ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 732
Kazi nachapa mkuu bila shaka umeona #NItaandamanaKamanda chapa kazi
Basi kesho kazi ipo, nishagusa mabomu ya machozi chaguzi zote zilizopita, nishajiandaa kiakili this time.
Kazi nachapa mkuu bila shaka umeona #NItaandamanaKamanda chapa kazi
Kazi nachapa mkuu bila shaka umeona #NItaandamana
Basi kesho kazi ipo, nishagusa mabomu ya machozi chaguzi zote zilizopita, nishajiandaa kiakili this time.
Lockdown na wizi wa kura vina uhusiano gani? Njaa mbaya Sana!!Serikali ifanye "lockdown"
HOVYOOOOOO, PUMBVU WEWEEELockdown na wizi wa kura vina uhusiano gani? Njaa mbaya Sana!!
Kama huyo anayesifiwa kutokuweka lockdown aliwafurahisha watanzania, kwann kaamua kujipigia kura feki??
Angeacha sanduku la kura liamue aone.
Acha matusi jenga hoja hapa siyo facebook. Nitakupiga ban upotee maisha humu. Unanijua mm ni nani?HOVYOOOOOO, PUMBVU WEWEEE
Sio vipindi viwili vya miaka mitano-mitano tena?MAGUFULI4LIFE.
Huyu jamaaa alishawahi kufumaniwa na Mke wa askari magereza maeneo ya Picha ya ndege kibaha wakampiga mtungoTukirejea katika Bunge lililopita, laiti vyama vya Upinzani vingekuwa na Wabunge wengi, huenda wangefanikiwa kuishinikiza Serikali ifanye "lockdown" jambo ambalo kama ilivyotokea kwa nchi jirani lingepelekea mateso makubwa kwa mamilioni ya wananchi. Kwa kuzingatia ukweli kuwa uchaguzi huu umefanyika katika mazingira ya COVID 19 duniani, haikwepeki kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa ni kipimo cha uongozi.
Kama inavyoeleweka, nyakati za majaribu ni nyakati za uongozi. Watu ama hubadilisha uongozi kwa kutafuta jemadari mpya, ama huwekeza imani zaidi kwa jemadari aliyepo anayefanya vizuri.
Watanzania wameling'amua hilo-na wamejibu katika sanduku la kura kuizawadia CCM ushindi wa kishindo. Haishangazi pia kuwa Serikali zilizoshindwa kuendesha mapambano haya kwa ufanisi- zimeadhibiwa na wapiga kura. Siku chache zijazo tutaona yatakayotokea katika uchaguzi wa Marekani. Laiti Kenya ingefanya uchaguzi mwaka huu, Rais Uhuru Kenyatta na Chama chake Jubilee wangeanguka vibaya sana.View attachment 1617270
Lockdown ni uwizi wa kura na kujitangaza mshindi,hatujawahi kuona kura zinatapakaa vituoni kwenye vikapu,mikoba,mabegi...kura ni mali ya ccm yani nec zote walizikabidhi ccm.Mchange njaa inamsumbua sana huyu jamaa. Hanaga msimamo. Alipoondoka ACT alitangaza hadharani kwamba hataki kujihusisha na siasa, lkn njaa inamtesa.
Hana mbele wala nyuma, analazimika kuwa malaya wa kisiasa.
Tukirejea katika Bunge lililopita, laiti vyama vya Upinzani vingekuwa na Wabunge wengi, huenda wangefanikiwa kuishinikiza Serikali ifanye "lockdown" jambo ambalo kama ilivyotokea kwa nchi jirani lingepelekea mateso makubwa kwa mamilioni ya wananchi. Kwa kuzingatia ukweli kuwa uchaguzi huu umefanyika katika mazingira ya COVID 19 duniani, haikwepeki kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa ni kipimo cha uongozi.
Kama inavyoeleweka, nyakati za majaribu ni nyakati za uongozi. Watu ama hubadilisha uongozi kwa kutafuta jemadari mpya, ama huwekeza imani zaidi kwa jemadari aliyepo anayefanya vizuri.
Watanzania wameling'amua hilo-na wamejibu katika sanduku la kura kuizawadia CCM ushindi wa kishindo. Haishangazi pia kuwa Serikali zilizoshindwa kuendesha mapambano haya kwa ufanisi- zimeadhibiwa na wapiga kura. Siku chache zijazo tutaona yatakayotokea katika uchaguzi wa Marekani. Laiti Kenya ingefanya uchaguzi mwaka huu, Rais Uhuru Kenyatta na Chama chake Jubilee wangeanguka vibaya sana.View attachment 1617270
Magufuli alipoanzisha Teuzi kwa sifa za kuwa Mpumbavu, wasomi wengi wasaka ulaji kwa JPM hapa Tanzania wanaigiza kuwa Wapumbavu kama Habibu Mchange.Wakuu
Nimebahatika kuangalia video clip kuhusu kinachoendelea katika harakati za uchaguzi
Leo Habibu Mchange, Abdallah Mtolea na wenzao wamefanya press conference.
Katika machache niliyoyanyaka ni pamoja na haya niliyoweka katika VIDEO
View attachment 1617272
View attachment 1617271
Mtandao bado unasumbua na video inakata mno ila nataka nizungumzie kuhusu lockdown.Tukirejea katika Bunge lililopita, laiti vyama vya Upinzani vingekuwa na Wabunge wengi, huenda wangefanikiwa kuishinikiza Serikali ifanye "lockdown" jambo ambalo kama ilivyotokea kwa nchi jirani lingepelekea mateso makubwa kwa mamilioni ya wananchi. Kwa kuzingatia ukweli kuwa uchaguzi huu umefanyika katika mazingira ya COVID 19 duniani, haikwepeki kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa ni kipimo cha uongozi.
Kama inavyoeleweka, nyakati za majaribu ni nyakati za uongozi. Watu ama hubadilisha uongozi kwa kutafuta jemadari mpya, ama huwekeza imani zaidi kwa jemadari aliyepo anayefanya vizuri.
Watanzania wameling'amua hilo-na wamejibu katika sanduku la kura kuizawadia CCM ushindi wa kishindo. Haishangazi pia kuwa Serikali zilizoshindwa kuendesha mapambano haya kwa ufanisi- zimeadhibiwa na wapiga kura. Siku chache zijazo tutaona yatakayotokea katika uchaguzi wa Marekani. Laiti Kenya ingefanya uchaguzi mwaka huu, Rais Uhuru Kenyatta na Chama chake Jubilee wangeanguka vibaya sana.View attachment 1617270