Search results

  1. Isalia213

    Kivipi Zanzibar itapata pesa zake katika hili ongezeko la kodi la miamala ya simu?

    Hii kitu tayari imeshakuwa japo kwa asilimia kubwa inawaumiza wananchi walio wengi ishu yangu ndogo tu hapa vipi zanzibar itapewa pesa hii itajayopatikana katika kodi hii ya uzalendo maana na wao pia wamo katika watakaokatwa hizo pesa, Je, watalipwa kutokana na kiwango watakao tumia hii hiduma...
  2. Isalia213

    Ukiuja huu

    Nani kapatikana hapo
  3. Isalia213

    Ushahidi Soweto Mh, Mbowe hadi lini?

    Siku nyingi zimeshapita tangu kutokea tukio la kusikitisha kule Soweto Arusha, linalohusiana na kurushwa kwa bomu katika mkutano wa hadhara wa Chadema. Lengo langu sio kukumbushia machungu kwa wale waliopata hapana lengo ni kukumbusha ule ushahidi wa mh, Mbowe aliosema anao, naona siku zinasonga...
  4. Isalia213

    CHADEMA zikowapi nguvu z'bar

    Ni chama kikuu Tz lakini nashangaa nguvu zake zaidi kaelekaza Tanzania bara tena katika mikoa ya kaskazini vipi kuhusu Z'bar hamna haja na urais 2015 kwani CCM na CUF hazina mvuto tena, sera zao zimepitwa na wakati hasa CCM juu ya sera zake za muungano
  5. Isalia213

    Ikitokea kwao wanarudia mitihani imetokea kwetu wamefuta matokeo

    Hili lazima tuseme hatupingi kama wanafunzi hawakufanya udanganyifu hilo lipo na nivigumu kwa mwanafunzi kupata majibu asijibu hilo tatizo kila mwaka linatokea kuvuja mitihani inategemea kiwango tu kweli mwaka huu z'bar lilikithiri hilo jambo lakini kuwafutia matokeo sio sawa lamuhimu kufutwa...
  6. Isalia213

    Kwanini CHADEMA wakitajiwa maovu yao huwa wakali (wanao kishabikia)?

    Nafatilia sana habari iwe tv, mablogs, magazeti, radio na hata kwenye mitandao ya kijamii huwa najiuliza mbona wapenzi wa chadema utakapozungumza maovu ya chama au viongozi wao huwa wakali na hawautaki ukweli hivi wanafikiria chama chao ni malaika hakina kasoro
  7. Isalia213

    Kweli hapana pana penzi au nighairishe

    Nimekaa na mchumba wangu tukipiga stori za hapa na pale katika mazungumzo alikusudia kutaja jina langu lakini akataja jina la mwanaume mwengine mwenyewe akajishitukia na kuniomba radhi kwa mtazamo wangu hana mapenzi na mimi iweje anite jina la mwengine kiukweli na wacwac nae na kutaka kughaira...
  8. Isalia213

    Mchumba wangu ana jini mahaba

    Nimebahatika kupata mchumba nadiriki kusema tunapendana ila kunatatizo linamsumbua mchumba wangu huwa baadhi ya usiku huingiliwa usingizini na akiamka huwa na dalili zote za kufanya ngono tena hapo huanza kunichukia mimi bila sababu kwa muda kama usiku tatu na baadhi ya siku kunambia hanitaki...
  9. Isalia213

    Hii ni kweli yanatokea

    Jamani hivi ni kweli mmo ndani ya ndoa lakini ukimtaka mkeo kimwili uanze kumtongoza kama vile hamjawahi kuonana ingawa mnalala kitanda kimoja
  10. Isalia213

    Sijapaona pakutia vocha

    Kunajamaa anatoka mbali sana na mji akaja kutembea mjini mwenyeji wake akanunua vocha na kumpa amtilie kwenye cm yeye akishughulika na mambo mengine baada ya muda anarudishiwa cm na vocha na kuambia cjaona tundu ya kulia hichi kikaratac chako
  11. Isalia213

    Mke wa rafiki yangu ananitaka

    Hii ni kweli kwa ufupi tu ninae rafiki yangu tulisoma pamoja na mungu akajaalia hata kazini tupo pamoja mwenzangu amebahatika kuwa mimi nilikua mpambe wake ktk haruc ila hivi sasa mkewe anaonesha ishara za kunitaka hata messege za mapenzi baadhi ya cku ananirushia na kumwambia mumewe cwezi na...
Back
Top Bottom