Hii kitu tayari imeshakuwa japo kwa asilimia kubwa inawaumiza wananchi walio wengi ishu yangu ndogo tu hapa vipi zanzibar itapewa pesa hii itajayopatikana katika kodi hii ya uzalendo maana na wao pia wamo katika watakaokatwa hizo pesa,
Je, watalipwa kutokana na kiwango watakao tumia hii hiduma...
Siku nyingi zimeshapita tangu kutokea tukio la kusikitisha kule Soweto Arusha, linalohusiana na kurushwa kwa bomu katika mkutano wa hadhara wa Chadema. Lengo langu sio kukumbushia machungu kwa wale waliopata hapana lengo ni kukumbusha ule ushahidi wa mh, Mbowe aliosema anao, naona siku zinasonga...
Ni chama kikuu Tz lakini nashangaa nguvu zake zaidi kaelekaza Tanzania bara tena katika mikoa ya kaskazini vipi kuhusu Z'bar hamna haja na urais 2015 kwani CCM na CUF hazina mvuto tena, sera zao zimepitwa na wakati hasa CCM juu ya sera zake za muungano
Hili lazima tuseme hatupingi kama wanafunzi hawakufanya udanganyifu hilo lipo na nivigumu kwa mwanafunzi kupata majibu asijibu hilo tatizo kila mwaka linatokea kuvuja mitihani inategemea kiwango tu kweli mwaka huu z'bar lilikithiri hilo jambo lakini kuwafutia matokeo sio sawa lamuhimu kufutwa...
Nafatilia sana habari iwe tv, mablogs, magazeti, radio na hata kwenye mitandao ya kijamii huwa najiuliza mbona wapenzi wa chadema utakapozungumza maovu ya chama au viongozi wao huwa wakali na hawautaki ukweli hivi wanafikiria chama chao ni malaika hakina kasoro
Nimekaa na mchumba wangu tukipiga stori za hapa na pale katika mazungumzo alikusudia kutaja jina langu lakini akataja jina la mwanaume mwengine mwenyewe akajishitukia na kuniomba radhi kwa mtazamo wangu hana mapenzi na mimi iweje anite jina la mwengine kiukweli na wacwac nae na kutaka kughaira...
Nimebahatika kupata mchumba nadiriki kusema tunapendana ila kunatatizo linamsumbua mchumba wangu huwa baadhi ya usiku huingiliwa usingizini na akiamka huwa na dalili zote za kufanya ngono tena hapo huanza kunichukia mimi bila sababu kwa muda kama usiku tatu na baadhi ya siku kunambia hanitaki...
Kunajamaa anatoka mbali sana na mji akaja kutembea mjini mwenyeji wake akanunua vocha na kumpa amtilie kwenye cm yeye akishughulika na mambo mengine baada ya muda anarudishiwa cm na vocha na kuambia cjaona tundu ya kulia hichi kikaratac chako
Hii ni kweli kwa ufupi tu ninae rafiki yangu tulisoma pamoja na mungu akajaalia hata kazini tupo pamoja mwenzangu amebahatika kuwa mimi nilikua mpambe wake ktk haruc ila hivi sasa mkewe anaonesha ishara za kunitaka hata messege za mapenzi baadhi ya cku ananirushia na kumwambia mumewe cwezi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.