Babu la Bara
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 529
- 575
Bonge la mistake wamelifanya. Wasingechoma moto badala yake wangewapa wabunge wa upinzani wazitumie kama ushahidi hapo baadae.
Kuzichoma moto ni dalili ya kutengenezwa hili tukio ili kuwachafua baadhi ya watu. Kama hizi ni karatasi halisi za NEC, lazima zitakuwa na alama muhimu zisizo gushiwa za nec, hivyo watenezaji wa karatasi hizo wanaogopa wakienda kwa mahakama zikijulikana kuwa feki, kesi itawageukia ndio maana wameamua kuzichoma badala ya kuziweka kama ushahidi.
Hivi zitu ukiwa na akili ya ushabiki huwezi kuyoa haki. Watu ni mabingwa wa kutengeneza matukio kama lile la faru john kule dodoma.
Kuzichoma moto ni dalili ya kutengenezwa hili tukio ili kuwachafua baadhi ya watu. Kama hizi ni karatasi halisi za NEC, lazima zitakuwa na alama muhimu zisizo gushiwa za nec, hivyo watenezaji wa karatasi hizo wanaogopa wakienda kwa mahakama zikijulikana kuwa feki, kesi itawageukia ndio maana wameamua kuzichoma badala ya kuziweka kama ushahidi.
Hivi zitu ukiwa na akili ya ushabiki huwezi kuyoa haki. Watu ni mabingwa wa kutengeneza matukio kama lile la faru john kule dodoma.