Mungu, yasiyomhusu, Mungu hahitaji kusaidiwa au kupigiwa chapuo na mwanadamu, uwezo wake unatosha. Hali ya corona Tz haitofautiani na Malawi, Msumbiji, Congo, Uganda,nk. Tulichofanya sisi Tz ni kuamua kutohesabu maambukizi, basi. Na jambo hili ni upuuzi mkubwa kwani takwimu za walioambukizwa hazipo. Mataifa mengine yana takwimu na takwimu hizi ni muhimu katika kujifunza namna za magonjwa. Hapa kwetu ameamua kutohesabu wagonjwa halafu anasema Mungu ameondoa corona, upuuuzi mkubwa!
 
Lissu yupo sahihi...Mungu alitupa akili tuzitumue kupambana na mazingira ....huwezi kujikunyata eti unaomba Mungu akuponye ....hivi Mataifa wanaokufa kwa Korona wao hawana Mungu,au Mungu hawapendi
....Kama hatupimi KORONA,Ni wangapi wanakufa,wangapi wanaugua.....na Nani anathubutu kuitangaza!
Hivi Kama Kenya watu wanaugua ,sisi tuna Kinga ngani!?
Sasa mbona yeye Lissu hatumuoni kuvaa mask na anashikana mikono na watu hovyo tu kwa kifupi hana hofu na corona,sasa ushamuuliza huo ujasili wa kutofuata taratibu za kujikinga na corona anaupata wapi wakati hapo Kenya watu wanaumwa?
 
Raisi ajaye!.
corona haikuiathiri afrika kwa sababu za kijografia siyo Tanzania tu. Nchi nyingi za afrika hazikuathirika,
tumuache Mungu apumzike
Aikuathiri how wakati Kenya wamekopa Dola Bilioni 2.4 ambazo ni sawa na Trilioni 6 za kitanzania kwa sababu ya kupambana na Corona sasa uoni fedha yote hiyo ingetosha kutengeneza barabara kuu nchi nzima
 
yeye na wafuasi wake wote ni wagonjwa wa akili na tuliishakubalina hilo.

anakubali kwamba alipona kwa uwezo wa Mungu baada ya shambulio thidi yake la risasi 18,ila anapinga uwezo wa Mungu juu ya kuponya corona.

na wafuasi wake wanamsikiliza na kushangilia.
Kwani wewe siyo mjinga zaidi? Mungu ndiyo alikutuma kwenda kumpiga risasi?
 
Usilopoke Magufuli ni Mtu safi in Mwana FA Voice Alhabib mtu wa peponi
Mtu safi ndiyo hujenga Chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Mtu safi ndiyo hupita trilion 1.5 kisha kumtoa CAG kafara? Mtu safi ndiyo hubariki Ndungai kupiga bilion 12 akiwa India peke yake? Mtu safi ndiyo huwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom