Sijapaona pakutia vocha

Isalia213

JF-Expert Member
Nov 3, 2011
1,197
431
Kunajamaa anatoka mbali sana na mji akaja kutembea mjini mwenyeji wake akanunua vocha na kumpa amtilie kwenye cm yeye akishughulika na mambo mengine baada ya muda anarudishiwa cm na vocha na kuambia cjaona tundu ya kulia hichi kikaratac chako
 
Teh kwa mazingira alikotoka ni sawa kulikosa tundu hii sio ya kujua by nature km nanii...hii lazma ufundishwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom